Hapo wewe ndio una makosa. Wewe ndio umeingilia mahusiano ya watu hivyo tuliza mzuka. Muda wote uko shule mshua anapiga, leo unaleta mdomo?
Kwanza unashangaza mwanaume mzima unataka kuanza umbea. We uchune kisha muheshimu mamdogo wako. Bado utayaona mengi sana so jifunze kumeza. Usikute hata bi mkubwa anajua ila kauchuna tu. Ndoa usiku mnene dogo!!
Hiyo familia yenu ina matatizo kuanzia baba hadi wewe, house girl ni sawa na mtoto wa hapo nyumbani, nyie ndo mmefanya kigodoro. Kwa umalaya wenu mtamwambukiza mama wa watu magonjwa. Hakika kwenye mambo ya kipuuzi kama haya siwezi kuwa na subira. Mwambie tu mama yako ili aanze, hayupo kwenye mazingira salama.
Aisee haya mambo ya sex chain hatari sana...yan mama yako mzazi anaweza ambukizwa magonjwa ya zinaa toka kwa mtoto wake wa kiume..daaah.
Unashangaa kijana ana gono muda huo huo mama yake nae anameza dawa za gono.
Unajiuliza wameambukizanaje?? Kuuuuumbe daah
Dogo tulia, tafuta kazi upate hela ukatafute wasichana wengine. Unaumia kwa sababu huna hela huyo beki 3 unapiga bure ila baba yako anamtoa ya sabuni. Huna adabu umeshajuwa achana na huyo b3. Wanaume wengi wanachepuka ila wewe unaona b3 kama halali yako mtaungua na miwaya nyumba nzima. Shauri yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.