Kumbe u first son dili eeh??

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,514
11,277
10.jpg

5.jpg

Ngoja nifanye mchakato ili wanangu waje kufaudu maisha, lol
 
Wenzetu wanakula nyanya na kabechi,simu ya nokia rahisi kabisa ila akaunti inasoma mamilioni/mabilioni!!!sisi mtoto wa kidato cha pili ana simu ya blackberry na hana hata shilingi mfukoni na akaunti hana.wabongo tunapenda kujishebedua
 
Wenzetu wanakula nyanya na kabechi,simu ya nokia rahisi kabisa ila akaunti inasoma mamilioni/mabilioni!!!sisi mtoto wa kidato cha pili ana simu ya blackberry na hana hata shilingi mfukoni na akaunti hana.wabongo tunapenda kujishebedua

Kwa kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom