KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Unataka dingi asipate 071!
Yupo beki tatu aliangamiza familia nzima, na walikuja jua source in beki tatu, wakati wakiugua.
Maskini hapana...! Huyu mama wa watu tumtoe hapa, yabaki haya mabazazi
Wasalam wakuu,
Ni wiki ya tatu sasa tangu mama asafiri kwenda kwenye msiba huko nyumbani kwao, nyumbani tumebaki mimi, baba na mfanyakazi wetu wa ndani.
Kwa vile mimi nimeshamaliza chuo na muda mwingi huwa nashinda nyumbani (sina kazi) nimejikuta nikiingia katika mahusiano ya mapenzi na huyu msichana waa kazi.
Juzi usiku kama kawaidayangu nilienda chumbani kwake ila sikumkuta ikabidi nitege mingo ili nijue huyu msichana kaenda wapi, baada ya kama lisaa 1 nilishtuka kuona mlango wa kwa baba unafunguliwa na yule msichana wa kazi kakatoka na kwenda chumbani kwake.
Niliumia sana kuona kile kitendo si kwa wivu wa mapenzi bali kwa kile kitendo alichofanya baba na ukizingatia anamke wa ndoa (mama yangu).
Wadau naombeni busara zenu kuwa anachokifanya sio kizuri au nimwambie na bi mkubwa?
mawazo yako sio mabaya...wasiwasi wake house boy asije kummendea maza houseMfanyie zengwe beki tatu atimuliwe...
Mnaweza weka houseboy..kama na huyo msure wako akimMendea basi kunatatizo hapo
Uwiii uwiii uwiii jaman jaman, yelewiii yeuwiiiYupo beki tatu aliangamiza familia nzima, na walikuja jua source in beki tatu, wakati wakiugua.
Kwani umejuaje katoka kuchakachuliwa? Na Mzee ndani? Labda alikuwa anapanga vitu chumbani hukoWasalam wakuu,
Ni wiki ya tatu sasa tangu mama asafiri kwenda kwenye msiba huko nyumbani kwao, nyumbani tumebaki mimi, baba na mfanyakazi wetu wa ndani.
Kwa vile mimi nimeshamaliza chuo na muda mwingi huwa nashinda nyumbani (sina kazi) nimejikuta nikiingia katika mahusiano ya mapenzi na huyu msichana waa kazi.
Juzi usiku kama kawaidayangu nilienda chumbani kwake ila sikumkuta ikabidi nitege mingo ili nijue huyu msichana kaenda wapi, baada ya kama lisaa 1 nilishtuka kuona mlango wa kwa baba unafunguliwa na yule msichana wa kazi kakatoka na kwenda chumbani kwake.
Niliumia sana kuona kile kitendo si kwa wivu wa mapenzi bali kwa kile kitendo alichofanya baba na ukizingatia anamke wa ndoa (mama yangu).
Wadau naombeni busara zenu kuwa anachokifanya sio kizuri au nimwambie na bi mkubwa?
Do you need more explanation?be serious guy I know you understand what I mean.Ila unaleta fujo.How!?? Explain yo self..
Kikiingia kirusi hapo anakufa baba, mama, wewe na house girl sijui nyumba atarithi naniHuwezi kujua aliyeanza nani... Ila huyo binti kiboko anaifahamu ya baba na ya mtoto... Huu ni uuaji wa wazi kabisa
Hapo kuna muuza nguo muuza urembo na muuza gengeKikiingia kirusi hapo anakufa baba, mama, wewe na house girl sijui nyumba atarithi nani