Mpaka wa kubembeleza ni upi define the boundaries twende pamoja. Kulialia una maana gani? Hakuna formula moja mkuu kweny ehaya mambo tukubaliane tu kutokukubaliana.Hujamwelewa wadiz ,hatujakataa kubembeleza lakini isivuke mipaka
Mwanaume mzima kulia lia ni kujishushia heshima
Playing too much games ni sawa na kulia lia.Mpaka katika kub
Mpaka wa kubembeleza ni upi define the boundaries twende pamoja. Kulialia una maana gani? Hakuna formula moja mkuu kweny ehaya mambo tukubaliane tu kutokukubaliana.
hapa tunakumbushana tuache kuwa wanyonge hadi wanawake wanakosoa heshima hata baada ya kukupa anakuona fala kisa kakupa kwa huruma yake tu ...🤣🤣🤣🤣Mpaka katika kub
Mpaka wa kubembeleza ni upi define the boundaries twende pamoja. Kulialia una maana gani? Hakuna formula moja mkuu kweny ehaya mambo tukubaliane tu kutokukubaliana.
Hakuna kitu kizuri kumtongoza mwanamke live. Au nyie midomo zege nini!?Raha gani kusoma meseji na jicho moja
Ngoja nikupe mfano haiMpaka katika kub
Mpaka wa kubembeleza ni upi define the boundaries twende pamoja. Kulialia una maana gani? Hakuna formula moja mkuu kweny ehaya mambo tukubaliane tu kutokukubaliana.
Kama yupo karibu ni nzuri ila kuna wakati inakuwa ngumu kukutana,Hakuna kitu kizuri kumtongoza mwanamke live. Au nyie midomo zege nini!?
Mkuu kwahiyo akiwa na kila kitu ndio unatakiwa uanze kuogopa, kubembeleza kama bwege na kumnyenyekea kama yai ili tu asiondoke?. Jamaangu hawa wanawake wengi ambao wapo successful ndoa/relationship zao zimeyumba sababu wanataka wao ndio wawe wanaume kwenye familia zao. Nachojaribu kusema ni kwamba kinamna yeyote ile mwanaume awe mwanaume na mwanamke awe mwanamke kila mtu aplay role yake, kumpenda mtu sio kuwa mnyonge kwake au kuwa fala aisee...Wanawake wa aina gani unawazungumzia mkuu.
Siku hizi Kuna wadada Wana Kila kitu mpk vingine anakushinda...hategemei chochite kutoka kwako haya kama si upendo kwako anatabaki kufanya nini?
Unafanyeje kuexpress unampenda kama si maneno mazuri, kumjali, kumpa time yako ambavyo mnaita kubembeleza.
Dunia imebadilika wazee.
women do not think! they feel!hapa tunakumbushana tuache kuwa wanyonge hadi wanawake wanakosoa heshima hata baada ya kukupa anakuona fala kisa kakupa kwa huruma yake tu ...🤣🤣🤣🤣
Mimi hapo sioni tatizo mwanamke kutokukubali upesi...kwa waafrika ndivyo ilivyo. Pia hata Sasa mwanamke atahitaji angalau akujue hata kama hamjaonana kwa kuchat mwezi mmoja ili afanye maamuzi sahihi...Ngoja nikupe mfano hai
Nilikuta mdada fulani fb, nikamcheki messenger akajibu
Tukachat kama siku mbili, nikamuuliza kama yuko kwenye relationship akajibu hapana
Nikamwambia ningependa tuwe na mahusiano, akawa kama anazunguka(hapa ndo ndo wanaume wanapojishushia heshima). nikamwambia kuwa huru sema yes or no
Na nikamuweka wazi kuwa response yoyote haitaathiri urafiki wetu.
We upo katavi yeye yupo rombo mkuu, unamtongozaje live mkuu, nielekeze...Hakuna kitu kizuri kumtongoza mwanamke live. Au nyie midomo zege nini!?
Labda wale zamani miaka ya 90 sio hawa waliojaaa kama njugu, hii game sio lazima kama ni sawa iwe sawa kama ni hapana iwe sawa, akubali kwanza ndio mengine yaendelee au akatae iwe basi.Mimi hapo sioni tatizo mwanamke kutokukubali upesi...kwa waafrika ndivyo ilivyo. Pia hata Sasa mwanamke atahitaji angalau akujue hata kama hamjaonana kwa kuchat mwezi mmoja ili afanye maamuzi sahihi...
Unataka kuniambia huyu mwanamke asipotoa jibu kw wakati unaotaka wewe hupaswi kumsubiria? Hupaswi kuendelea kumshawishi hata kw kumtoa dinner mbili tatu?
Yaani unataka awe kama ameona lulu akushobokee hata kama hajatathmini akaona kama unafika vigezo vyake?
Zamani Babu zetu walikuwa wanaposa miaka mitatu bado hajakubaliwa una maana walikuwa wazembe? Na baada y hapo Kila msimu wa kilimo lazima aende kulima ukweni au kuchunga ng'ombe kutunza heshima apewe mke...Kuna kubembeleza zaidi y huko....unabembeleza ukoo mzima wakupe mke si mke tu sababu mke hana maamuzi wazee wakikataa.
Tusemeni tu sisi tumekuta wanawake ni WA bure bure tu na hawajitambui.
WOMEN ARE SCANNER AND THEY EVALUATE PEOPLE SUBCONSCIOUSLY, it is not out of bi#chness, it's protection against harmful men.Mimi hapo sioni tatizo mwanamke kutokukubali upesi...kwa waafrika ndivyo ilivyo. Pia hata Sasa mwanamke atahitaji angalau akujue hata kama hamjaonana kwa kuchat mwezi mmoja ili afanye maamuzi sahihi...
Unataka kuniambia huyu mwanamke asipotoa jibu kw wakati unaotaka wewe hupaswi kumsubiria? Hupaswi kuendelea kumshawishi hata kw kumtoa dinner mbili tatu?
Yaani unataka awe kama ameona lulu akushobokee hata kama hajatathmini akaona kama unafika vigezo vyake?
Zamani Babu zetu walikuwa wanaposa miaka mitatu bado hajakubaliwa una maana walikuwa wazembe? Na baada y hapo Kila msimu wa kilimo lazima aende kulima ukweni au kuchunga ng'ombe kutunza heshima apewe mke...Kuna kubembeleza zaidi y huko....unabembeleza ukoo mzima wakupe mke si mke tu sababu mke hana maamuzi wazee wakikataa.
Tusemeni tu sisi tumekuta wanawake ni WA bure bure tu na hawajitambui.
Mkuu hii ilikuwa reply ya jamaa aliyesema mwanamke anakutegemea kwa Kila kitu. Pia mbona Kuna generalization kubwa sana kuwa wanawake wenye kipato mahusiano yao hayajatulia...mkuu una data katika hili? Mbona hata pangu pakavu mahusiano pia yanawasumbua? Vile utamchukulia mwanamke ndivyo jinsi atarespond. Kuna wanawake Wana pesa n wako very humble uelewe hilo. Ukimpa upendo atajibu upendo ila ukileta ujuwaje hata pangu pakavu ataishi tu na wewe sababu hana pa kwenda. Hatukatai kusimamia hadhi ya mwanamme lakini ubabe unaoelezwa kwenye huu Uzi hauwezi kuzaa matunda kwa mwanamke liberal.Mkuu kwahiyo akiwa na kila kitu ndio unatakiwa uanze kuogopa, kubembeleza kama bwege na kumnyenyekea kama yai ili tu asiondoke?. Jamaangu hawa wanawake wengi ambao wapo successful ndoa/relationship zao zimeyumba sababu wanataka wao ndio wawe wanaume kwenye familia zao. Nachojaribu kusema ni kwamba kinamna yeyote ile mwanaume awe mwanaume na mwanamke awe mwanamke kila mtu aplay role yake, kumpenda mtu sio kuwa mnyonge kwake au kuwa fala aisee...
Unamkumbuka mada ya Uzi huu mkuu baki humo tusianzishe Uzi mpya.WOMEN ARE SCANNER AND THEY EVALUATE PEOPLE SUBCONSCIOUSLY, it is not out of bi#chness, it's protection against harmful men.
Hata kama utakuwa completely stranger to a woman she will let you know you are attractive na atafanya mambo kuwa mteremko kwako.
now days wanapewa attention kwenye social media kuna wajanja wengi wanamtongoza kila sekunde tena wanasifa nying nzuri kuliko wewe.
ngoja niseme hivi kuna wezetu na maHandsome kutuzidi kama uko na sula personal kama mim bro huwezi elewa. ngoja waje hapa wakueleze usumbufu wanaokutana nao .
umeelewa nilichomaanisha mkuu?Unamkumbuka mada ya Uzi huu mkuu baki humo tusianzishe Uzi mpya.