Kumbe ukifumaniwa hali inaweza kuwa kama hivi!

Deodat

JF-Expert Member
Sep 18, 2008
1,274
272
Ni kama anasema "Kaka tuyamalize tu ki-diplomasia bila ya huo upanga"
 

Attachments

  • 41145_1181571917196_1765166536_341352_3117443_n[1].jpg
    41145_1181571917196_1765166536_341352_3117443_n[1].jpg
    34.2 KB · Views: 988
Ni kama anasema "Kaka tuyamalize tu ki-diplomasia bila ya huo upanga"



Mkuu fumanizi lina raha yake hasa kama mfumaniwa ana mbio.Huyo jamaa sijui alizubaa nini mpaka akawekwa kwenye kona hivyo aje kwangu nimfundishe the reaction of a cornered black cat.
 
huyu mwenye panga amekaa kama mkurya hivi.wale jamaa nawaheshimu sana.hakika tungekua na mikoa 8 tu kama Mara leo hii mkwere na Shimbo wasingekua hapa.msisahau na pumbafu Benson Bana
 
Huu ulikuwa mchezo wa kuigiza? kwani mwanamke haoneshi wasiwasi kabisaa,manake movie za kibongo hazina uhalisia kabisa.
 
Mkuu fumanizi lina raha yake hasa kama mfumaniwa ana mbio.Huyo jamaa sijui alizubaa nini mpaka akawekwa kwenye kona hivyo aje kwangu nimfundishe the reaction of a cornered black cat.

HA HA HA HA! Umenichekesha sana!
 
huyu mwenye panga amekaa kama mkurya hivi.wale jamaa nawaheshimu sana.hakika tungekua na mikoa 8 tu kama Mara leo hii mkwere na Shimbo wasingekua hapa.msisahau na pumbafu Benson Bana

Nakubaliana na wewe, hao watu wanahitaji kuchapwa na mapanga kabisa!
 
Wanaonekana hawako serious, huyu dada kama anatabasamu vile au wamekula deal yeye na mumewe ili wamchomoe pesa huyu bwana?
 
Kuna wakati alikuwa ofisa mmoja alifumaniwa na mke wa mtu akatakiwa mke ampe kanga yule jamaa aliyefumaniwa nae azivae kilichofatia aliyefumaniwa akageuzwa kuwa mke huku yule mke akambiwa amungalie jamaa anavyofanyiwa na Mumeme alimgeuza kuwa mke kwa wakati ule baada ya kumaliza jamaa aliamrishwa aondoke na yule mke akapewa talala.
 
Kuna wakati alikuwa ofisa mmoja alifumaniwa na mke wa mtu akatakiwa mke ampe kanga yule jamaa aliyefumaniwa nae azivae kilichofatia aliyefumaniwa akageuzwa kuwa mke huku yule mke akambiwa amungalie jamaa anavyofanyiwa na Mumeme alimgeuza kuwa mke kwa wakati ule baada ya kumaliza jamaa aliamrishwa aondoke na yule mke akapewa talala.

Toba! afadhali ukatwe panga lakini sio hiyo adhabu!
 
Wanaonekana hawako serious, huyu dada kama anatabasamu vile au wamekula deal yeye na mumewe ili wamchomoe pesa huyu bwana?

Hoja yako ina-make sense, kuna kipindi huo mchezo ulikuwa unafanyika sana hasa maeneo ya buguruni.
 
Ah! hii imetengenezwatu! ke mtu mbona hata haneshi hofu?? ndo kwanza anasmile.
 
Back
Top Bottom