Msolopagazi
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 663
- 153
Hamna kitu hawa Wachina ni wanadharau sana wanachapa mpaka viboko wafanyakazi pili wanaleta mpaka mtu wa chini ambaye mtanzania wa kawaida anaweza kuifanya hiiyo kazi mfano grader operator,dumper nk,pili wanalipa mishahara midogo sana tena kwa unyanyasaji wanaongoza kampuni kama BARRICK au kusini kwa Waaustralia huwezi kulinganisha na Wachina sana sana huko Watz wanakimbila kidebe cha mafuta halafu Kwa Mchina hata security ya kazi hakuna cha HR yaani hata fundi mekanika anaweza kukufukuza kazi yaani hao hakuna kabisa hata safety ni ziro utasikia watu watakavyo kufa au kuathirika na mgodi na sijui sheria zetu zinatulinda vipi ukimuuliza huyo Filikunjombe sidhani kama anajua hilo asifurahie kuja kwa Wachina baadae watz wa Ludewa waje wamlilieJambo hili lilishajadiliwa hapa miezi michache iliyopita, na faida ambayo sisi tutapata ni bora kuliko wachimba madini wengine. Wachina ni bora kuliko hawa wa kutoka mataifa ya magharibi.