Elections 2010 Kumbe Maalim Seif ni sawa na mkuu wa wilaya?

Jamani mnapoteza kujadili kitu kilicho wazi. Makamu wa kwanza na wa pili wa Rais wa Zanzibar, kwa hapa bara si chochote, ni raia wa kawaida wa kutoka Zanzibar. Katiba ya Jamhuri ya Mwungano wa Tanzania, haina kabisa vyeo hivyo. Katiba ya JMT inamtambua Rais wa Zanzibar na Waziri kiongozi wa Zanzibar kama viongozi wa juu wa sehemu mojawapo ya Mwungano. Kwenye serikali ya JMT Rais wa Zanzibar hadhi yake ni kama ya waziri - yeye ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri la JMT.

Hao Makamu mnaowataja kamwe hawatambulika na hawatatambulika kwenye serikali ya JMT mpaka katiba ya JMT itakapotamka hivyo. Ukweli kikatiba kumfananisha Maalim Seif na Mkuu wa Wilaya kwa JMT ni kumkweza. Kikatiba, kwa JMT yeye ni Raia wa kawaida kama tulivyo sisi wengine, anachofanyiwa ni mchezo wa kuigiza wa kumsadikisha kuwa naye ni kiongozi anayetambulika katika JMT wakati siyo kweli. Serikali ya JMT na CCM wanalijua sana hilo ila sina uhakika kama Maalim Seif na CUF wanautambua ukweli huu.
 
Labda Maalim Seif hakutaka kukabidhi kombe kwa sababu alikuwa na wivu kwakuwa Zanzibar haikuingia fainali.

Maalim Seif ni sawa na kopo la chunvi lililokwisha chunvi na maji kujazwa ndani yake. Bila shaka kama ilisalia chunvi kidogo, ndani ya kopo, kopo hilo litakuwa na kutu. Siyo wivu. Wanajaribu kumwonyesha kwamba naye ni mheshimiwa kwenye nchi hii, mwenye mamlaka. Nahisi alikuwa anaumwa akaogopa kuanguka, lakini kwa vile yupo yupo, alikubali mwaliko hata kama hajisikii vizuri. Vyeo vya kupewa kwa maslahi binafsi hivyo, ndo kazi zake hizo. Utalii.

Subirini, mtamsikia akizunguka nchi nzima kuwakilisha wenzake (wa juu) kusoma hotuba ktk mialiko mbalimbali. CUF ndo kwishineyi!!!
 
[/COLOR][/SIZE]
Sasa mkuu, hapo kwenye RED usipotupa jibu wewe atatupa nani? maana mimi ninachojuwa hata kule kwao Zanzibar Maalim Seif anazidiwa cheo na makamu wa pili wa Rais, kwa kuwa Rais wa zanzibar akisafiri nchi za nje, basi makamo wapili wa rais ndio anakuwa mkuu wa nchi, sasa mimi kumfananisha na mkuu wa wilaya kwa huku kwetu Tanganyika hapo nimekosea wapi mkuu? kwenye ukweli uongo hujitenga, yule kazi yake itakuwa kufunga semina, kufunguwa warsha, makongamano na kumuwakilisha Dr Shein kwenye sherehe za Maulid na baraza la Idd, huo ndio ukweli mchungu ambao lazima tuambiane.
Ingekuwa UK Tungemfananisha na Queen Lizie.
Mie sidhan kwa Tanganyika tunaweza ku m kompea na DC,yan sion cheo anachofanana nacho..
KWENYE RED ndo nasimamia
 
Njaa mbaya kilichotokea jana uwanja wa Taifa wakati mechi ya fainali kati ya Tanganyika na Ivory Coast kinachekesha au CCM iliamua kututhibitishia kivitendo kwamba they mean bussiness.

Kituko ni kwamba tumetangaziwa Maalim ndio mgeni rasmi lakini cha kushangaza tuzo zote pamoja na kukabithi kombe ilo jukumu alilifanya LUKUVI, swali je kiprotokali LUKUVI ni mkubwa kuliko Maalim?

NATOA HOJA.

Aaah, acha utani bwana, inamaana hujui kuwa mbele ya serikali ya Muungano Maalim ni sawa na secretari binafsi wa Shein hivyo hawezi kuwa na hadhi sawa na LUKUVI. Huyo Rais wake mwenyewe ni mjumbe tu wa baraza la mawaziri kama alivyo LUKUVI.
 
Jamani mnapoteza kujadili kitu kilicho wazi. Makamu wa kwanza na wa pili wa Rais wa Zanzibar, kwa hapa bara si chochote, ni raia wa kawaida wa kutoka Zanzibar. Katiba ya Jamhuri ya Mwungano wa Tanzania, haina kabisa vyeo hivyo. Katiba ya JMT inamtambua Rais wa Zanzibar na Waziri kiongozi wa Zanzibar kama viongozi wa juu wa sehemu mojawapo ya Mwungano. Kwenye serikali ya JMT Rais wa Zanzibar hadhi yake ni kama ya waziri - yeye ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri la JMT.

Hao Makamu mnaowataja kamwe hawatambulika na hawatatambulika kwenye serikali ya JMT mpaka katiba ya JMT itakapotamka hivyo. Ukweli kikatiba kumfananisha Maalim Seif na Mkuu wa Wilaya kwa JMT ni kumkweza. Kikatiba, kwa JMT yeye ni Raia wa kawaida kama tulivyo sisi wengine, anachofanyiwa ni mchezo wa kuigiza wa kumsadikisha kuwa naye ni kiongozi anayetambulika katika JMT wakati siyo kweli. Serikali ya JMT na CCM wanalijua sana hilo ila sina uhakika kama Maalim Seif na CUF wanautambua ukweli huu.
Huo ndio ukweli wenyewe, ila kiwadhifa yeye ni mkubwa kuliko Mkuu wa Mkoa!! Matatizo yooote haya chanzo chake ni katiba mkoroganyo bin urojo. Itafika siku itashindikana kutofautisha wadhifa wa mbunge na meya pia!!!
 
Ingawa kila mtu ana uhuru wa
kutoa maoni yake lakini kufikiri kabla ya kutoa maoni ni jambo la busara.Kutotoa zawadi kwenye MICHEZO ndio mtu aporomoke cheo chake?Hebu niambie Mhe.ulimuona mkuu wilaya gan anamsafara?ameingia bungeni kama kiongoz wa juu ktk ufunguz wa bunge?amehudhuria sherehe za kitaifa na akaket ktk jukwaa la viongoz?JIEUNZE KUTAFAKAR KABLA KULETA MADA.
 
Ingawa kila mtu ana uhuru wa
kutoa maoni yake lakini kufikiri kabla ya kutoa maoni ni jambo la busara.Kutotoa zawadi kwenye MICHEZO ndio mtu aporomoke cheo chake?Hebu niambie Mhe.ulimuona mkuu wilaya gan anamsafara?ameingia bungeni kama kiongoz wa juu ktk ufunguz wa bunge?amehudhuria sherehe za kitaifa na akaket ktk jukwaa la viongoz?JIEUNZE KUTAFAKAR KABLA KULETA MADA.

Mkuu hapa hapahitaji jaziba, haya twende taratibu,
1. kuhusu msafara hata papaa musofe, ndama mutoto ya ng'ombe, kizaizai n.k hawa nao wana misafara, na hata wewe kama una pesa unaweza kupanga magari 20 huo nao ni msafara, nadhani tuko pamoja.
2. kuingia bungeni kwa huyu Maalimu bungeni ni kwa kibali maalum, tena lazima kanuni ya bunge ivunjwe kwa ruhusa ya wabunge ndio anaruhusiwa kuingia pale bungeni, hii hata taifa stars walifanyiwa baada ya kuifunga burkinafaso kwao, hii inaleta maana gani, yaani maana yake maalim seif ni sawa tu na Shadrack nsajigwa (FUSO) hawa wote wawili ni raia wa kawaida ambao waliingia bungeni kwa kibali maalum. PERIOD.
 
Mkuu hapa hapahitaji jaziba, haya twende taratibu,
1. kuhusu msafara hata papaa musofe, ndama mutoto ya ng'ombe, kizaizai n.k hawa nao wana misafara, na hata wewe kama una pesa unaweza kupanga magari 20 huo nao ni msafara, nadhani tuko pamoja.
2. kuingia bungeni kwa huyu Maalimu bungeni ni kwa kibali maalum, tena lazima kanuni ya bunge ivunjwe kwa ruhusa ya wabunge ndio anaruhusiwa kuingia pale bungeni, hii hata taifa stars walifanyiwa baada ya kuifunga burkinafaso kwao, hii inaleta maana gani, yaani maana yake maalim seif ni sawa tu na Shadrack nsajigwa (FUSO) hawa wote wawili ni raia wa kawaida ambao waliingia bungeni kwa kibali maalum. PERIOD.

Mzee UmeuuaaaH !!
 
precisely hao wako kila dini, hata kwenye ubutha, hindu, christianity pombe bado ni issue tete, technically hairuhusiwi. Lakini cha ajabu wanywaji wake wamo hata viongozi wa dini na hao hao unaodai ni ma-swala tano, wenye makovu kwenye vipaji vya nyuso zao.
hilo haliko mzee, usilete maoni yako kwenye dini za watu!
 
Mkuu hapa hapahitaji jaziba, haya twende taratibu,
1. kuhusu msafara hata papaa musofe, ndama mutoto ya ng'ombe, kizaizai n.k hawa nao wana misafara, na hata wewe kama una pesa unaweza kupanga magari 20 huo nao ni msafara, nadhani tuko pamoja.
2. kuingia bungeni kwa huyu Maalimu bungeni ni kwa kibali maalum, tena lazima kanuni ya bunge ivunjwe kwa ruhusa ya wabunge ndio anaruhusiwa kuingia pale bungeni, hii hata taifa stars walifanyiwa baada ya kuifunga burkinafaso kwao, hii inaleta maana gani, yaani maana yake maalim seif ni sawa tu na Shadrack nsajigwa (FUSO) hawa wote wawili ni raia wa kawaida ambao waliingia bungeni kwa kibali maalum. PERIOD.

Nakupongeza mwenzangu unaweza kuropoka kwa kuandika!Lakin sishangai sana kwasababu watu wa dizain yenu huwa wana MWILI MKUBWA AKILI GOROLI!We ulifikiria msafara niliokusudia mimi nikama hiyo uliyoitaja kama ndio hivyo mbona hata SIAFU wanamsafara.Misafara ya kiongoz haiwez kufanana na msafara kama wa ndoa au mwanamuzik(haina ulinz maalum) labda hujawah kuiona ninajua fika baadh ya nchi(sio Tz)Watu maarufu serkal huwapa misafara ya ulinzi.Maalim kupata msafara wenye walinzi ambao hulipwa kodi yako we hata kama hutaki ni Ishara kama yeye ni mtu MKUBWA SERIKALINI.
2:KUINGIA BUNGENI,nimekuelewa naomba ushahidi ni kipengele gan kilivunjwa siku ile Maalim alivyoingia bungeni?
Na kwa taarifa yako juzjuz amefungua semina ya majaji wa mahakama ya haki binadamu ya Afrika.
MWISHO:ASALI HAIWEZ KUWA NAJIS HATA KAMA UTAIITA MAVI YA NYUKI!!!
 
wakati wa kampeni walikuwa wanasema makamu wa kwanza wa rais atakuwa anampelekea rais maji ya kuoga bafuni
 
Wacheni matusi ,maalim Seif Sharif Hamad ni kiongozi wa juu ni kiongozi ambae msimamo wake ndio umewezesha Tanzania kufika hapa ilipo,Maalim Seif huwezi kumfananisha na yeyote yule hapa Tanzania kwa ujumla na hao viongozi wenu makoti wanalijua hilo.

Inawezekana mna chuki binafsi ,hilo hakuna wa kuwasaidia ,Seif Sharif atabaki kuwa kiongozi mwenye kuheshimika na kiongozi ambae kwa nchi zetu hizi za Afrika mashariki ni mbora kabisa ,kiongozi ambae ni mwenye busara na mwenye kuona mbali sana. Seif ametoka mbali sana na wananchi wapenda amani wanamthamini.Mnatamania thamani aliyonayo wangeipata hao viongozi wenu lakini wapi aliepewa kapewa wandugu.
 
Heading yako haiendani na stori yako.
inaelekea hujui vizuri hii kitu, usiiweke kisiasa. hapo ccm inaingia vipi?
au unaaleji na ccm mkuu,

Sijaona kaandika ccm, au una maana gani? Nawe kuwa makini kabla ya kukosoa.
 
Wacheni matusi ,maalim Seif Sharif Hamad ni kiongozi wa juu ni kiongozi ambae msimamo wake ndio umewezesha Tanzania kufika hapa ilipo,Maalim Seif huwezi kumfananisha na yeyote yule hapa Tanzania kwa ujumla na hao viongozi wenu makoti wanalijua hilo.

Inawezekana mna chuki binafsi ,hilo hakuna wa kuwasaidia ,Seif Sharif atabaki kuwa kiongozi mwenye kuheshimika na kiongozi ambae kwa nchi zetu hizi za Afrika mashariki ni mbora kabisa ,kiongozi ambae ni mwenye busara na mwenye kuona mbali sana. Seif ametoka mbali sana na wananchi wapenda amani wanamthamini.Mnatamania thamani aliyonayo wangeipata hao viongozi wenu lakini wapi aliepewa kapewa wandugu.

Msimsikilize mwiba maana alifauru sana historia kwanza nilimsikia akimwambia rais wenu amchague mrema kuwa waziri wa mambo ya ndani
 
Msimsikilize mwiba maana alifauru sana historia kwanza nilimsikia akimwambia rais wenu amchague mrema kuwa waziri wa mambo ya ndani
Tatizo huelewi kuwa asilimia 75 ya waTanzania wanamsikiliza maalim Seif Sharif ,leo hii ikiwa ataamua kuondosha ustaarabu na kuweka ubangi mbele basi anaweza kuisambaratisha Tanzania nzima na watu wasitambuane ,jamaa anasiasa na anajua kufanya siasa na anajua wapi pakuanzia na wapi pakumalizia ,Seif ni kiongozi mwenye uwezo wa kupanga na kutokea,mastermind.
 
Back
Top Bottom