Mbundenali
Member
- Jan 9, 2012
- 64
- 37
Wadau naomba msaada wenu huyu binti ana mdogo wake (me) anaumwa jino. Nimejaribu kumtuma aende kwa baba yk kama anaweza kumgharamia matibabu, binti ameniambia kuwa baba yake hana uwezo. Je nikitoa msaada bila mzazi kujua itakuwaje?