the american dream
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,761
- 832
Niko busy sanaaaaa! Nasaka maisha.:smile-big:
Kwa nini usisubiri raia wakutafutieeeeee
Niko busy sanaaaaa! Nasaka maisha.:smile-big:
Muombe Mungu na wewe jifunze kuwa mume mwema. Kila kitu ni rahisiiikuna wanaume wenzetu wamebahatisha sana wanawake! sijui wengine tutaangukia wapi Mungu?
nmke akamletea mumewe maji yakunawa aliponawa akamwambia "ahsante mama nice " baba akanyanyuka akaenda kuchota maji yakunywa yale ya mezani yalikuwa yameisha. alivyokunywa akamletea mkewe akanywa mke " nakaa wapi nisome hapa kina nice wanasumbua mke akamwambia ngoja nikuandalie kule kwenye chumba cha wageni. baba kamsaidia mama kuleta meza na ufagio wakufanyia usafi.
wana watoto 3 tayari bado wanaheshimiana.
Kwa nini usisubiri raia wakutafutieeeeee
Hhahaaaaaaaa! Sasa ajifiche nini wakati sisi mashosti zake ndo anatukopa? Akijifanya mambo mazuri tunamdai fastaaa! Ukiukubali ukweli na kuuweka wazi watu wanauzoea na hawatokusumbua nao kabisaaa.
Mistari mi3 ya.mwisho imenimaliza ngv..huyo ni mume au mpnz???khaa amejibu vbaya sijapenda kibaya zaidi kwa shoga zake..yeye ndo ana jiaibisha kukaa na mwanaume mzembe wakat yy ana uwezo
ameyataka na ataendelea kuwalamba soli hadi basi Ndoa anaitaka, bata anataka hela hana kazi ipo
huyo mama anajielewa, siyo hawa wa kisasa kila kitu afanyiwe na housegirl
we sikia tu wanavyoongea bila haya, eti anaheshimu anayemuheshimu!!
Hivi yale mapenzi ya mwanzoniii yanaishiaga wapi?
Dogo usimtukane mamba hujavuka mto.
Dogo usimtukane mamba hujavuka mto.
eti nyie mlio kwenye hizo hypocritical institutions tuambie
Kuna mwanamke wangu kila anachotaka nampa hadi gari ya kutembelea nimemunulia lakini ugomvi kila saa kisa anataka aheshimiwe yeye lakini kuniheshimu mimi anashindwa. Kwa kifupi ana ugomvi wa kijinga.
Kuna mwanamke wangu kila anachotaka nampa hadi gari ya kutembelea nimemunulia lakini ugomvi kila saa kisa anataka aheshimiwe yeye lakini kuniheshimu mimi anashindwa. Kwa kifupi ana ugomvi wa kijinga.
Kwa kweli heshima kwenye ndoa Ni muhimu Sana,yaani kila mtu mume na mke wote wasimame nafasi Yao.Mimi ninaushuuda kwenye ndoa yangu ya miaka 16 sijawai kujutia ndoa yangu Ni burudani yaani kila simu Yuko honeymoon.haina maana atutofautiani laa kila mtu anasimamia misingi ya upendo na kuheshimiana
wanajamvi katika mizunguko ya hapa na pale leo nikaingia nyumba ya jirani, kuna jambo limenifurahisha sana likanikumbusha mawosia ya marehemu bibi yangu.
nilipoingia nilikuta watoto wamekaa pembeni washakula baba yao anamalizia kula, baada yakumaliza kula mke akamletea mumewe maji yakunawa aliponawa akamwambia "ahsante mama nice " baba akanyanyuka akaenda kuchota maji yakunywa yale ya mezani yalikuwa yameisha. alivyokunywa akamletea mkewe akanywa (haya yamefanyika ndani ya dkk chache kabla cjasema kilicho nileta kwa mama) mme anajiendeleza kimasomo akanwambia mke " nakaa wapi nisome hapa kina nice wanasumbua mke akamwambia ngoja nikuandalie kule kwenye chumba cha wageni. baba kamsaidia mama kuleta meza na ufagio wakufanyia usafi. mama akaniambia samahani subiri kidogo, kamuandalia mmewe sehemu yakujisomea ndipo akaja kunambia shoga unasemaje.
walinifurahisha sana kama sio unafiki ukizingatia wana watoto 3 tayari bado wanaheshimiana.
angekuwa mwingine angeanza kuongea na mimi wakati kisheria nikumsikiliza mumewe kwanza maana akikuwa anahitaji kuandaliwa sehemu yakusimea sio zaidi ya dakka 5. nimfano wakuigwa
wanajamvi katika mizunguko ya hapa na pale leo nikaingia nyumba ya jirani, kuna jambo limenifurahisha sana likanikumbusha mawosia ya marehemu bibi yangu.
nilipoingia nilikuta watoto wamekaa pembeni washakula baba yao anamalizia kula, baada yakumaliza kula mke akamletea mumewe maji yakunawa aliponawa akamwambia "ahsante mama nice " baba akanyanyuka akaenda kuchota maji yakunywa yale ya mezani yalikuwa yameisha. alivyokunywa akamletea mkewe akanywa (haya yamefanyika ndani ya dkk chache kabla cjasema kilicho nileta kwa mama) mme anajiendeleza kimasomo akanwambia mke " nakaa wapi nisome hapa kina nice wanasumbua mke akamwambia ngoja nikuandalie kule kwenye chumba cha wageni. baba kamsaidia mama kuleta meza na ufagio wakufanyia usafi. mama akaniambia samahani subiri kidogo, kamuandalia mmewe sehemu yakujisomea ndipo akaja kunambia shoga unasemaje.
walinifurahisha sana kama sio unafiki ukizingatia wana watoto 3 tayari bado wanaheshimiana.
angekuwa mwingine angeanza kuongea na mimi wakati kisheria nikumsikiliza mumewe kwanza maana akikuwa anahitaji kuandaliwa sehemu yakusimea sio zaidi ya dakka 5. nimfano wakuigwa
Mleta maada kwa uelewa wangu hapa hawa wanaheshimiana na kuthaminana embu angalia hao kwenye bold.
Heshima imeaapply kote sio kwa mke tu. Ila yeye ameona kwa mke.Ndio maana nimewaambia wamekimbilia kwa mwanamke wakati mume mwenyewe unaona alivyo loving...kwa nini asiheshimiwe???? Hata Bible imesema mpende mkeo naye akuheshimu....wao wamekazana na mke sijui kafanya nini...kafanya nini...alichofanya na kusema mume hawaoni....