ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Baada ya tukio la kutumika kwa silaha za kemikali dhidi ya Raia linalodaiwa kutekelezwa na serikali ya Syria,Marekani ikiungwa na mkono na Ufaransa na Uingereza zimetoa matamko makali zote zikiunga mkono kuiadhibu kijeshi Syria kwa kitendo hicho Cha kinyama.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekaa kikao Leo hii kujadili tukio hilo (la kemikali) huku kukiwa na matamshi makali Kati ya Urusi na Marekani.
Urusi imeiambia Marekani kwamba ndiye mleta vurugu nambari moja Duniani na kwamba haina Rafiki wa kweli ‘Mutant fish in murky waters’: US brings chaos to the world & has no real friends – Russia UN envoyhuku Marekani ikisema kwamba itamuadhibu 'Nduli Assad' hata Kama haitaungwa mkono na UN.US will act against ‘monster’ Assad with or without UN ‒ Haley
Rais wa Marekani Donald Trump amemtuhumu Assad kwa kutekeleza Shambulio hilo baya na kusema kwamba jibu lake linakuja hivi karibuni ndani ya masaa 24-48.Donald Trump says 'major decision' coming on Syria in next 24-48 hours
Na Sasa Kuna taarifa kwamba meli ya kivita ya Marekani yenye makombora ya Tomahawk ambayo yalitumika mwaka jana kushambulia Syria imeondoka Cyprus na kuelekea Syria.
Swali ni je, Marekani inataka tena kuishambulia Syria?!
Je,lipi litakua jibu la Urusi?!
Nini hatima ya Syria?!
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekaa kikao Leo hii kujadili tukio hilo (la kemikali) huku kukiwa na matamshi makali Kati ya Urusi na Marekani.
Urusi imeiambia Marekani kwamba ndiye mleta vurugu nambari moja Duniani na kwamba haina Rafiki wa kweli ‘Mutant fish in murky waters’: US brings chaos to the world & has no real friends – Russia UN envoyhuku Marekani ikisema kwamba itamuadhibu 'Nduli Assad' hata Kama haitaungwa mkono na UN.US will act against ‘monster’ Assad with or without UN ‒ Haley
Rais wa Marekani Donald Trump amemtuhumu Assad kwa kutekeleza Shambulio hilo baya na kusema kwamba jibu lake linakuja hivi karibuni ndani ya masaa 24-48.Donald Trump says 'major decision' coming on Syria in next 24-48 hours
Na Sasa Kuna taarifa kwamba meli ya kivita ya Marekani yenye makombora ya Tomahawk ambayo yalitumika mwaka jana kushambulia Syria imeondoka Cyprus na kuelekea Syria.
Swali ni je, Marekani inataka tena kuishambulia Syria?!
Je,lipi litakua jibu la Urusi?!
Nini hatima ya Syria?!