Kumekucha: Je, Marekani inajiandaa kuiadhibu kijeshi Syria?!

Marekani akiamua kuishambulia Syria,Russia hawezi ifanya kitu US.

Ila hapo watakaoumia Ni Raia wa Syria maana fahari wawili wakipigana nyasi ndo zinaumia.

Russia, US,Iran na Turkey wote wapo Syria kwa maslahi yao na Wala si kwa maslahi ya Syria.


True, yaani kuonyeshana mabavu wakati mwenzao almost karibu anaishia..

Hizo forces zilizoko behind hii kitu ni mtihani, cos mtu akiona anashindwa mahala fulani anakimbilia kumwaga chlorine gas.
 
Uturuki haiaminiki kabisa ile Ni ndumi la kuwili ndo maana Marekani alikataa kuiuzia mitambo ya kisasa ya kuzuia makombora. Hata NATO kwenyewe sio mshirika ambae wanamtegemea Sana ndo maana Kuna baadhi ya issue hawaishirikishi.

Naona na Russia nao washamuona Erdogan ni ndumi la kuwili.
Tujaribu kua wakweli, Turkey hakua ndumilakuwili, alikua ni member mtiifu kwa NATO na Uturuki ndio nchi yenye wanajeshi wake wengi NATO kuliko nchi yoyote mwanachama. Mpaka kufikia hatua kutungua ndege ya Urusi anaeza asiwe vipi mwnachama tiifu..?

Turkey alikua anaomba muda mrefu ata kabla ya huu mgogoro US wamuuzie defense system lakini US halikua hatoi jibu la kukubali wala kukataa, undumilakuwili wa sasa sio chanzo cha US kukataa kumuuzia defense system zamani

Mambo yalikuja kubadilika baada ya Mapinduzi yaliyo feli, na inasemekana mapinduzi yalilatibiwa na US wakishirikana na mturuki anaeishi US, Uturuki waliwaomba US tunamuimbeni huyo mtu na US walikataa mpaka leo ndio chanzo cha Erdogan kuona kuna mchezo anachezewa

Na pia inasemekana Russia ndio waliomsaidia Uturuki kuzima mapinduzi. Hapo ndio Erdogan aka-turn 180 degree kuhamia kua rafiki wa Urusi gafla, akaanza kuomba kununua S400 na Urusi akakubali bila masharti yoyote.Hujiulizi lolote kwenye hili, ata kama hawaongei ya moyoni huoni ata ya usoni

Kageukia kwenye usalama wake amekua ndumilakuwili
 
Marekani akiamua kuishambulia Syria,Russia hawezi ifanya kitu US.

Ila hapo watakaoumia Ni Raia wa Syria maana fahari wawili wakipigana nyasi ndo zinaumia.

Russia, US,Iran na Turkey wote wapo Syria kwa maslahi yao na Wala si kwa maslahi ya Syria.
Hujui siasa za kimataifa
Huijui Russia,
Soo kaa kimya mkuu
 
Nimetukana kikwetu dah mwambieni Babu yake Ze kokuyo, Trump afanye fasta kuishambulia kwa mizinga mizito Syria
Babu yuko busy na akina Mad Dog wanapanga mipango ya kurusha mizinga
Babu yake Kokuyo anatunga sheria saa hii, akitoka hapo jibu lake mie hata naogopa kusema atafanya nini..
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
 
Trump is deep in trouble in the US for his personal activities. He will attack Syria massively to distract from his personal issues. Let's not fool ourselves with Carlson, as if he matters. American system, particularly the media, is all built on smoke and mirror, and the media is throwing alot of Saudi paid and Israeli inspired smoke.

If the American Govt starts bombing Syria, Russia, Hizbollah and Iran and possibly China will not sit idly by and watch Syria falling like Libya, Iraq and Yugoslavia. This time around, Iran, China, Russia are all prepared to fight NATO coalition and the US/Israelis with full strength. This war if it happens will be the last war the US will be fighting, remember this.
 
Hakuna wingi wa damu zinazo mwagika utakao weza kuzuia Wamarekani waache kushambulia nchi zingine.
Waliishambulia Iraq watu wengi walikufa na mpaka sasa nchi iko ovyo ovyo tu. Wakafanya hivyo Afghanistan na Libya pia. Sasa wanajiandaa kwenda kumwaga damu zaidi Syria.

Not any more - Mkuu, Syria itakuwa maji marefu kwa Marekani na washirika wake - kwa mara ya kwanza watapewa fundisho la mwaka na wakiwa wakahidi zaidi basi Manowali zao zilizopo Bahari ya Mediterranean zitazamishwa - wamekwisha pewa onyo kali kwamba wakithubutu kuvurumisha makombora na kuhatarisha/jeruhi washauri wa kijeshi kutoka Urusi waliyopo nchini Syria, basi Urusi itajibu mapigo kwa kushambulia vikali source iliyo tumika kurusha makombora - hajarishi yatarushwa kutoka sehemu hipi Mashariki ya kati,Continental Europe, Baharini (Mediterranean, Pacific, Indian Ocean, Red Sea nk).

Amerika inacho sahau ni kwamba tangu washidwe kutekeleza makubaliano ya Gorbachev na Reagan kwamba NATO hisijitanue kuelekea East lakini wakakahidi na kuanza kajitanua fasta kuelekea East hasa wakati wa kipindi cha utawala wa Obama, mwisho wa siku NATO/US wanataka kuizingira Urusi wakiwa na lengo la kuivamia eventually!! Warusi walishtuka mapema kuhusu njama za Magharibi - ndipo wakalazimika kufanya kazi usiku na mchana wakiunda silaha za kisasa kabisa kukabiliana na Tishio la Amerika na Washirika wake, Warusi wamepania kweli kweli - hawataki ya Hitler yaje kujitokeza tena ndani ya Taifa lao wakajikuta wanapoteza tena Mamillioni ya Raia wao kwenye vita vya kushtukizwa.

Kipindi cha Putin akiwa madarakani Urusi imepiga hatua kubwa hasa hasa katika ubunifu wa kuunda silaha za kisasa ambazo maadui wake wanakiri kwamba hawana mitambo ya kuji-defend dhidi ya makombora hayo hatari,Warusi vile vile wameimarisha Ulizi wa Taifa lao kila kona mpaka North Pole, wamejenga/panua Viwanda, R&D, Space Exploration, Agriculture nk. Putin amefanya maajabu katika kipindi cha miaka 15 akiwa madarakani kama Rais (mara mbili) na alipokuwa Waziri Mkuu.
 
Haya ni maneno ya Trump mwenyewe

The US president said that a “
major decision” on Syria would be made within 24 to 48 hours. “If it’s the Russians, if it’s Syria, if it’s Iran, if it’s all of them together, we’ll figure it out,” Trump said. “We have a lot of options militarily, and we’ll be letting you know pretty soon.”

Hivi mmeelewa kasema nn hapo.. Yaani atawapiga wote waliofanya hilo tukio la Gas Attack hata awe nani, Russians, Irans or Syria or ALL COMBINED TOGETHER watapata kichapo kitakatifu & THIS IS UNITED STATES OF AMERICA i used to know, the only Super Power, Putin anacheza cheza na moto mkubwa sana, Putin anataka kumuingizia kidole cha kati Simba aliyetulia .. Anamchokonoa chokonoa Super Power muda sana, sasa Simba kaamka ataanza few hours kutoa kipigo kitakatifu..
 
the time has come to windup this issue, kama vita itatokea watakaoumia ni middle east countries, European countries na washirika wa Marekani waliopo huko; Russia na Marekani wataumia kiuchumi zaidi kuliko rasimali watu, half watu wanasahau kuwa Russia ana meli za kivita katika Mediterranean Sea. Na leo vikosi vyote vya kijeshi nchini Syria vimeweka katika tahadhari ya hali ya juu.
 
Babu yake Kokuyo anatunga sheria saa hii, akitoka hapo jibu lake mie hata naogopa kusema atafanya nini..
Hahaha ana bweka tu huyo subiri utaona
They will be met with fire and fury like the world has never seen !!!!!!
 
Babu yuko busy na akina Mad Dog wanapanga mipango ya kurusha mizingaHahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
Hahahahhahaha wanataka kurusha kitu kizito huko hewani ndani ya maongezi au nje ya maongezi Babu yako ana wakati mgumu sana!
 
Back
Top Bottom