Wadau wa JF salaam,
naomba kujuzwa maana labda mie nimesahau, nakumbuka katika nchi yetu kuna sheria ilikuwepo sijui kama ilishaondolewa au la, sheria yenyewe ni kuwa inakataza mtanzania aliyepo nchini kumiliki akaunti ya fedha nje ya nchi. Je hii sheria ilishafutwa au bado ipo? Natanguliza shukurani
naomba kujuzwa maana labda mie nimesahau, nakumbuka katika nchi yetu kuna sheria ilikuwepo sijui kama ilishaondolewa au la, sheria yenyewe ni kuwa inakataza mtanzania aliyepo nchini kumiliki akaunti ya fedha nje ya nchi. Je hii sheria ilishafutwa au bado ipo? Natanguliza shukurani