PayGod
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 1,259
- 57
Tatizo huelewi kuwa asilimia 75 ya waTanzania wanamsikiliza maalim Seif Sharif ,leo hii ikiwa ataamua kuondosha ustaarabu na kuweka ubangi mbele basi anaweza kuisambaratisha Tanzania nzima na watu wasitambuane ,jamaa anasiasa na anajua kufanya siasa na anajua wapi pakuanzia na wapi pakumalizia ,Seif ni kiongozi mwenye uwezo wa kupanga na kutokea,mastermind.
seif hawezi kuisambaratisha tanzania nzima , hata kidogo, labla kuho zenji, KUHUSU KAZI ZA MAALIMU SEFU, NI KUFANYA KAZI ZOZOTE ATAKAZO PANGIWA NA RAIS WA ZANZIBAR, MFANO KUHUDHURIA SHEREHE MBALIMBALI, NK.
BAADA YA KUAPISHWA KUWA MAKAMU WA KWANZA, SHEIN ALIMPANGIA KAZI YA KUSHUGHULUKIA UKIMWI NA MADAWA YA KULEVYA