Kumradhi wakuu!


Hawa watu wanagubu, mimi nimemchekesha Farida wala thanks ila wamempa mchekaji loooh

Maxence ukiendelea onekana naweka petition ukalale, ubishi wa mheshimiwa Mwenyekiti wa Chama si wakuigwa, ukiangukia key board? Uchovu
 
Yeah kweli haswa huyu mpwa Masanilo na Nguli kuwa makini nao oooh...

haha ha ha ha, nafikiri hata ukisoma thread zote na zilizofutika kimiujiza na ndio maana tuko kwenye hii thread ya Kumradhi huwezi ona mahali nimewahi hata kumtania FARIDA naipenda JF sitaki kuwa burnt. Cheza na chochote lakini sio mke wa MKULU.
 
haya mamoderator nendeni mkapumzike mtuache alone hapa ndani mtaendelea na kazi usiku tukiwa tumelala
regards
FL
 
MKULU pole na kazi, ila una personal dr. hapo karibu? kama huna ni muhimu ukapatiwa dr. wako naona ushauri wangu na masanilo umegonga ukuta

Wala si utani mkuu, yasije yakamkuta yaliyomkuta prezidaa wetu.
 
haha ha ha ha, nafikiri hata ukisoma thread zote na zilizofutika kimiujiza na ndio maana tuko kwenye hii thread ya Kumradhi huwezi ona mahali nimewahi hata kumtania FARIDA naipenda JF sitaki kuwa burnt. Cheza na chochote lakini sio mke wa MKULU.

Hahahaha yeye iwa haulizi unasweka lupango.
Ngoja wapumnzike jamani kazi ya jana ilikuwa nzito
 
limx→∞ (x³-7x²) = ∞;612128 said:
Niite limx→∞ (x³-7x²) = ∞ au hata ukiniita ∞ inatosha tu.

Be my guest :p

mkuu inakuaje lim (x³-7x²) = ∞ bila kuonyesha limit ya x kuapproach kitu (x-->)??, hahahaaaaaa nakumbuka kitabu cha adv. mathematics cha Shayo, duh kigumu balaaa!.
 
Athletic upo? mshauri Mkulu alale atapepesuka

Nipo mkuu, leo keyboard imepata habari yake. Nimeshindilia tubutton mpaka vidole vimeota sugu. Kumbe mkulu alikuwa anachacharika. Mwache akalale, si utani.
 
mkuu inakuaje lim (x³-7x²) = ∞ bila kuonyesha limit ya x kuapproach kitu (x-->)??, hahahaaaaaa nakumbuka kitabu cha adv. mathematics cha Shayo, duh kigumu balaaa!.

Umenikumbusha mbali hivi hii sign ∞ si infinity one... do i apply hizi vitu now!!!
 
Umenikumbusha mbali hivi hii sign ∞ si infinity one... do i apply hizi vitu now!!!

ebana unakipata kile kitabu cha Shayo?, jamaa alitunga kitabu kigumu balaaa!.
yeah mkuu hiyo kitu ∞ inaitwa infinity!, yani hapo unasema
lim x->∞ f(X)=(x³-7x²), then unakokotoa weeeee mkpaka ndio unapata jibu lake
lim x->∞ f(X)=(x³-7x²)=∞,
hence
lim (x³-7x²) = ∞!
masematix ni noma jamani nyie acheni tuu
 
limx→∞ (x³-7x²) = ∞;612128 said:
Niite limx→∞ (x³-7x²) = ∞ au hata ukiniita ∞ inatosha tu.
Limit of (x³-7x²) as X approaches to what? Hiyo expression bado kukamilika, huwezi tu kujiwekea "equals to infinity" bila kueleza X ilikuwa inaaproach to what. Fanya revision, otherwise utaishia kuwadanganya wasiojua eg First Lady.
 
Back
Top Bottom