Kumbe ni kweli huyo ni Mnyarwanda kabisa anaeongoza vyuo vikuu Tanzania

Mipaka waliweka Wakoloni dogo,babla tulikuwa tunapuyanga tu.hata nyerere alikuwa Mtusi,alafu kumbuka hawa mafisadi ni wazawa.USA wengi viongozi viongozi waandamizi ni wahamiaji na nchi imesonga,tukitafutana hamna mwenye asili ya bongo.
 
Wakuu,
Baada ya kuenea kwa tetesi kuwa vyuo vikuu tz vinaongozwa na kijana mnyarwanda anaeitwa CHAKUSHAMAIRE AMONI.

Niliamua kuzama utafitini kwa sababu mimi kwetu ni bukoba karagwe,

UKWELI NI HUU

Huyo kijana alihamia tz mwaka 1993 akiwa na miaka 11 na wazazi wake baada ya vurugu zilizokuwa zikiendelea huko rwanda,

Waliishi huko ngara na baadae akaanza masomo katika shule ya kulelea watoto wenye mazingira magumu hapo ngara ya kanisa katoliki.

Baadae akawa na ambition za upadre lakini akazuiliwa kwa kukutwa na msichana baadae akakosa sifa za kuwa mtawa kwa kosa la kuzini na mtoto wa mlezi wake,

Kijana huyu sio mnyambo wala muhangaza, bali ameoa mwanamke wa kinyambo ndio sababu wengi wanamchanganya na wanyambo,

Mpasha habari wangu aliponiambia haya yote niliamua kufuatilia kule wanakoyolea vyeti vya kuzaliwa ni aibu tupu kwa sababu eticheti kachukua tarehe 15-08-2011 na kinaonyesha amezaliwa hospitali ya mkoa ya kagera, jamani yaani mtu asafiri toka ngara mpaka bukoba mjini kujifungua ili hali hosp za kisasa tena za wamisionar zimejaa huko ngara.... (kaka mbona unaweweseka?ni kosa kuzaliwa nje na home?)
hayo sio hoja saana,ila hoja ni kuwa huyu kijana anatamani sana kuteuliwa kuwa mbunge wa bunge la katiba..je rais kikwete usipokuwa macho hawa ndo watu aliosema kagame atakupiga nao.

----------------------------------------------



sijakuelewa bukoba karagwe?.....alokutuma mwambie kakosea hakuna kitu kama bkb karagwe...tena wewe ndo wa kutilia mashaka???!! alaf kutoka huko bukoba karagwe haijastify utafit wako....
.......magumu hapo ngara ya kanisa katoliki.....Ngara haina na haijawahi kuwa na taasisi ya namna hiyo acha kupotosha wanajamii kwa interest zako binafsi hata Mungu hapendi
.......post yako ni ya kizushi tu....na sina uhakika kama mtamuweza bwana chaku aka "mzee wa bible" nimemjua muda sasa si mwepesi kiasi hicho.....jipangeni tena vizuri zaidi

 
kwani huyo CHAKU yuko wapi? Anashindwa kuweka ushahidi wa kumaliza mvutano huu mpaka hao ( makatibu muhtasi/ waandishi wake) wamtetee hapa. Jitokeze utata uishe
 
kwa hiyo jamaa alihamia kutoka rwanda akawakuta wazawa wamelala yeye akachakarika akakamatia kitengo. Either way you look at it ni wivu na uvivu umekutawala. mae, na ingewezekana ata vyeo vingine vikubwa viwe accessible kwa wazawa na hao haramu. wazembe sana sisi!
 
Mkuu, kwanza sipendi kuongelea watu bali ISSUES cos that's what consists of big brains.

Nimeamua kuchangia hapa hasa kwakuwa issue siyo MTU bali URAIA wa TZ..

Kama anayeongelewa hapa ni huyu AMON CHAKUSHEMEILE ninayemfahamu basi mleta mada naweza kumwita MZUSHI. Kwa ufupi nimemfahamu AMON CHAKUSHEMEILE tangu akiwa mtoto mdogo na ni kwakuwa nilikuwa mbele yake SANA katika SEMINARY

Alizaliwa BUSHANGARO - Karagwe miaka kadhaa ilopita. Na SI Ngara kama mleta mada alivyosema. Pia alizaliwa katika hospitali ya NYAKAIGA kule kule BUSHANGARO kama nilivyoelezwa na source ya uhakika na si BUKOBA

Alisoma O- Level ktk seminary ya St Charles Lwanga Katoke Sem tangu Pre form One hadi form four. Alifaulu vizuri. Aliitwa MZEE WA BIBLE kwa vile aliikariri biblia toka MWANZO hadi UFUNUO.

Baada ya O-Level alijiunga na RUBYA Seminary ADVANCED na akamerge kwenye HGK. Baadaye alikwenda Chabalisa formation house na NTUNGAMO Major Seminary akasoma Philosophy for TWO yrs. Then aliamua kuacha mtiririko wa masomo kwa ajili ya maisha ya UPADRE.

Alifundisha kwa muda ktk Seminary ya Katoke kabla ya kujiunga na Mzumbe University aliko hadi sasa. Na naambiwa ni Rais wa Serikali ya wanafunzi

OMBI: No research no right to speak. Tusilete habari za kuchafuana kwasababu tu tunataka nafasi za KISIASA kama wanasiasa hasa wa CCM. Amon CHAKUSHEMEILE as i know him is a Tanzanian and I'M READY TO PROVE THAT BEYOND ANY REASONABLE DOUBT!

Mkuu genekai umejitahidi kubalance hii story lakini hujakata mzizi wa fitna. Wazazi wake ni watanzania? Kama cheti cha kuzaliwa kinaonyesha amezaliwa Bukoba wewe unapinga una ushahidi?

Mwita Maranya umeuliza swali makini.

Katika kufuatilia huu mjadala nimeona jambo moja ambalo naona wengi ni kuzungumza bila kufahamu kwa makini Tanzania immigration law;

Kwa mfano nimeona wengi wameshupalia hoja isiyo na mashiko ya uzaliwa wa mtu katika ardhi ya Tanzania huku wakihalalisha 'Kuzaliwa Tanzania' peke yake kuwa ndiyo kunakupa uhalali wa kuwa raia wa Tanzania. Napenda kusema hoja hiyo sio sahihi kabisa na ni upotoshaji.

Kwa mujibu wa sheria za uhamiaji Tanzania - mtu anayezaliwa nchini Tanzania na wazazi/mzazi ambao si raia Wa Tanzania, basi na yeye huwa sio raia wa Tanzania. Na kama mtakumbuka vema hii ndio iliyokuwa 'typical' tuhuma ya kesi ya uraia ya Hussein Bashe.

Hivyo, tukirejea kwenye suala la mtuhumiwa katika mjadala huu, iwapo mtuhumiwa alizaliwa Tanzania na wazazi ambao hawakuwa raia wa Tanzania basi na yeye 'automatically' si raia wa Tanzania.

Na iwapo ikatokea kuwa Wazazi/mzazi hao hawakupata kuomba uraia wa Tanzania, wala yeye mwenyewe baada ya kufikia umri wa mtu mzima kuwahi kuomba uraia wa Tanzania bado mtuhumiwa atakuwa si raia halali wa Tanzania. Atakuwa ni mtu anayeishi kimazoea tu (Na hapo ndio anaangukia kwenye kundi la wahamiaji haramu).

Nimeonelea tukumbushane jambo hili muhimu ili watu wajadili kama watu wenye ufahamu wa sheria zetu za uhamiaji. Kwani vinginevyo ni tunapotosha/na tu au kuhalalisha mambo yanayo kinzana na sheria za nchi. Na ukweli hili ni suala linalokwaza watu wengi sana, kwani kuna maelfu ya watu walioguswa kwa namna moja au nyingine na sheria hii. Watu wengi huzinduka wapokuwa katika tuhuma za kuthibitisha uraia wao pale wanapo tuhumiwa kutokuwa raia na mfano hai ni zoezi hili linaloendelea nchini la kutimua wakazi haramu.
Vilevile nimeona hata waandishi wa habari kutoka magazeti mengi makini katika nchi za EAC wamekuwa wakitumia hoja ya uzaliwa wa Tanzania kama kigezo cha kuwa ati wanafukuzwa walikuwa ni 'raia halali' lakini kwa tafsiri ya sheria za uhamiaji Tanzania si jambo la kweli.

Mbali ya magazeti hayo hata wale waliokwisha timuliwa walioko kule Rwanda waliohojiwa kwenye vyombo vya habari nao wamekuwa wakilalamika kuwa walizaliwa Tanzania na kuwa hawakutendewa haki. Lakini ukienda na tafsiri ya sheria wako on the wrong side. Kwani kuzaliwa Tanzania hakukufanyi kuwa 'automatical' kuwa wewe ni raia.
 
Imekuaje tunamjadili kijana huyu na kwa manufaa ya nani??

tusipoangalia tutafukuzana wote kwa chuki na shida zetu

Je huyu kijana ni threat yoyote kwa taifa?
 
Ukweli kuna tatizo kubwa sana la jinsi ya kusaili watanzania kwa ajili ya vitambulisho. Kwangu nadhani NIDA wanakosea kutumia uajiriwa serikalini kama moja ya hakikisho lisilo na shaka la mtu kuwa Mtanzania. !

Mkuu umenena vema.

Hapa serikali ilikosea sana
 
Hakika, Wasomali ni wengi mno maeneo ya Temeke, hujificha wakati wa mchana na kuibuka wakati wa usiku. Wapo sana maeneo ya Mtoni kwa Azizi ali na Temeke sokota!!!!

Du kwa kweli Tanzania ni shamba la bibi, kila mjukuu anastahili kuvuna chake.Hoja za Mchungaji Mtikila kwamba Kagame ameingiza Wanyarwanda 35,000 nadhani serikali yetu imeamini kwamba alichosema Mtikila kilikuwa ni cha kweli.

Wosia wangu kwa serikali ni kwamba ifanye kila linalowezekana kuwaondoa wahamiaji haramu wa kila kabila kuna wasomali kibao hapa Dar es Salaam inasubiri nini kuwatimua, je inasubiri vitisho vya Rais wa Somalia ndipo ichukue hatua? Kuna raia wa Kenya pale Mafinga wamejimilikisha ardhi kubwa kinyume cha sheria nao waondolewe.

Tanzania bila mamluki INAWEZEKANA.
 
Mke wangu amezaliwa Tanzania amekulia Tanzania amesomeshwa na bodi ya mikopo Tanzania boom mwaka wa kwanza hadi wa mwisho lakini alipoenda kuchukua Passport aliambiwa sio mtanzania yeye ni msomali kwakuwa baba yake alihamia hapa miaka mingi iliyopita akaoa mtanzania.

Sina matatizo na hizi sheria zetu maana ndio tulivyojiwekea ila serikali inabidi iwe makini sana ku screen especially kwenye swala sensitive kama bodi ya mikopo maana wapo Wa Congo, Rwanda, Burundi, Msumbiji nk kibao wanasomeshwa kwa mantiki hii. Ila pia kuna haja ya kuangalia upya utaratibu wa kumsaidia mtu kama huyu ambaye amezaliwa na wazazi sio watanzania lakini amezaliwa hapa. Nijuavyo mimi ukizaliwa Marekani wewe ni mmarekani.
 
Mke wangu amezaliwa Tanzania amekulia Tanzania amesomeshwa na bodi ya mikopo Tanzania boom mwaka wa kwanza hadi wa mwisho lakini alipoenda kuchukua Passport aliambiwa sio mtanzania yeye ni msomali kwakuwa baba yake alihamia hapa miaka mingi iliyopita akaoa mtanzania.

Sina matatizo na hizi sheria zetu maana ndio tulivyojiwekea ila serikali inabidi iwe makini sana ku screen especially kwenye swala sensitive kama bodi ya mikopo maana wapo Wa Congo, Rwanda, Burundi, Msumbiji nk kibao wanasomeshwa kwa mantiki hii. Ila pia kuna haja ya kuangalia upya utaratibu wa kumsaidia mtu kama huyu ambaye amezaliwa na wazazi sio watanzania lakini amezaliwa hapa. Nijuavyo mimi ukizaliwa Marekani wewe ni mmarekani.

Blue highlight;
Hilo mbona linarekebishika. Ni suala la kukamilisha taratibu za kuomba uraia tu. Ndio maana maana nikatoa mfano wa Bashe kwani na yeye alikamilisha (As adult). Hivyo hata kwa mkeo linawezekana kabisa kama wazazi wake hawakushughulika sasa yeye ni 'kama mtu mzima' basi ni vema kujikamilishia taratibu zote ili kuepuka usumbufu siku za usoni.

Nikikurudisha miaka ya nyuma kidogo utakumbuka serikali iliwataka watu watatu mashuhhuri kwenye jamii kwa wakati huo; Jenerali ulimwengu (m/Kiti wa kampuni ya RaiaMwema), aliyepata kuwa Balozi Tanzania nchini Ujerumani Timothy Bandora na Bi Mauldine Costico (Deputy Secretary Gen. CCM Visiwani) wakamilishe 'uhalali' wa uraia wao kwa kuomba tena uraia huo upya kwani ulikuwa ukidaiwa kuwa ni 'tata'.
 
wengi tumesoma nao vyuoni wkisomeshwa na bodi ya mikopo na wakimaliza tu wanarudi Rwanda kujenga nchi yao
 
genekai Hivi hawa wahamiaji wanaorudishwa makwao, watoto waliowazaa wakiwa Tanzania wanawaacha Tanzania kwamba ni Watanzania au wanaondoka na watoto wao ijapokuwa wamewapata wakiwa Tanzania?
Vyovyote vile, ila wakitaka kuendelea kuishi Tz kihalali, lazima watoto hao wanapotimiza umri wamiaka 18 wanapaswa KUUKANA uraia wa wazazi wao ili wahesabike kama WATANZANIA kwa kuzaliwa na si kwa kurithi!!!!
 
Watanzania tuache kuwa jamii ya watu wapumbavu. Tusiojali na kupenda kuchukulia kwa wepesi kila jambo, na ndio maana mambo mengi mazito yanatokea kila kukicha kwa kuwa hatuyapi uzito unaostahili mambo makubwa na kuyapatia dawa. Lazima tujue kuwa watu werevu wanatumia weakness zetu kwa advantage zao. Mafisadi, Wawekezaji, Kagame na wengine. Yule Mwanajeshi mtustsi aliyekuwa kitengo cha IT ambaye ametoroka, ingawa serikali haitaki kusema wazi mnafikiri aliingiaje jeshini?? Amesoma hapa kakulia hapa na akaomba kuingia Jeshini!! Then kwa nini akimbilie kwa Kagame? Lazima pia tupende kujua tabia za watu na baadhi ya makabila. Hawa Watutsi si watu wa kuwashabikia, ni watu wajeuri, kiburi, dharau ambao wanaamini wao Mungu kawaumba kwa ajili ya Kutawala na ni watu wenye mipango ya hali ya juu na siri kubwa.
Tuache tabia ya unafiki na ukondoo kwa kujifanya hatutaki kuonekana wabaguzi hata pale tunapojua kuwa hawa wageni hawapo kwa nia nzuri. Watutsi si watu wa kuwachekeachekea hovyo. Lazima vyombo vyetu vijifunze kuwa makini katika kila jambo kwa kuwa wananchi raia wanaposhindwa kutimiza wajibu wao katika kulinda nchi yao, vyombo vya Dola na Usalama vinatakiwa kutimiza huo wajibu. Pamoja na Zoezi hili linaloendelea kuna watu ambao si raia lakini wanaachwa kwa sababu ya pesa na kujuana na Wakubwa. Wapo wahamiaji haramu ambao wameweza kupata vyeti vya kuzaliwa vya Tanzania kwa kuhonga na hatimae kupata Pass za kusafiria na Kitanzania.
Mwisho. haya yote yanatokea kwa sababu nchi imekosa uzalendo na Uzalendo hauletwi kwa kuimbishwa au kwenda JKT. Uzalendo unajengwa kwa Wananchi kufeel kuwa nchi serikali yao inawajali kwa kuwapatia huduma Bora za Kijamii, ie Afya, Elimu tangu awali, Chekechea, Shule za msingi na kuendela, Masoko ya uhakika na Pembejeo kwa wakulima. Better and Cheap means of Public Transport na Mengine mengi. Mwananchi anapojisikia anahudumiwa vizuri na nchi yake tangu akiwa mdogo ndipo anapoijali nchi yake na hatokuwa tayari kuiona ikichezewa hovyo.
 
Watanzania tuache kuwa jamii ya watu wapumbavu. Tusiojali na kupenda kuchukulia kwa wepesi kila jambo, na ndio maana mambo mengi mazito yanatokea kila kukicha kwa kuwa hatuyapi uzito unaostahili mambo makubwa na kuyapatia dawa.
Yule Mwanajeshi mtustsi aliyekuwa kitengo cha IT ambaye ametoroka, ingawa serikali haitaki kusema wazi mnafikiri aliingiaje jeshini?? Amesoma hapa kakulia hapa na akaomba kuingia Jeshini!! Then kwa nini akimbilie kwa Kagame? Lazima pia tupende kujua tabia za watu na baadhi ya makabila. Hawa Watutsi si watu wa kuwashabikia, ni watu wajeuri, kiburi, dharau ambao wanaamini wao Mungu kawaumba kwa ajili ya Kutawala na ni watu wenye mipango ya hali ya juu na siri kubwa.
Tuache tabia ya unafiki na ukondoo kwa kujifanya hatutaki kuonekana wabaguzi hata pale tunapojua kuwa hawa wageni hawapo kwa nia nzuri. Watutsi si watu wa kuwachekeachekea hovyo. Lazima vyombo vyetu vijifunze kuwa makini katika kila jambo kwa kuwa wananchi raia wanaposhindwa kutimiza wajibu wao katika kulinda nchi yao, vyombo vya Dola na Usalama vinatakiwa kutimiza huo wajibu. Pamoja na Zoezi hili linaloendelea kuna watu ambao si raia lakini wanaachwa kwa sababu ya pesa na kujuana na Wakubwa. Wapo wahamiaji haramu ambao wameweza kupata vyeti vya kuzaliwa vya Tanzania kwa kuhonga na hatimae kupata Pass za kusafiria na Kitanzania.
Mwisho. haya yote yanatokea kwa sababu nchi imekosa uzalendo na Uzalendo hauletwi kwa kuimbishwa au kwenda JKT. Uzalendo unajengwa kwa Wananchi kufeel kuwa nchi serikali yao inawajali kwa kuwapatia huduma Bora za Kijamii, ie Afya, Elimu tangu awali, Chekechea, Shule za msingi na kuendela, Masoko ya uhakika na Pembejeo kwa wakulima. Better and Cheap means of Public Transport na Mengine mengi. Mwananchi anapojisikia anahudumiwa vizuri na nchi yake tangu akiwa mdogo ndipo anapoijali nchi yake na hatokuwa tayari kuiona ikichezewa hovyo.

Umesema kweli mkuu. Ta tizo ni kutokuwa na UZALENDO. Leo hii uhamiaji wanafanya kazi ya zimamoto baada ya raia wa Kagera kulalamika kuhusu kunyanyaswa na wafugaji kutoka nchi jirani. Wauzao ardhi kwa wageni ni sisi wenyewe, kwani tunajua wazi viongozi wa vijiji wanapokea rushwa au pengine hawafahamu sera ya kutomilikishwa ardhi mt asiye raia, hakunamfumo halali na wa wazi unaoweza kumsaidia kiongozi huyo kujua kama mnunuzi ni raia au la. Siku za karibuni nilikwenda RITA kutengeneza cheti cha kuzaliwa. Moja ya taarifa nilizopeleka ni pasi ya kusafiria, cheti cha kuhitimu shule ya msingi, na kubatzwa. Baada ya hapo, wiki mbili, nikapewa cheti cha kuzaliwa. Nikajiuliza je walihakiki kuwavyeti vyang vimetolewa /patikana kutoka mamlaka halali kwa wiki hizo mbili tu? Sidhani. Kwa mtazamo wangu watu wote wenye umri wa zaid ya miaka 5 uchunguzi, pengine hata kutumiawatu wa inteligensia, wa kina na kufuatilia kule mtu alikozaliwa ufanyike kabla ya kutoa cheti cha kuzaliwa. Naamini RITA wako kila wilaya na wana mfumo wa kompyuta, wafanye kazi kwa umakini. Hii itasaidia kupunguza mataizo haya kama ya huyo mwanajeshi. inasikitisha rais kumpa kamisheni mt ambaye jeshi lilitakiwa kumfanyia profile. maaafisa si wengi ki hivyo. Idara ya utumishi jeshini ikaze buti yawezekana huyo ni mmoja kati ya wengi. Wawachunguze maafisa wao wote bila kujali ukaribu. Chansela Brandt wa iliokuwa FRG alijikuta msaidizi wake wa karibu ni ajenti wa STASI. Kikulacho ki nguoni lazima tuchome nyumba kama itaua kunguni kuenea kijijni.
 
kwa heshima na taadhima napenda kuwajulisha kuwa huyu jamaa mwacheni alivyo mtaumbuka bure. ni mtanzania kwa kuzaliwa na sio mnyarwanda.

jamaa ni mnyambo na sio mtusi na hata kama angekuwa mnyarwanda basi angekuwa mhutu, muonekano wake sio wa kitusi
 
Back
Top Bottom