Kumbe ni kweli huyo ni Mnyarwanda kabisa anaeongoza vyuo vikuu Tanzania

Nyakarungu

JF-Expert Member
May 1, 2011
472
375
Wakuu,
Baada ya kuenea kwa tetesi kuwa vyuo vikuu tz vinaongozwa na kijana mnyarwanda anaeitwa CHAKUSHAMAIRE AMONI.

Niliamua kuzama utafitini kwa sababu mimi kwetu ni bukoba karagwe,

UKWELI NI HUU

Huyo kijana alihamia tz mwaka 1993 akiwa na miaka 11 na wazazi wake baada ya vurugu zilizokuwa zikiendelea huko rwanda,

Waliishi huko ngara na baadae akaanza masomo katika shule ya kulelea watoto wenye mazingira magumu hapo ngara ya kanisa katoliki.

Baadae akawa na ambition za upadre lakini akazuiliwa kwa kukutwa na msichana baadae akakosa sifa za kuwa mtawa kwa kosa la kuzini na mtoto wa mlezi wake,

Kijana huyu sio mnyambo wala muhangaza, bali ameoa mwanamke wa kinyambo ndio sababu wengi wanamchanganya na wanyambo,

Mpasha habari wangu aliponiambia haya yote niliamua kufuatilia kule wanakoyolea vyeti vya kuzaliwa ni aibu tupu kwa sababu eticheti kachukua tarehe 15-08-2011 na kinaonyesha amezaliwa hospitali ya mkoa ya kagera, jamani yaani mtu asafiri toka ngara mpaka bukoba mjini kujifungua ili hali hosp za kisasa tena za wamisionar zimejaa huko ngara

hayo sio hoja saana,ila hoja ni kuwa huyu kijana anatamani sana kuteuliwa kuwa mbunge wa bunge la katiba..je rais kikwete usipokuwa macho hawa ndo watu aliosema kagame atakupiga nao.

----------------------------------------------


Mkuu, kwanza sipendi kuongelea watu bali ISSUES cos that's what consists of big brains.

Nimeamua kuchangia hapa hasa kwakuwa issue siyo MTU bali URAIA wa TZ..

Kama anayeongelewa hapa ni huyu AMON CHAKUSHEMEILE ninayemfahamu basi mleta madaa naweza kumwita MZUSHI. Kwa ufupi nimemfahamu AMON CHAKUSHEMEILE tangu akiwa mtoto mdogo na ni kwakuwa nilikuwa mbele yake SANA katika SEMINARY

Alizaliwa BUSHANGARO - Karagwe miaka kadhaa ilopita. Na SI Ngara kama mleta mada alivyosema. Pia alizaliwa katika hospitali ya NYAKAIGA kule kule BUSHANGARO kama nilivyoelezwa na source ya uhakika na si BUKOBA

Alisoma O- Level ktk seminary ya St Charles Lwanga Katoke Sem tangu Pre form One hadi form four. Alifaulu vizuri. Aliitwa MZEE WA BIBLE kwa vile aliikariri biblia toka MWANZO hadi UFUNUO.

Baada ya O-Level alijiunga na RUBYA Seminary ADVANCED na akamerge kwenye HGK. Baadaye alikwenda Chabalisa formation house na NTUNGAMO Major Seminary akasoma Philosophy for TWO yrs. Then aliamua kuacha mtiririko wa masomo kwa ajili ya maisha ya UPADRE.

Alifundisha kwa muda ktk Seminary ya Katoke kabla ya kujiunga na Mzumbe University aliko hadi sasa. Na naambiwa ni Rais wa Serikali ya wanafunzi

OMBI: No research no right to speak. Tusilete habari za kuchafuana kwasababu tu tunataka nafasi za KISIASA kama wanasiasa hasa wa CCM. Amon CHAKUSHEMEILE as i know him is a Tanzanian and I'M READY TO PROVE THAT BEYOND ANY REASONABLE DOUBT!
genekai hukutaka kusoma na kuelewa alichoandika mleta mada au ni nini?
Mleta mada anakwambia huyu kijana hakuzaliwa Tanzania bali aliingia akiwa na miaka 11 1993-wewe unampa sifa ya uongo kwa kuwa amesema alizaliwa ngara, wapi mleta mada aliposema amezaliwa Ngara?

Umemjua tangu akiwa mtoto mdogo kwa kuwa ulikuwa mbele yake Seminary-Common, be specific; wewe si mgeni wa Jukwaa; "mtoto mdogo" kisha alikuwa nyuma yako Seminary, hii ilikuwa level gani? Kingergatten? Au ni O'level ndio unayosema mtoto mdogo?

Mleta mada anasema cheti chake cha kuzaliwa amechukua 2011 na kinaonyesha amezaliwa hospitali ya Mkoa wa Kagera, wewe unasema amezaliwa Bushangaro "miaka kadhaa iliyopita". Siijui Karagwe/Bukoba/Kagera lakini nachotaka kujua je Hospitali ya Mkoa ndio inaitwa Bushangaro? Kama sivyo, utakuwa na namna moja ya ku-find-out; upate kujua Cheti chake kama kimeandikwa amezaliwa wapi, iwapo kitaandikwa amezaliwa hospitali ya Kagera ambayo si Bushangaro(rejea swali langu hapo juu kidogo) maana yake ni kwamba huyu kijana atakuwa ameongopa! Je kwanini aongope alikozaliwa? Suala jengine je huyu mtu hana chain of clan-Yaani Baba, Mama, Babu, Bibi, wajomba, shangazi ikiwa pamoja na makburi ya watu wa jamii hiyo? Kwanini msituambie yako wapi? Hatuzuii kuwa na watanzania ambao si wazawa wa Tanzania ila tunataka tuwajue kwamba ni raia wa aina gani ili ikitokea siku wamefanya ndivyo-sivyo tutengue uraia wao (Kwani wana aili ya kwao).
 
Du kwa kweli Tanzania ni shamba la bibi, kila mjukuu anastahili kuvuna chake.Hoja za Mchungaji Mtikila kwamba Kagame ameingiza Wanyarwanda 35,000 nadhani serikali yetu imeamini kwamba alichosema Mtikila kilikuwa ni cha kweli.

Wosia wangu kwa serikali ni kwamba ifanye kila linalowezekana kuwaondoa wahamiaji haramu wa kila kabila kuna wasomali kibao hapa Dar es Salaam inasubiri nini kuwatimua, je inasubiri vitisho vya Rais wa Somalia ndipo ichukue hatua? Kuna raia wa Kenya pale Mafinga wamejimilikisha ardhi kubwa kinyume cha sheria nao waondolewe.

Tanzania bila mamluki INAWEZEKANA.
 
....uwanja wa fisi,kelele kibao lakini waoga kung'ata, i like my goverment...
 
Nahofia sana mateso wanayopata watz wenzetu wanaopelekwa ugenini kwa kuambiwa sio raia kwasababu tu ya chuki na tofauti za kisiasa! Ni manyanyaso ambayo huwezi kueleza hapa!
 
umenena mkuu.nakupongeza kwa kuonyesha mfano.huu ndio uzalendo.hawa watu ni moja ya majanga ya taifa hili.madhara ya wahamiaji haramu hayaelezeki.hili sio swala la kukenulia.wanakaba ajira.wanatupeleleza!!!!
 
kuna wakongo wanasoma chuo cha teofile kisanji TEKU na wanapata mkopo kama kawaida kuna wanyarwanda kibao wakenya waganda na siku hizi naona wimbi la wanaijeria kibao maeneo ya tabata yani khaaaa
 
kuna wakongo wanasoma chuo cha teofile kisanji TEKU na wanapata mkopo kama kawaida kuna wanyarwanda kibao wakenya waganda na siku hizi naona wimbi la wanaijeria kibao maeneo ya tabata yani khaaaa

uhamiaji wanafanya kazi gani?waziri nchimbi yuko huku mtandaoni???
 
Mkuu, kwanza sipendi kuongelea watu bali ISSUES cos that's what consists of big brains.

Nimeamua kuchangia hapa hasa kwakuwa issue siyo MTU bali URAIA wa TZ..

Kama anayeongelewa hapa ni huyu AMON CHAKUSHEMEILE ninayemfahamu basi mleta mada naweza kumwita MZUSHI. Kwa ufupi nimemfahamu AMON CHAKUSHEMEILE tangu akiwa mtoto mdogo na ni kwakuwa nilikuwa mbele yake SANA katika SEMINARY

Alizaliwa BUSHANGARO - Karagwe miaka kadhaa ilopita. Na SI Ngara kama mleta mada alivyosema. Pia alizaliwa katika hospitali ya NYAKAIGA kule kule BUSHANGARO kama nilivyoelezwa na source ya uhakika na si BUKOBA

Alisoma O- Level ktk seminary ya St Charles Lwanga Katoke Sem tangu Pre form One hadi form four. Alifaulu vizuri. Aliitwa MZEE WA BIBLE kwa vile aliikariri biblia toka MWANZO hadi UFUNUO.

Baada ya O-Level alijiunga na RUBYA Seminary ADVANCED na akamerge kwenye HGK. Baadaye alikwenda Chabalisa formation house na NTUNGAMO Major Seminary akasoma Philosophy for TWO yrs. Then aliamua kuacha mtiririko wa masomo kwa ajili ya maisha ya UPADRE.

Alifundisha kwa muda ktk Seminary ya Katoke kabla ya kujiunga na Mzumbe University aliko hadi sasa. Na naambiwa ni Rais wa Serikali ya wanafunzi

OMBI: No research no right to speak. Tusilete habari za kuchafuana kwasababu tu tunataka nafasi za KISIASA kama wanasiasa hasa wa CCM. Amon CHAKUSHEMEILE as i know him is a Tanzanian and I'M READY TO PROVE THAT BEYOND ANY REASONABLE DOUBT!
 
Mkuu, kwanza sipendi kuongelea watu bali ISSUES cos that's what consists of big brains.

Nimeamua kuchangia hapa hasa kwakuwa issue siyo MTU bali URAIA wa TZ..

Kama anayeongelewa hapa ni huyu AMON CHAKUSHEMEILE ninayemfahamu basi mleta mada naweza kumwita MZUSHI. Kwa ufupi nimemfahamu AMON CHAKUSHEMEILE tangu akiwa mtoto mdogo na ni kwakuwa nilikuwa mbele yake SANA katika shule.

Alizaliwa BUSHANGARO - Karagwe miaka kadhaa ilopita. Na SI Ngara kama mleta mada alivyosema. Pia alizaliwa katika hospitali ya NYAKAIGA kule kule BUSHANGARO kama nilivyoelezwa na source ya uhakika na si BUKOBA

Alisoma O- Level ktk seminary ya St Charles Lwanga Katoke Sem tangu Pre form One hadi form four. Alifaulu vizuri. Aliitwa MZEE WA BIBLE kwa vile aliikariri biblia toka MWANZO hadi UFUNUO.

Baada ya O-Level alijiunga na RUBYA Seminary ADVANCED na merge kwenye HGK. Baadaye alikwenda Chabalisa formation house na NTUNGAMO Major Seminary akasoma Philosophy for TWO yrs. Then aliamua kuacha mtiririko wa masomo kwa ajili ya maisha ya UPADRE.

Alifundisha kwa muda ktk Seminary ya Katoke kabla ya kujiunga na Mzumbe University aliko hadi sasa. Na naambiwa ni Rais wa Serikali ya wanafunzi

OMBI: No research no right to speak. Tusilete habari za kuchafuana kwasababu tu tunataka nafasi za KISIASA kama wanasiasa hasa wa CCM. Amon CHAKUSHEMEILE as i know him is a Tanzanian and I'M READY TO PROVE THAT BEYOND ANY REASONABLE DOUBT!
Asante mheshimiwa kwa kutuhabarisha hali halisi,kumbe ni mtoto wetu kabisa
 
huu ujumbe uwafikie bodi ya mikopo wanaotoa mikopo kwa wakimbizi wa rwanda,kenya etc katika Elimu ya juu.
 
Mkuu, kwanza sipendi kuongelea watu bali ISSUES cos that's what consists of big brains.

Nimeamua kuchangia hapa hasa kwakuwa issue siyo MTU bali URAIA wa TZ..

Kama anayeongelewa hapa ni huyu AMON CHAKUSHEMEILE ninayemfahamu basi mleta mada naweza kumwita MZUSHI. Kwa ufupi nimemfahamu AMON CHAKUSHEMEILE tangu akiwa mtoto mdogo na ni kwakuwa nilikuwa mbele yake SANA katika SEMINARY

Alizaliwa BUSHANGARO - Karagwe miaka kadhaa ilopita. Na SI Ngara kama mleta mada alivyosema. Pia alizaliwa katika hospitali ya NYAKAIGA kule kule BUSHANGARO kama nilivyoelezwa na source ya uhakika na si BUKOBA

Alisoma O- Level ktk seminary ya St Charles Lwanga Katoke Sem tangu Pre form One hadi form four. Alifaulu vizuri. Aliitwa MZEE WA BIBLE kwa vile aliikariri biblia toka MWANZO hadi UFUNUO.

Baada ya O-Level alijiunga na RUBYA Seminary ADVANCED na akamerge kwenye HGK. Baadaye alikwenda Chabalisa formation house na NTUNGAMO Major Seminary akasoma Philosophy for TWO yrs. Then aliamua kuacha mtiririko wa masomo kwa ajili ya maisha ya UPADRE.

Alifundisha kwa muda ktk Seminary ya Katoke kabla ya kujiunga na Mzumbe University aliko hadi sasa. Na naambiwa ni Rais wa Serikali ya wanafunzi

OMBI: No research no right to speak. Tusilete habari za kuchafuana kwasababu tu tunataka nafasi za KISIASA kama wanasiasa hasa wa CCM. Amon CHAKUSHEMEILE as i know him is a Tanzanian and I'M READY TO PROVE THAT BEYOND ANY REASONABLE DOUBT!
nahisi ni wewe mbona umekuja kwa nguvu sana
 
Mkuu, kwanza sipendi kuongelea watu bali ISSUES cos that's what consists of big brains.

Nimeamua kuchangia hapa hasa kwakuwa issue siyo MTU bali URAIA wa TZ..

Kama anayeongelewa hapa ni huyu AMON CHAKUSHEMEILE ninayemfahamu basi mleta mada naweza kumwita MZUSHI. Kwa ufupi nimemfahamu AMON CHAKUSHEMEILE tangu akiwa mtoto mdogo na ni kwakuwa nilikuwa mbele yake SANA katika SEMINARY

Alizaliwa BUSHANGARO - Karagwe miaka kadhaa ilopita. Na SI Ngara kama mleta mada alivyosema. Pia alizaliwa katika hospitali ya NYAKAIGA kule kule BUSHANGARO kama nilivyoelezwa na source ya uhakika na si BUKOBA

Alisoma O- Level ktk seminary ya St Charles Lwanga Katoke Sem tangu Pre form One hadi form four. Alifaulu vizuri. Aliitwa MZEE WA BIBLE kwa vile aliikariri biblia toka MWANZO hadi UFUNUO.

Baada ya O-Level alijiunga na RUBYA Seminary ADVANCED na akamerge kwenye HGK. Baadaye alikwenda Chabalisa formation house na NTUNGAMO Major Seminary akasoma Philosophy for TWO yrs. Then aliamua kuacha mtiririko wa masomo kwa ajili ya maisha ya UPADRE.

Alifundisha kwa muda ktk Seminary ya Katoke kabla ya kujiunga na Mzumbe University aliko hadi sasa. Na naambiwa ni Rais wa Serikali ya wanafunzi

OMBI: No research no right to speak. Tusilete habari za kuchafuana kwasababu tu tunataka nafasi za KISIASA kama wanasiasa hasa wa CCM. Amon CHAKUSHEMEILE as i know him is a Tanzanian and I'M READY TO PROVE THAT BEYOND ANY REASONABLE DOUBT!
Mkuu madai mazito lakini wewe umekutana naye seminary watu wanasema kaja Tanzania ana miaka 11 seminarini huwezi kuwepo Kwa umri huo.That is the age anafanya kazi parokiani.Sasa unabeba mzigo mzito kwa kusema hayo.Kwa kuwa ni mkatoliki basi parokiani kwake kuna taarifa za kuzaliwa na kubatizwa ukweli utajulikana kupitia Kwa baba na mama yake na kanisani kuna taarifa za kuzaliwa kwake.
 
Back
Top Bottom