Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Thread starter
- #21
..tatizo watu wanafikiri wachina wa leo hii ni kama wale waliojenga Tazara.
..hawa wa sasa hivi wako zaidi kibiashara. they r just as greedy as westners.
..ukizingatia sheria zetu za madini, na aina ya viongozi wanaozisimamia, this is not the right time kwa nchi hii kusaini mkataba wowote ule wa madini.
Hawa wamekuja kufanya kile kilichomo kwenye mkataba, na wachimba madini wengi wanahcofanya ni kile kilichomo kwenye mikataba vinginevyo wangshtakiwa. Sio umeona tunavyohangaika sasa namna ya kuwasimamisha kwa vile tulishajivunga na kifundo cha mikataba.
Kosa tunafanya wenyewe halafu ndio tunaanza kulalamika, basi wekeni utaratibu mzuri wa mikataba badala ya kulalamika. Wachina wa miaka ile kama unaona walifanya vizuri ni kutokana na umahiri wa waandaaji wa mikataba walikuwa wanaweka utaifa mbele badala ya masilahi binafsi.