Ni kama anasema "Kaka tuyamalize tu ki-diplomasia bila ya huo upanga"
huyu mwenye panga amekaa kama mkurya hivi.wale jamaa nawaheshimu sana.hakika tungekua na mikoa 8 tu kama Mara leo hii mkwere na Shimbo wasingekua hapa.msisahau na pumbafu Benson Bana
HA HA HA HA! Umenichekesha sana!
Nakubaliana na wewe, hao watu wanahitaji kuchapwa na mapanga kabisa!
Kuna wakati alikuwa ofisa mmoja alifumaniwa na mke wa mtu akatakiwa mke ampe kanga yule jamaa aliyefumaniwa nae azivae kilichofatia aliyefumaniwa akageuzwa kuwa mke huku yule mke akambiwa amungalie jamaa anavyofanyiwa na Mumeme alimgeuza kuwa mke kwa wakati ule baada ya kumaliza jamaa aliamrishwa aondoke na yule mke akapewa talala.
raha ya kufumaniwa uwe na mbio bana wee ni raha tupu