Kumbe ni kweli huyo ni Mnyarwanda kabisa anaeongoza vyuo vikuu Tanzania

Mkuu naomba unijuze kwa pale Katoke Seminary uliposoma...Pre-form one wanasomea palepale? Ninavyojua mimi ni kuwa Pre-form one walikuwa wanaanzia Ntungamo alafu pale Katoke wanakuja wakiwa form one au form two kama sijakosea. Wewe ulianzia pale Pre-form one? Kweli? Niweke sawa kwa hilo kwanza alafu ndo tuendelee na maswali mengine.
Kabla ya 1998 pre- form One na form ONE walikuwa wakianzia NTUNGAMO- NGARA, ila tangu 1998 hadi LEO Pre- form ONE wanaanzia pale pale KASEMI. Ntungamo kwasasa ni chuo cha Katekesi!

Namtetea mleta mada kama wewe unamfahamu twambie wazazi wake na mababu zake na kijiji anachotoka make nilifanikiwa kuishii huko mbona huyo simfahamu? nimeishi hapo nyakaiga nimesomea s/msingi nyakaiga awataje wazazi wake na wazazi wake wanatoka ukoo upi, inawezekana unamtetea ukweli utajulikana hakuna eneo linalonipiga chenga Sasa
Wataje wazazi wake baba yake anazaliwa na nani na mama yake alitoka wapi ili tuweze kuendelea
Tatizo nyie watu ni wavivu kusoma posts ndefu, angalia hapo juu nimeeleza kila kila swali unalouliza BAADA ya mimi kutoa maelezo

Mathematically, huenda jibu halisi likawa hapo kwenye Bluu (Mutul Exclusive events). Hayo mengine ni sehemu ya majisifu ambayo mie si fani yangu. By the way nimezaliwa trh 9/08/1968 ilikuwa siku ya Ijumaa, alfajir; ndani ya Jiji hili la Dar, (Japo viyamboni Morogoro). Kwa hiyo hapo kwenye red utapiga hesabu zako na kujiweka kwenye kundi husika kadri utakavyoona inafaa.
Sijaona cha kukujibu Mkuu, well tuyaache tu haya!!!
 
Uongozi wa serikali za wanafunzi moja ya masharti ni awe mwanafunzi wa chuo hicho sidhani kuna sharti la awe Mtanzania. Nadhani mwenye hoja anazungumzia uraia pasipotakiwa!! Ila kama anajiita mtanzania hilo soo.

Mimi sipo upande wa uteteaji wa hili zoezi linaoendelea hila nadhani ni busara kuna kesi zingine ziangaliwe na mazingira ya mhusika. Mtu aliekuja Tanzania kama mtoto mdogo au kazaliwa ndani ya Tanzania si kosa lake yeye kuwepo ndani ya Tanzania. Maamuzi hayo yalifanywa na wazazi wake na bila ya ushirika wake akiwa mtoto au kabla hajazaliwa.

Hivyo hawa ni victims by circumstances and they qualify for human rights protection on the basis kwamba what they know mostly is Tanzania and its ways, their primary socialization occurred in Tanzania and in most cases they have lost family ties of their parents origin. Hivyo ni busara kuwatambua na kupewa haki za kuishi ni jinsi gani wataruhusiwa kuingia katika sensitive sectors of our government and the position they hold is matter of national security.

Maana kwa wao tatizo sio wazazi wao tu bali na systems zetu of checks kushindwa kufanya early intervention, amna utaratibu rasmi wa kupeleka watoto shuleni kwa vitambulisho kama cheti cha kuzaliwa au proper checks za walipo zaliwa wazazi kabla ya mtu kuomba makaratasi ya kitanzania.

Kwa hivyo sina tatizo na watu ambao wamejikuta si watanzania na wapo ndani ya Tanzania bila ya kushirikishwa kwenye uwepo wao hapo awali kutokana na umri wao walio ingia ndani ya Tanzania au kwa kuzaliwa kwa sababu ya maamuzi au matendo yaliyofanywa na wazazi wao.

Tuache kuangalia haya kwa jicho la Kagame pekee na wanyarwanda wake ambao wana agenda zao kwa sasa. Maana kuna watu wengine ambao wata adhibiwa kisa megalomaniac mmoja anataka kuwaaribia wote. Ni muhimu kuwepo na utaratibu wa kuwatambua hawa watu kwa mpangilio na kuanzia sasa huwepo utaratibu wa kuwajua watanzania from an early stage of their social interaction nikimaanisha mashuleni hili kutoa haya matatizo mbeleni kwakuwa border patrols in afrika bado sana. Vilevile ni jukumu la serikali kurekebisha makosa ya awali kwanza maana na wao wamechangia kuwafikisha hawa ambao wamelelewa Tanzania kufika hapa na sasa inataka kuwa haribia maisha, hivyo si sawa kutoa maamuzi ya jumla jumla kwenye hii operation.

Lakini kama nilivyosemaa hawali waliokuja ukubwani na wanajua wanachokifanya ikiwemo kutaka kuzamia na kudai kuwa wapewe haki za uraia bila ya kufuata sheria wasakwe na warudishe makwao hata kama wameoa na wana watoto na hapo wala sioni tatizo kwasababu mwisho wa siku ni wahamiaji haramu tu, bora masai aangaike kwenye mapori yote na ng'ombe wake kwa kujanifisi kuliko wahamiaji haramu waje wachukue cha wenyeji hatakama wenyeji hawatumi na kuleta matatizo mengine ya jamii ambayo hatukuwa nayo kwa ukubwa wa sasa.
 
Wivu at work na wewe soma upate maendeleo sheria za dunia nzima mtu akika sehemu zaid ya 5yrs tayari ni raia wa halali ya ile nchi husika sasa huyo mtu toka 11 mpaka now anamiaka mingapi?


Heeee... kwa hio nkienda Marekani nkakaa kwa zaidi ya miaka mitano na mimi nakua Ndugu yake na Obama? Acha masikhara wema_1...
Au ndio wema wenyewe sawa na jina lako?

Na kama wewe wema_1 ni binti basi angalia wema wako usije ukakuponza siku moja....utawaonjesha sana boys kwa sababu umepewa bure nawe utoe bure...wema wa kijinga huo...
 
Mimi sipo upande wa uteteaji wa hili zoezi linaoendelea hila nadhani ni busara kuna kesi zingine ziangaliwe na mazingira ya mhusika. Mtu aliekuja Tanzania kama mtoto mdogo au kazaliwa ndani ya Tanzania si kosa lake yeye kuwepo ndani ya Tanzania. Maamuzi hayo yalifanywa na wazazi wake na bila ya ushirika wake akiwa mtoto au kabla hajazaliwa.

Hivyo hawa ni victims by circumstances and they qualify for human rights protection on the basis kwamba what they know mostly is Tanzania and its ways, their primary socialization occurred in Tanzania and in most cases they have lost family ties of their parents origin. Hivyo ni busara kuwatambua na kupewa haki za kuishi ni jinsi gani wataruhusiwa kuingia katika sensitive sectors of our government and the position they hold is matter of national security.

Maana kwa wao tatizo sio wazazi wao tu bali na systems zetu of checks kushindwa kufanya early intervention, amna utaratibu rasmi wa kupeleka watoto shuleni kwa vitambulisho kama cheti cha kuzaliwa au proper checks za walipo zaliwa wazazi kabla ya mtu kuomba makaratasi ya kitanzania.

Kwa hivyo sina tatizo na watu ambao wamejikuta si watanzania na wapo ndani ya Tanzania bila ya kushirikishwa kwenye uwepo wao hapo awali kutokana na umri wao walio ingia ndani ya Tanzania au kwa kuzaliwa kwa sababu ya maamuzi au matendo ya wazazi wao.

Tuache kuangalia haya kwa jicho la Kagame pekee na wanyarwanda wake ambao wana agenda zao kwa sasa. Maana kuna watu wengine ambao wata adhibiwa kisa megalomaniac mmoja anataka kuwaaribia wote. Ni muhimu kuwepo na utaratibu wa kuwatambua hawa watu kwa mpangilio na kuanzia sasa huwepo utaratibu wa kuwajua watanzania from an early stage of their social interaction nikimaanisha mashuleni hili kutoa haya matatizo mbeleni kwakuwa border patrols in afrika bado sana. Vilevile ni jukumu la serikali kurekebisha makosa ya awali kwanza kwakuwa na wao wamechangia kuwafikisha hawa ambao wamelelewa Tanzania kufika hapa, hivyo si sawa kutoa maamuzi ya jumla jumla.

Lakini kama nilivyosemaa hawali waliokuja ukubwani na wanajua wanachokifanya ikiwemo kutaka kuzamia na kudai kuwa wapewe haki za uraia bila ya kufuata sheria wasakwe na warudishe makwao na hapo wala sioni tatizo ni wahamiaji haram utu, bora masai aangaike kwenye mapori yote na ng'ombe wake kwa kujanifisi kuliko wahamiaji haramu waje wachukue chao hatakama wenyeji hawatumii.
Victims of circumstances true lakini sheria iko wazi na njia za kurekebisha tatizo hili pia zipo.Wanachotakiwa ni kuomba uraia a kuomba permanent residency permit kama hapa kwetu zipo ambapo watabakia na uraia wa wazazi wao. napofuata green pastures once yakikauka utahama!!! Ndvyo wafugaji hufanya na mifugo yao. Kuna watu wengi tu ambao wameamua kuwa watanzania au raia wa nchi nyingine yeyote na wakaintegrate bila matatizo. Nadhani suala hili limeshawekwa wazi na serikali kuwa wanaweza kuomba kaazi au uraia lakini country without boarders approach ambayo imezoeleka. Majirani zetu wote sasa hivi wanautulivu hivo ni vema wakawapokea raia wao bila maneno. Hivyo kama wamelelewa hapa na hawa hawamini 'kwetu mihogo kama paja' njia iko wazi.
 
Mkuu, kwanza sipendi kuongelea watu bali ISSUES cos that's what consists of big brains.

Nimeamua kuchangia hapa hasa kwakuwa issue siyo MTU bali URAIA wa TZ..

Kama anayeongelewa hapa ni huyu AMON CHAKUSHEMEILE ninayemfahamu basi mleta mada naweza kumwita MZUSHI. Kwa ufupi nimemfahamu AMON CHAKUSHEMEILE tangu akiwa mtoto mdogo na ni kwakuwa nilikuwa mbele yake SANA katika SEMINARY

Alizaliwa BUSHANGARO - Karagwe miaka kadhaa ilopita. Na SI Ngara kama mleta mada alivyosema. Pia alizaliwa katika hospitali ya NYAKAIGA kule kule BUSHANGARO kama nilivyoelezwa na source ya uhakika na si BUKOBA

Alisoma O- Level ktk seminary ya St Charles Lwanga Katoke Sem tangu Pre form One hadi form four. Alifaulu vizuri. Aliitwa MZEE WA BIBLE kwa vile aliikariri biblia toka MWANZO hadi UFUNUO.

Baada ya O-Level alijiunga na RUBYA Seminary ADVANCED na akamerge kwenye HGK. Baadaye alikwenda Chabalisa formation house na NTUNGAMO Major Seminary akasoma Philosophy for TWO yrs. Then aliamua kuacha mtiririko wa masomo kwa ajili ya maisha ya UPADRE.

Alifundisha kwa muda ktk Seminary ya Katoke kabla ya kujiunga na Mzumbe University aliko hadi sasa. Na naambiwa ni Rais wa Serikali ya wanafunzi

OMBI: No research no right to speak. Tusilete habari za kuchafuana kwasababu tu tunataka nafasi za KISIASA kama wanasiasa hasa wa CCM. Amon CHAKUSHEMEILE as i know him is a Tanzanian and I'M READY TO PROVE THAT BEYOND ANY REASONABLE DOUBT!
============H

Unless anayeongea ni CHAKUSHEMEILE mwenyewe na si Genekai, nina sababu nzito ya kukataa ufafanuzi wako.
Naandika nikiwa Nyakaiga Bushangaro. Chaku kama anavyofahamika hapa, alikuja akiwa mtu mzima akitokea Katoke Seminary wakati wa likizo zake akiwa Frateli. Hapa hakuna anayejua alizaliwa wapi maana wakati huo kuna watu wengi walikuwa wanakuja kutoka Ngara na Biharamulo kujiunga na MKAMILISHANO hapa Bushangaro. Narudia tena, Chakushemeile hakuzaliwa hapa Bushangaro. Kama anataka uraia ajiunge na CCM hili tatizo lilatiasha kirahisi.

 
Kabla ya 1998 pre- form One na form ONE walikuwa wakianzia NTUNGAMO- NGARA, ila tangu 1998 hadi LEO Pre- form ONE wanaanzia pale pale KASEMI. Ntungamo kwasasa ni chuo cha Katekesi!


Tatizo nyie watu ni wavivu kusoma posts ndefu, angalia hapo juu nimeeleza kila kila swali unalouliza BAADA ya mimi kutoa maelezo


Sijaona cha kukujibu Mkuu, well tuyaache tu haya!!!

Kwa hiyo unataka kusema yeye kaanza pre-form one baada ya 1998? Aliyeleta mada kasema jamaa mwaka 1993 ndo aliingia TZ akiwa 11yrs old...inamaana kazaliwa 1982. Na wewe unasema jamaa alianza pre-form one akiwa na 13/14yrs ambayo kimsingi ni 1995/1996 au basi hata 1997 of which ilikuwa lazima aanzie Ntungamo. SHAKA LA KWANZA!

Katika hali ya kawaida hata kama awe alianzia hapo hapo Katoke...ni nadra sana kwa mtoto wa pre-form one kuwa "close" kiasi hicho na mtu wa form six ukizingatia wao wanaanza January wakati nyie F6 ndo mpo bize sana kujiandaa na pepa mwezi May. Huyu dogo alikuwa na kitu gani cha kudraw "attention" ya F6 na wewe kwa maelezo yako unadai si ndugu yako ila tu mlifahamiana hapo Katoke. Kweli mtu mliyefahamiana kwa miezi 5 tu ndiyo unamtetea kiasi hicho? Kweli? SHAKA LA PILI.

Miaka hiyo ya kuanzia 1998/1999 kuna mwanaJF hapa tena anatumia jina halisi na kwa sasa ni Padre pale Ngara kwa jina la Genecius Kaiza unamkubuka?

Ndugu yangu mtu anaweza akawa ni mhamiaji haramu ila usijue...tena hapo Katoke ndo walikuwa wengi sana,BISEKO pale na hata KAGANGO SEC...wengine walisoma mpaka UDSM lakini siku hizi walisharudi kwao Rwanda wanaendeleza nchi yao. Unataka nikupe mifano kabisa?
 
Victims of circumstances true lakini sheria iko wazi na njia za kurekebisha tatizo hili pia zipo.Wanachotakiwa ni kuomba uraia a kuomba permanent residency permit kama hapa kwetu zipo ambapo watabakia na uraia wa wazazi wao. napofuata green pastures once yakikauka utahama!!! Ndvyo wafugaji hufanya na mifugo yao. Kuna watu wengi tu ambao wameamua kuwa watanzania au raia wa nchi nyingine yeyote na wakaintegrate bila matatizo. Nadhani suala hili limeshawekwa wazi na serikali kuwa wanaweza kuomba kaazi au uraia lakini country without boarders approach ambayo imezoeleka. Majirani zetu wote sasa hivi wanautulivu hivo ni vema wakawapokea raia wao bila maneno. Hivyo kama wamelelewa hapa na hawa hawamini 'kwetu mihogo kama paja' njia iko wazi.

Unawapa watu muda na deadline, serikali haiwezi sema wahamiaji haramu waliopo sehemu fulani warudi baada ya tarehe fulani halafu kulifanya zoezi ni la taifa.

Kilichotakiwa kufuata kama walikuwa na mpango wa kuingia at national level considering the complexity of the problem in Tanzania ni kutoa maelezo kwa jamii kama wewe auko katika category hii ambayo inatambuliwa kwa namna hizi ki sheria za uraia inabidi ufanye ABC kupata kibali cha kuishi.

Lakini si sawa kuwavaa watu kihole holela, halafu kwanza lazima uelewe kuna wengine wangeogopa considering what they might have to loose licha ya mali bali marafiki na familia zao ndogo walizoanza. Serikali ilitakiwa kuwa guarantee wale ambao waliingia watoto au kuzaliwa hapa all they needed to do was acquire the rightful papers to remain provided they have proof of being born in the country or lived here for some time without going back to their motherland.

Like i said ndio kuna waliokosa shukurani na loyalty lakini vilevile kuna wale walioshi kwa amani na kujitambua kama watanzania bila ya kuwa watanzania kisheria, hivyo inabidi zoezi lifanywe kwa busara na kuzingatia haki za watu ambao wameishi vizuri na majirani, wafanyakazi wenzao na marafiki waliojijengea tangia utotoni isitoshe hawajui lolote kuhusu sehemu walipotoka wazazi wao.

Me out, don't forget muhamiaji haramu anaejitambua arudishwe tu hapo amna mjadala.
 
============H

Unless anayeongea ni CHAKUSHEMEILE mwenyewe na si Genekai, nina sababu nzito ya kukataa ufafanuzi wako.
Naandika nikiwa Nyakaiga Bushangaro. Chaku kama anavyofahamika hapa, alikuja akiwa mtu mzima akitokea Katoke Seminary wakati wa likizo zake akiwa Frateli. Hapa hakuna anayejua alizaliwa wapi maana wakati huo kuna watu wengi walikuwa wanakuja kutoka Ngara na Biharamulo kujiunga na MKAMILISHANO hapa Bushangaro. Narudia tena, Chakushemeile hakuzaliwa hapa Bushangaro. Kama anataka uraia ajiunge na CCM hili tatizo litaisha kirahisi.


ccm ndio chaka la kujificha wahamiaji haramu??!! duh
 
Katika hali ya kawaida hata kama awe alianzia hapo hapo Katoke...ni nadra sana kwa mtoto wa pre-form one kuwa "close" kiasi hicho na mtu wa form six ukizingatia wao wanaanza January wakati nyie F6 ndo mpo bize sana kujiandaa na pepa mwezi May. Huyu dogo alikuwa na kitu gani cha kudraw "attention" ya F6, Kweli mtu mliyefahamiana kwa miezi 5 tu ndiyo unamtetea kiasi hicho? Kweli??
Nimeona nijibu hili mkuu, kuhusu CLOSENESS: Ni kweli kabisa kwamba ukiwa form SIX ilikuwa ngumu na pengine BADO ni ngumu kumfahamu pre form ONE. Ila kama nilivyoeleza hapo juu, Tulimwita AMON, "Mzee wa BIBLE" kwa vile alikuwa amekariri BIBLIA verbatimly tangu kitabu cha MWANZO hadi REVELATION, na hili ndo lililomfanyaAmon ajulikane kwa wengi tena ndani ya muda mfupi. Hili lilifanya awe center of ATTENTION siyo kwa wanafunzi tu bali pia kwa STAFF. Nadhani umenipata sawa kaka!!!!!
 
Unawapa watu muda na deadline, serikali haiwezi sema wahamiaji haramu waliopo sehemu fulani warudi baada ya tarehe fulani halafu kulifanya zoezi ni la taifa.

Kilichotakiwa kufuata kama walikuwa na mpango wa kuingia at national level considering the complexity of the problem in Tanzania ni kutoa maelezo kwa jamii kama wewe auko katika category hii ambayo inatambuliwa kwa namna hizi ki sheria za uraia inabidi ufanye ABC kupata kibali cha kuishi.

Lakini si sawa kuwavaa watu kihole holela, halafu kwanza lazima uelewe kuna wengine wangeogopa considering what they might have to loose licha ya mali bali marafiki na familia zao ndogo walizoanza. Serikali ilitakiwa kuwa guarantee wale ambao waliingia watoto au kuzaliwa hapa all they needed to do was acquire the rightful papers to remain provided they have proof of being born in the country or lived here for some time without going back to their motherland.

Like i said ndio kuna waliokosa shukurani na loyalty lakini vilevile kuna wale walioshi kwa amani na kujitambua kama watanzania bila ya kuwa watanzania kisheria, hivyo inabidi zoezi lifanywe kwa busara na kuzingatia haki za watu ambao wameishi vizuri na majirani, wafanyakazi wenzao na marafiki waliojijengea tangia utotoni isitoshe hawajui lolote kuhusu sehemu walipotoka wazazi wao.

Me out, don't forget muhamiaji haramu anaejitambua arudishwe tu hapo amna mjadala.
Wahamiaji haramu hujijua fika. Kuna mtu aliwahi kumwingiza mkewe kiharamu huko ulaya, na alimficha kwa miaka mitatu, bahati mbaya/nzuri akapata mimba. Yaliyofuata unaeweza kuelewa mwenyewe alijisalimisha. So though unfortunate, these people always know it might happen. They are still welcome to come back through the right channels though. If you overstay your visit in the USA and get somehow caught you won;t be allowed back to your flat. Tome the Rwandan issue is just a small case, but serious, as a factor to be considered to future applicants.
 
Nimeona nijibu hili mkuu, kuhusu CLOSENESS: Ni kweli kabisa kwamba ukiwa form SIX ilikuwa ngumu na pengine BADO ni ngumu kumfahamu pre form ONE. Ila kama nilivyoeleza hapo juu, Tulimwita AMON, "Mzee wa BIBLE" kwa vile alikuwa amekariri BIBLIA verbatimly tangu kitabu cha MWANZO hadi REVELATION, na hili ndo lililomfanyaAmon ajulikane kwa wengi tena ndani ya muda mfupi. Hili lilifanya awe center of ATTENTION siyo kwa wanafunzi tu bali pia kwa STAFF. Nadhani umenipata sawa kaka!!!!!

Nimekupata kwa kunijibu SHAKA LA KWANZA...lakini kumbuka kuna "mashaka" mawili ambayo niliyazungumzia hapo juu. Naomba umalizie na hilo shaka jingine ndugu yangu...siyo kwamba nina chuki na jamaa ila tu nataka tuwekane sawa hapa.
 
Kila mwananchi ana wajibu wa kuilinda nchi yake na mali zake. Kuwaacha wageni wakajifanyia lolote watakalo katika nchi yako ni kosa kubwa. Timiza wajibu wako kwa kuhakikisha wageni wanafuata taratibu na sheria za nchi yako. Washirikishe wananchi wenzako na ikibidi tumieni hata nguvu kama mamlaka zinazohusika haziwajibiki mkizipa taarifa.
Ni muhimu sana kuhakikisha usalama wa vizazi vyako vijavyo.
Adui mkubwa kwa kizazi kijacho cha watanzania ni watumishi wa uma na viongozi wanaopendelea wageni. Hawa wanapaswa kushughulikiwa mapema kabla hali haijawa mbaya zaidi. wanastahili adhabu kubwa kuliko vibaka wanaoiba mitaani!
 
Mkuu, kwanza sipendi kuongelea watu bali ISSUES cos that's what consists of big brains.

Nimeamua kuchangia hapa hasa kwakuwa issue siyo MTU bali URAIA wa TZ..

Kama anayeongelewa hapa ni huyu AMON CHAKUSHEMEILE ninayemfahamu basi mleta mada naweza kumwita MZUSHI. Kwa ufupi nimemfahamu AMON CHAKUSHEMEILE tangu akiwa mtoto mdogo na ni kwakuwa nilikuwa mbele yake SANA katika SEMINARY

Alizaliwa BUSHANGARO - Karagwe miaka kadhaa ilopita. Na SI Ngara kama mleta mada alivyosema. Pia alizaliwa katika hospitali ya NYAKAIGA kule kule BUSHANGARO kama nilivyoelezwa na source ya uhakika na si BUKOBA

Alisoma O- Level ktk seminary ya St Charles Lwanga Katoke Sem tangu Pre form One hadi form four. Alifaulu vizuri. Aliitwa MZEE WA BIBLE kwa vile aliikariri biblia toka MWANZO hadi UFUNUO.

Baada ya O-Level alijiunga na RUBYA Seminary ADVANCED na akamerge kwenye HGK. Baadaye alikwenda Chabalisa formation house na NTUNGAMO Major Seminary akasoma Philosophy for TWO yrs. Then aliamua kuacha mtiririko wa masomo kwa ajili ya maisha ya UPADRE.

Alifundisha kwa muda ktk Seminary ya Katoke kabla ya kujiunga na Mzumbe University aliko hadi sasa. Na naambiwa ni Rais wa Serikali ya wanafunzi

OMBI: No research no right to speak. Tusilete habari za kuchafuana kwasababu tu tunataka nafasi za KISIASA kama wanasiasa hasa wa CCM. Amon CHAKUSHEMEILE as i know him is a Tanzanian and I'M READY TO PROVE THAT BEYOND ANY REASONABLE DOUBT!
watanzania tunakoelekea ni kubaya sana, chuki hizi dhidi ya wageni hazitaishia hapo, tutabaguana hata wenyewe kwa wenyewe. Tupo wengi sana huko south Africa.
 
Wahamiaji haramu hujijua fika. Kuna mtu aliwahi kumwingiza mkewe kiharamu huko ulaya, na alimficha kwa miaka mitatu, bahati mbaya/nzuri akapata mimba. Yaliyofuata unaeweza kuelewa mwenyewe alijisalimisha. So though unfortunate, these people always know it might happen. They are still welcome to come back through the right channels though. If you overstay your visit in the USA and get somehow caught you won;t be allowed back to your flat. Tome the Rwandan issue is just a small case, but serious, as a factor to be considered to future applicants.
Sijui huko USA utaratibu wao ukoje, hila nilipo mimi kuna sensitive human rights laws and groups to champion the course such as child protection agencies, women rights organisation etc to do with one's right.

Hivyo kama nduguyo yuko huku nilipo na mkewe kamjaza mimba mwambie ampeleke tu clinic watampeleka hospitali siku zikifika na atazalishwa tu hila ajue akitoka wanampa bill yake kama hana kitambulisho fulani cha daktari wake na hatopata postnatal care ya serikali alikdhalika kuna charity ambazo zipo humanitarian kwa kuzingatia haki za mtoto na mama zitampa hiyo huduma. Na pengine immigration ndio watakapo mkamata huko.

Vilevile kuzamia huwezi hata kama ulikuja mdogo again sheria za watoto zinasema elimu ni haki ya mwanadamu, kwa hivyo mpaka secondary unaweza pita kwa ujanja kwakuwa makaratasi hayaimiziwi sana. Inapofika unataka kuingia elimu ya juu hapo sasa ndio kasheshe linapoanza bila ya karatasi au kitambulisho cha uraia shughuli huna there after. Kwenye ajira nako lazima uonyeshe right papers, kufungua bank account lazima uonyeshe right papers, there is no escape after childhood, kwa hivyo hata ukija kuzaa mwanao anakutana na scenario ya nduguyo aliemficha mkewe akishafika miaka kumi na sita and the game just rewind kama utofata taratibu za kuishi na kupewa kibali au makaratasi.

Well kuhusu mimi I am safe
 
Wakuu,
Baada ya kuenea kwa tetesi kuwa vyuo vikuu tz vinaongozwa na kijana mnyarwanda anaeitwa CHAKUSHAMAIRE AMONI.

Niliamua kuzama utafitini kwa sababu mimi kwetu ni bukoba karagwe,

UKWELI NI HUU

Huyo kijana alihamia tz mwaka 1993 akiwa na miaka 11 na wazazi wake baada ya vurugu zilizokuwa zikiendelea huko rwanda,

Waliishi huko ngara na baadae akaanza masomo katika shule ya kulelea watoto wenye mazingira magumu hapo ngara ya kanisa katoliki.

Baadae akawa na ambition za upadre lakini akazuiliwa kwa kukutwa na msichana baadae akakosa sifa za kuwa mtawa kwa kosa la kuzini na mtoto wa mlezi wake,

Kijana huyu sio mnyambo wala muhangaza, bali ameoa mwanamke wa kinyambo ndio sababu wengi wanamchanganya na wanyambo,

Mpasha habari wangu aliponiambia haya yote niliamua kufuatilia kule wanakoyolea vyeti vya kuzaliwa ni aibu tupu kwa sababu eticheti kachukua tarehe 15-08-2011 na kinaonyesha amezaliwa hospitali ya mkoa ya kagera, jamani yaani mtu asafiri toka ngara mpaka bukoba mjini kujifungua ili hali hosp za kisasa tena za wamisionar zimejaa huko ngara

hayo sio hoja saana,ila hoja ni kuwa huyu kijana anatamani sana kuteuliwa kuwa mbunge wa bunge la katiba..je rais kikwete usipokuwa macho hawa ndo watu aliosema kagame atakupiga nao.

----------------------------------------------



Hii nchi tunamatatizo sana Principal wa College of Social Science Udom Prof. Lubagumi nae mtusi anaebisha aje hapa...wapewe wazawa kama wakina Lwaitam hivi vyuo vyetu
 
watanzania tunakoelekea ni kubaya sana, chuki hizi dhidi ya wageni hazitaishia hapo, tutabaguana hata wenyewe kwa wenyewe. Tupo wengi sana huko south Africa.

Tunawageni wengi sana ila ndugu yangu watusi na wahutu ukimkaribisha akiwa mwenyeji ni watu wa hovyo sana sisi hapa Rukwa na Katavi tumeishi nao tunawaona .....dharau sana they look themselves as supper race.....halafu wanavikao vyao vya siri sijajua huwa wanajadiri nini
 
kuna wakongo wanasoma chuo cha teofile kisanji TEKU na wanapata mkopo kama kawaida kuna wanyarwanda kibao wakenya waganda na siku hizi naona wimbi la wanaijeria kibao maeneo ya tabata yani khaaaa

alafu wale waganda wa tabata cjui huwa wanafanya nn kule cjawahi lufahamu aisee.....wana kama kambi flani hivi kule
 
ccm ndio chaka la kujificha wahamiaji haramu??!! duh

Kuna vigogo wenye pesa wa kitusi serikali haiwagusi kabisa kuna jamaa pale Karagwe mjiini anamafuso kibao na vijibiashara wanauswahiba na mbunge wao somebody baba dav.... na wenzake hawajaguswa kabisa .SHIT!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom