Kumekucha: Je, Marekani inajiandaa kuiadhibu kijeshi Syria?!

Na Trump nae anakuwa pressured kuwa akiachia hii kitu ipite ataonekana weak kwa Russia na allies wake. The place is in imminent danger of kichapo.
Ndiyo maana wanamzuria visa mara Stormy mara wavamie kwa mwanasheria wake...yaani wamemchanganya kweli. nadhani wanamfanyia hivyo ili hasiwe na nafsi murua kuhusu Syria. Tena huyo Bolton na mustach wake ndiye mbaya kabisa. Aliwahi kumtishia mkuu wa kwanza wa OPCW kuwa ajiudhulu vinginevyo wataishughulikia familia yake. Yule jamaa wa OPCW alikuwa 'kauzu', akamjibu kuwa familia yake tayari ina taarifa na iko tayari kwa chochote kitakachotokea. Akagoma kujiudhulu. Baadaye, Bolton alienda kutishia wajumbe wa OPCW wakatisha nadhani mkutano wa dharura na kumuondoa Mkuu yule. Hivyo Bolton...'siyo kabisa'!
 
Bado hawajashambuliana???Maana kuna watu humu kama hayo mapigano yana matokeo chanya kwao
 
NEWS ALERT

Manowari za kivita za Marekani zimeanza kugeuza baada ya anga la Syria kujam na electronic Communication destroyers(ECD) za Urusi kuzuia ufanyaji kazi wa Drones za Marekani zilizokuwa zinafanya RECONNAISSANCE, Msemaji wa NAVY amesema wanajaribu kuwasiliana na Urusi ili kuepusha vita baina ya mataifa hayo mawili makubwa kijeshi duniani.

Wizara ya Ulinzi PENTAGON imeongeza mda wa kuwezekana kuishambulia Syria kutoka masaa 24 to 48 hadi 72(3days).

MY TAKE
Hapa Urusi kawahi anga la Syria kuliko awali, so huenda Marekani asifanye shambulizi lolote lile kwa Syria na hivyo kujikita kwenye vikwazo dhidi ya Syria, Iran na Urusi.

Source, Reuters
 
-Yanayoendelea White House kwa sasa, na FBI raid ya jana kwa yule mjamaa. This tell you "Mueller is too close to home"
White House hawako vizuri sana, they might try to "Wag the Dog" (you know how politics works..)
Hahahaha, katika hili ulilosema,
Yote yanawezekana vizuri kabisa ndugu yangu.
 
Kuna kitu ambacho hukijui,Israel na Marekan wana mkataba wa Kiundugu baada ya Vita vya Pili vya Dunia,Israel anaiuzia Tekinolojia Marekan hasa ya Kisayansi,kila mwaka Israel inapokea USD bilioni 5 kwa biashara ya Tekinolojia tu,Achilia mbali Misaada mingine ya Kijeshi,Kwa hiyo popote pale ambapo Marekani atafanya Oppression za kijeshi Israel lazma awepo,hivo hivo Kwa Uingereza na Marekani,wale ni ndugu wa damu,

Mkataba wa kindugu wa kuuziana silaha ndiyo upi huo ???
 
Yawezekana ukawa na point kabisa ila nashindwa kukujibu sababu ya mihemuko na mahaba yako, niko Tz unanambia niongee na Putin how, mimi nani Urusi mpaka niongee na Putin

"Tell Mr Putin ajiingize Syria aone cha mtema kuni", kivipi sasa, nimwambie kama nani, nikikwambia wewe mwambie Trump apige base ya Urusi Syria si utaniona mpumbavu..!! una uwezo wa kumwambia Trump lolote..?? , na unamwambia kama nani.?

kwa nini tuchangie mada kisomi na kwa kuaangalia faida na hasara kwa dunia ya sasa na baadae..?


Sawa ngoja tusubiri kama usemavyo baada ya 24-48 hr utawala wa Syria utakua historia, Tutarudi hapahapa

Jioni njema mkuu
Asante kwa jibu zuri ulilompa
 
Mkuu,binafsi nafikiri kwa upande wa Syria Marekani na washirika wake watakuwa makini sana kuto wajaribu Warusi na sidhani kama wata shambulia Syria kwa nguvu zao zote, watarusha rusha vicruise missiles mbili tatu basi mradi Trump hasionekane ni WEAK mbele ya raia wa Makerani na Nchi za Ulaya, narudia ku-insist kwamba NATO hawana nia ya kupigana vita vya moto na Urusi, wanajua matokeo yake yanaweza kuwa mabaya sana kwa pande zote mbili - Trump si mjinga kiasi hicho.

Wasi wasi wangu mimi ni kuhusu IRAN hiyo ndio itashambuliwa vikali kweli kweli kwa madhumuni ya kuilinda Israel na si ajabu Israel na Saud Arabia watashiriki katika mashambulizi hayo kwa kificho, tarifa za kuaminika zinasema Israel ilisha peleka baadhi ya ndege zake za kivita huko Saudi Arabia, wamefanya hivyo kwa kuwa ni rahisi kushambulia IRAN ukitokea Saudia kuliko kutokea Israel kwenyewe.

Kumbukeni jamani kwamba Trump, Bolton, Pompoe na wenzao wapenda vita wana usongo mkubwa na IRAN kulko Syria - haya ya Trump kusema atachunguza kubaini kati ya Urusi, Syria na IRAN nani muhusika mkuu wa sumu iliyo wadhuru raia wa Syria - hilo nalichukulia kama mnemonics za kumlenga IRAN, wengine aliwataja kama geresha tu. Iran iwe tayari kwa lolote kuanzia sasa, the question is: Je, Russia inaweza kuingilia kati kumuhokoa/saidia IRAN - hilo ni swali gumu kulijibu kwa ufasaha.
Hata Huyo Russia akiingilia naye atatafunwa vilevile
 
Mmarekani mbaya hilo bomu la kemikali kalipiga yeye ili apate sapoti baraza la usalama.Kama kweli wao wanaumia mbona Yemen na Palestina watu wanakufa kama kuku lkn wamekaa kimya au kwa kuwa Israel na Saudi ni washirika wake.Marekani ndio TAIFA AMBALO LINFANYA DUNIA ISIONEKANE SEHEMU SALAMA,sababu tu analinda maslai yake na hajali usalama wa wenzake.
Syria ndio itatandikwa! Na mwisho wake asady, na hakuna msaada toka popote...
 
NEWS ALERT

Manowari za kivita za Marekani zimeanza kugeuza baada ya anga la Syria kujam na electronic Communication destroyers(ECD) za Urusi kuzuia ufanyaji kazi wa Drones za Marekani zilizokuwa zinafanya RECONNAISSANCE, Msemaji wa NAVY amesema wanajaribu kuwasiliana na Urusi ili kuepusha vita baina ya mataifa hayo mawili makubwa kijeshi duniani.

Wizara ya Ulinzi PENTAGON imeongeza mda wa kuwezekana kuishambulia Syria kutoka masaa 24 to 48 hadi 72(3days).

MY TAKE
Hapa Urusi kawahi anga la Syria kuliko awali, so huenda Marekani asifanye shambulizi lolote lile kwa Syria na hivyo kujikita kwenye vikwazo dhidi ya Syria, Iran na Urusi.

Source, Reuters
Hahahaha wazee wa mikwara wanazidi kuongeza muda
 

Once up on a time Hitler, UK and US had same skewed perception about Stalin's Russia just like you - Any idea where mighty Hitler's Wehrmacht Army ended up? That's right - in a history TRASHCAN,oh yes, steam rolled by Russian Red Army - if you think Putin can't emulated his ancestor's feat to give a telling blow to his enemies notably the US - you are DEAD wrong.

Remember the Saying of the wise goes: "History will always repeat itself."
 
Back
Top Bottom