Kumbe wengi wenu mmekimbilia mliko kutokana na kukosa malezi ya Baba na Mama........... nimewasoma na ukweli ndio huo! hamna maadili kwa hiyo hamuwezi kuwa vioo kwa jamii kwani wengi wenu mmejilea au mmekua kwa kudekezwa na Mzazi mmoja.
Mastaa wengi wakiwemo Ray, Wema, Hashim Thabit,Lulu na Marehemu..... wakiwa kwenye interview na media kila baada ya maneno matatu wanamtaja Mama! this is shameful hata kama huna Baba punguza hiyo! . So mmekua huko mliko na matabia yenu machafu kwa vile mzazi mmoja hakuchangia malezi...? au mmeamua tu kuwa mlivyo. hawa ni wachache tu ambao nimewahi kusikilza interview zao, je wewe unamjua yupi mwingine?
Mastaa wengi wakiwemo Ray, Wema, Hashim Thabit,Lulu na Marehemu..... wakiwa kwenye interview na media kila baada ya maneno matatu wanamtaja Mama! this is shameful hata kama huna Baba punguza hiyo! . So mmekua huko mliko na matabia yenu machafu kwa vile mzazi mmoja hakuchangia malezi...? au mmeamua tu kuwa mlivyo. hawa ni wachache tu ambao nimewahi kusikilza interview zao, je wewe unamjua yupi mwingine?