GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,651
- 109,041
Na nawaombeni leo kabla ya Mechi kuanza kuweni makini kuangalia nini Watafanya au Kitafanyika ila Mpira ukianza tu watakuwa Wanakwepana.
Pia kuna uwezekano mkubwa Wote wakafunga Magoli kwa Timu zao ila Kuumia kiasi kwa Mmoja wao au sana ni kwa 85% kutokana na Mizigo ya HATARI ya Kishirikina waliyoibeba.
Akianza tu Kufunga Goli Mzanzibari Minywele jua Timu yake itashinda Goli kuanzia 3 ila akianza Kufunga Goli Mzanzibari Mrembuaji Macho na Mjilamba Midomo jua Mechi itaisha kwa 1 kwa 0 au Sare ya 1 kwa 1.
Kwa Siku za karibuni tumeona Vitendo vya waziwazi vya Kishirikina katika NBC Premier League ila kwa taarifa ambazo GENTAMYCINE nimepenyezewa kutoka ndani kwa pande zote mbili ni kwamba leo kuna Uchawi wa Kufuru umefanyika na mwingine utamalizika kufanyika pale pale Uwanjani.
Haya TFF iandaeni mapema ile Kamati yenu ya Kutoza Faini kutokana na Vitendo vya Ushirikina Viwanjani / Uwanjani kwani leo Ndumba itafanyika wazi wazi kwa Mkapa na wala Wahusika hawatojali Faini zenu japo najua Ndumba za leo zitawatajirisheni mno na najua hamtokosa hata Makosa ya Faini za kufikia Shilingi Milioni 25 hata hadi Milioni 50 hivyo hakikisheni 10% yangu haikosekani baada ya kuwapeni huu Mchongo wa kupiga Hela zisizokuwa na Kazi za Tajiri Tapeli Dhulumati Mkwepa Kodi na Tajiri Mkimya Mstaarabu Msaidia Watu ambaye Kabarikiwa na Mola.
Pia kuna uwezekano mkubwa Wote wakafunga Magoli kwa Timu zao ila Kuumia kiasi kwa Mmoja wao au sana ni kwa 85% kutokana na Mizigo ya HATARI ya Kishirikina waliyoibeba.
Akianza tu Kufunga Goli Mzanzibari Minywele jua Timu yake itashinda Goli kuanzia 3 ila akianza Kufunga Goli Mzanzibari Mrembuaji Macho na Mjilamba Midomo jua Mechi itaisha kwa 1 kwa 0 au Sare ya 1 kwa 1.
Kwa Siku za karibuni tumeona Vitendo vya waziwazi vya Kishirikina katika NBC Premier League ila kwa taarifa ambazo GENTAMYCINE nimepenyezewa kutoka ndani kwa pande zote mbili ni kwamba leo kuna Uchawi wa Kufuru umefanyika na mwingine utamalizika kufanyika pale pale Uwanjani.
Haya TFF iandaeni mapema ile Kamati yenu ya Kutoza Faini kutokana na Vitendo vya Ushirikina Viwanjani / Uwanjani kwani leo Ndumba itafanyika wazi wazi kwa Mkapa na wala Wahusika hawatojali Faini zenu japo najua Ndumba za leo zitawatajirisheni mno na najua hamtokosa hata Makosa ya Faini za kufikia Shilingi Milioni 25 hata hadi Milioni 50 hivyo hakikisheni 10% yangu haikosekani baada ya kuwapeni huu Mchongo wa kupiga Hela zisizokuwa na Kazi za Tajiri Tapeli Dhulumati Mkwepa Kodi na Tajiri Mkimya Mstaarabu Msaidia Watu ambaye Kabarikiwa na Mola.