Jadili kwa hoja mkuu! Kwani asili ya mtu ni kabila? BadilikaWacha kujidanganya na kujishebedua weye. Huko ni kuukana uasili wako...huwezi kwenda mbele bila kuangalia utokako. Huo ni upofu wa akili na ufinyu wa mawazo na zaidi niulimbukeni ulio peya.
bado hujajibu hoja zangu zilizotoana na hoja za kukataa/kukanz kabila hebu soma kisha zijibu,usijibu kwa jumla.Mkuu, kwa ufupi kabila ni utaratibu wa maisha ya kikundi fulani cha watu walioamua kufanana kwa mambo kadhaa kama,mila,lugha,miiko,silka n.k. Kama ukijikubalisha kuishi ndani ya hayo wewe ndo twasema una kabila.
Ukiyakataa kama mimi hapa uko Free hakuna utakachopungukiwa mkuu.
Safi sana! Ni vyema usiwe na dini pia kwa sababu hata dini utasikia dini ile ya makafir mara ile ya Al Shabaab mara ile nyingine ya mashoga nk! Makameeee, ushanifahamu?
A man withough a History has no identity, so u are telling us u are not a man nor a human!!! What I regret most is I grow up thinking im from nyanza region or to stamble upon iur true identity when its too late as I can not even find a bit of my tribe
Unaweza kataa kujihusisha na kabila lako lakini hio haitoi kuwa wewe uuu kabila durani, kuns faida nyingi tu katika kabila ama dini, ie umoja na muungano