nani huyu?View attachment 40785
View attachment 40786
Ngoja nifanye mchakato ili wanangu waje kufaudu maisha, lol
nani huyu?
Wenzetu wanakula nyanya na kabechi,simu ya nokia rahisi kabisa ila akaunti inasoma mamilioni/mabilioni!!!sisi mtoto wa kidato cha pili ana simu ya blackberry na hana hata shilingi mfukoni na akaunti hana.wabongo tunapenda kujishebedua
thethetetehet!!! Jamani raha!!!mtoto wa gadaf