2simamesote
Senior Member
- Jun 27, 2011
- 109
- 13
vingine nn?hii mada ya vyuo ilishafungwa hapa jamvini, tanzania kuna vyuo viwili tu. UDSM NA SUA: vilivyobakia ni longolongo tu, hamna kitu ndo maana unasifu wanasiasa kazi ambayo inaweza kufanywa vizuri sana hata na muhitimu wa darasa la saba. Unapaswa kufahamu kuwa kazi ya siasa haina ubora kama kazi ya ualimu katika rank za great thinkers. Ualimu ni professional na siasa ni usanii tu.