OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,389
- 24,495
True man.
mkuu ingefaa kusema wapi nimeenda ndivyo sivyo?Mada ni kama ilivyo kwenye Uzi halafu niambie ulimaanisha nini kwenye Ile reply yako?
Ndio nakuambia Sasa na usingeoa kwa ego yako hiyo😀😀.Aisee 😁😁, miaka mitatu, halafu akija kwangu anakula bure.
hahahahIla we jamaa
Siunamtongoza tu humo humo hujaona hiyo mkuu..Hii facts, i like the process, it's exciting, nikimpta nakuwa bored natam turud kwenye kutongozana
Basi mkuu Kila mmoja abaki na practice yake.mkuu ingefaa kusema wapi nimeenda ndivyo sivyo?
mimi naungana na mwenye uzi asilimia 100. wewe upo upande gani kwanza nijue nianzie wapi?
ameeenBasi mkuu Kila mmoja abaki na practice yake.
Chukua Pepsi bariiidi kwa mangi ntalipaKila mtu ana jinsi yake ya kufanya mambo ikiwemo kutongoza.
Kuna mtu hamuambii mwanamke hata kidogo kwamba nakutaka lakini unakuta kashapewa mbususu.
Ni makosa kudhani ukiwa na hela unaweza mpata Kila mwanamke simply mkuu una ego kubwa sana na wanawake wanaojitambua itakuwa kazi sana kuwapata.
After all tukiondoa hela zako nini unaoffer kwenye mahusiano? (dada mmoja alishaleta huu Uzi hapa miaka ya nyuma).
Wanawake ni complex sana mkuu...wanapenda Kila kitu kubembelezwa, kudekezwa, kupetiwa petiwa ndio nature yao hakuna discussion katika hilo.
Wewe ni handsome? Nani alikuambia?women do not think! they feel!
make her feel your balls champ.
ila yote kwa yote kama hajakupa green light do not approach her.
unajua mkuu hata sisi handsome guys unakuta tunaamka nakujisemea leo sitongozi mtu dadeki sitaki kujidisrespect leo hhahahaha .
women fear rejection hahahahahahahahaha sikumoja nitaweka kisa humu naamini watajifunza watu.,
mkuu unajua sometimes mtu unakuwa passionate katika yale unayoyaongea mpaka unajikuta umetoka nje ya mada.Basi mkuu Kila mmoja abaki na practice yake.
Si wote wanakutana na usumbufu boss. Mbona hata me wanakutana na vishawishi ili wawatongoze wanawake? Huenda hujui na ni mgeni kwenye hiliWOMEN ARE SCANNER AND THEY EVALUATE PEOPLE SUBCONSCIOUSLY, it is not out of bi#chness, it's protection against harmful men.
Hata kama utakuwa completely stranger to a woman she will let you know you are attractive na atafanya mambo kuwa mteremko kwako.
now days wanapewa attention kwenye social media kuna wajanja wengi wanamtongoza kila sekunde tena wanasifa nying nzuri kuliko wewe.
ngoja niseme hivi kuna wezetu na maHandsome kutuzidi kama uko na sula personal kama mim bro huwezi elewa. ngoja waje hapa wakueleze usumbufu wanaokutana nao .
ow my GODWewe ni handsome? Nani alikuambia?
Sijui kwa sababu sijawahi kukuonaow my GOD
what do you think i look like?
ni kweli mkuu.Si wote wanakutana na usumbufu boss. Mbona hata me wanakutana na vishawishi ili wawatongoze wanawake? Huenda hujui na ni mgeni kwenye hili
Sawa mkuumkuu unajua sometimes mtu unakuwa passionate katika yale unayoyaongea mpaka unajikuta umetoka nje ya mada.
lets keep that positive momentum brother.
Unasema una hela, okay, unajishughulisha na kazi ipi? Uzi wako umelenga vijana wenye hela za kueleweka.Wasalaam
Zingatia mada, upendo na kumpenda mwanamke ni mgao wa baraka sio utumwa japo ni hiari isiyo hiari, siwezi kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja yaani nivutiwe nae kwa hali chanya halafu nipate mrejesho hasi, kisha nijishushe nibembeleze, hio hapana. Namsujudu Mungu sio mbususu wala mnyanduano
Ebu fikiria una pesa, na akikubali yeye atakuwa anakutegemea na kuomba omba pesa.
Nimekula kiapo cha ubaharia na upambanaji siwezi kuwa mnyonge nikiwa natongoza mwanamke maana mwanaume ni mfalme na mfalme ni mbeba majukumu.
Nashindwa kuwa mnyonge wakati mimi ni kidume hio hapana, nikimtaka demu namchana live mie nakuelewa nataka uwe mpenzi wangu.
Uwe huru kukubali ama kukataa na sio lazima iwe muda huu. Upendo ni dhamira na sio tentemente tentemente nyingi.
I have nothing to prove mie mtu wa kawaida tu mwenye hisia so let me know if yes or no.
Kisha ndio naendelea kuagiza vitu na ale anywe ila ujumbe ashapewa, ataenjoy na nauli nampa.
Kutongoza ni kugawa baraka za upendo sio kulia shida au kuomba msaada, ndio sawa hapana sawa.
Mnaobembeleza hongereni kwa huo udhaifu wa kike.
Mjadala upo wazi
Wadiz_ pesa ni maisha na maisha ni pesa _ kataa unyonge tupambane
Sijui kwa sababu sijawahi kukuona
sasa mkuu huoni kama kujadili au kutaka kujua ukweli juu ya hilo inakuwa haijakaa poa ukizingatia wote tu wanaume.Sijui kwa sababu sijawahi kukuona
FITA NI FITA MURA,Key parameters that shape true man una maan gani? A man with a pride una maanisha nini? Mgomvi, mtukutu,? Unaconnect vipi hii reply yako na Uzi? Humbleness haijawai mtupa yeyote. Be humble utaheshimika si mpk uwe aggressive kwani mko vitani boss.
Mwanamke mpende hawana ujanja ukiwapenda hao ila hiyo njia yako itafanya kazi kwa wanawake nja nja.
Upo sahihi. Na ndiyo maana nikashangaa kidogo wewe mwenyewe kujiita handsomesasa mkuu huoni kama kujadili au kutaka kujua ukweli juu ya hilo inakuwa haijakaa poa ukizingatia wote tu wanaume.