20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,761
Ktk hizi ishu za ulinzi, kukabana, doria etc. password sio Universal.Walikwambia Usiku?
Inaweza badilika anytime. Inawez kuwa USIKU, jibu liwe UNYAMAAA.
KUKU, Jibu liwe KWA MRIJA.
Ktk hizi ishu za ulinzi, kukabana, doria etc. password sio Universal.Walikwambia Usiku?
hitarifiana ❌ hitilafiana✔️Hao ni either wahuni ,sungusungu au Walinzi wa eneo hilo, wamejiwekea password yao. Ili kuto hitarifiana wao kwa wao na watu wa kitaaa kwao.
Bro ukakosea Password . Ila umekuwa mwepesi kujiongeza, ndo maana unaambiwa don't be Fat daddy
Ngoja nije nikutoe hapo hm usingoje kufukuzwaHaha😃😂😂.. Nyumbani kutoka labda wanifukuze
Sanaaa na huwa ninaogopa usiku mnoo...mm ni muoga aisee hata nikienda harusini kama nipo mwenyewe nawahi kuondoka b4 saa sita usiku..labda nikiwa na mubebe narelax...Kwamba ni usiku sana
Umeamua kuwatisha wanaume walio kikazi Dodoma 🤣🤣 anyway....USIKU..Iliwahi kutokea mwaka jana, kuna dada alishushwa na boda kama saa saba usiku, ghafla sungu sungu wakafika na kumwambia "usikuuuu" dada kimyaaa! Ghafla akajikuta chini ya ulinzi na ikabidi apekuliwe kwenye mkoba wake kama ana silaha au chochote kibaya, humo wakakuta Ky, vipodozi na vyupi vya akiba.
Alipoulizwa unakwenda wapi alisema ni kwa mpenzi wake na ni nyumba ya tatu kutoka hapo, jamaa akafuatwa na kuamshwa akakiri huyo ni mgeni wake na ni amani kabisa, dada akaonywa kutembea usiku na kuachiwa.
Pia hii ilichangiwa na sungu sungu mmoja alimfahamu huyo dada kuwa hana tatizo lolote na ana mume wake ambae yupo kikazi Dodoma, ila dada hakumjua huyo sungu sungu.
Watoto wa 2000 mtajulia wapi haya🤣🤣🤣Kuna knowledge ndogo sana ila ni za muhimu sana,
Usiku wa leo Mida ya saa nane hivi nilikua napita kwenye chocho fulani hivi, Ilikua ni njia ndefu iliyonyooka, upande wa Juu/ kulia ni ukuta mrefuu, chini/ kushoto ni mto wenye vichaka chaka.
Kuanzia mwanzo wa ukuta mpaka mwisho ni kama 500M hivi maana ni karakana ya reli kwa ndani.
Kwa mbele kuna mtu anakuja, ni giza kali naona weupe wa shati kidogo na ile mikwaruzo ya kiatu. Wala sikuwaza chochote..
Nikasikia Sauti Kubwa "USIKU" mimi sikuelewa anamanisha nini, akasema tena "USIKU" nikiwa sina uhakika anaongea na mimi, Maana walikua wawili.
Nikajibu kwa Sauti "USIKUU"
Khaaaa, ghafa nasikia Mvurugano ya Vichaka, "kwacha kwacha kwachaaa" na mtu kama kaingia kwenye Maji, ghafa sione ule weupe wa shati, Nikiwa sielewi nini kinaendelea, kulipita upepo unafanya kuvuma sikioni kwangu, kumbe ni jiwe, nilishtuka baada ya kutua ukutani.
Hapo ndio nikajua hapa hakuna usalama, nikazima simu fasta tusionane, mbele nilikokua naelekea ndio pafupi, nyuma parefu mno.
Nikatoka kwenye kale ka njia, nikajibana upande wa chini wenye kichaka, nasikia tu mtu anatembe kwenye maji, Mara nikasikia Washa tochi.
Aaaaaaaah, hapo ndio walipoharibu, kule nyuma nilikokua naona ni mbali sijui nilifikaje, ninachokumbuka tuu kuna washakaji wawili walikua nyuma yangu, mmoja alivyoona nimempita kwa speed naye nyuma akaunga kunifuata, wa pili hakusubiri nimpite kaona/sikia mtu anakuja kwa kasi akageuza.
Kituo changu ilikua ni huku karibu na Tazara ushapita Mchicha, maana ilibidi nirudi nyuma huku, wale washkaji sijui waliishia wapi, ila ni kama walikunja kushoto kama wanaelekea njia ya vingunguti, Anyeifahamu kiwalani vizuri ashafahamu chocho ninayoizungumzia.
Kufika home naelezea naambiwa, Nilitakiwa niseme "MCHANA" , ndio nikashangaa? How comes?
Anyway mimi niliyokua najua ni mtu akikuambia "SALAMA?" unajibu "SALAMA"
Tupeane tips kama kuna ishara au salamu nyingine za siku, haya maisha ya kuishi kwa mbio, sio siku zote utashinda.
Hahah hapana mkuu, ila yule Sungu sungu anaemjua ndiye aliyetupa ushuhuda huku akilalamika na roho ikimuuma kama kafanyiwa yeyeUmeamua kuwatisha wanaume walio kikazi Dodoma anyway....USIKU..
Aumie yanamuhusu, anajua huko Dodoma hiyo mbaba analalaga wapi? Mwambie sungu sungu aendelee na doria ahakikishe usalama upo.Hahah hapana mkuu, ila yule Sungu sungu anaemjua ndiye aliyetupa ushuhuda huku akilalamika na roho ikimuuma kama kafanyiwa yeye
Mimi imeniuma tu hiyo ky walio mkuta nayoAumie yanamuhusu, anajua huko Dodoma hiyo mbaba analalaga wapi? Mwambie sungu sungu aendelee na doria ahakikishe usalama upo.
Hiyo ndio mida ya kutoroka clubSanaaa na huwa ninaogopa usiku mnoo...mm ni muoga aisee hata nikienda harusini kama nipo mwenyewe nawahi kuondoka b4 saa sita usiku..labda nikiwa na mubebe narelax...
Na KY juu.. Daah lazima roho iume.Hahah hapana mkuu, ila yule Sungu sungu anaemjua ndiye aliyetupa ushuhuda huku akilalamika na roho ikimuuma kama kafanyiwa yeye
Pole sana Mkuu..kuna baadhi ya Maeneo Usiku unatembea kwa codeKuna knowledge ndogo sana ila ni za muhimu sana,
Usiku wa leo Mida ya saa nane hivi nilikua napita kwenye chocho fulani hivi, Ilikua ni njia ndefu iliyonyooka, upande wa Juu/ kulia ni ukuta mrefuu, chini/ kushoto ni mto wenye vichaka chaka.
Kuanzia mwanzo wa ukuta mpaka mwisho ni kama 500M hivi maana ni karakana ya reli kwa ndani.
Kwa mbele kuna mtu anakuja, ni giza kali naona weupe wa shati kidogo na ile mikwaruzo ya kiatu. Wala sikuwaza chochote..
Nikasikia Sauti Kubwa "USIKU" mimi sikuelewa anamanisha nini, akasema tena "USIKU" nikiwa sina uhakika anaongea na mimi, Maana walikua wawili.
Nikajibu kwa Sauti "USIKUU"
Khaaaa, ghafa nasikia Mvurugano ya Vichaka, "kwacha kwacha kwachaaa" na mtu kama kaingia kwenye Maji, ghafa sione ule weupe wa shati, Nikiwa sielewi nini kinaendelea, kulipita upepo unafanya kuvuma sikioni kwangu, kumbe ni jiwe, nilishtuka baada ya kutua ukutani.
Hapo ndio nikajua hapa hakuna usalama, nikazima simu fasta tusionane, mbele nilikokua naelekea ndio pafupi, nyuma parefu mno.
Nikatoka kwenye kale ka njia, nikajibana upande wa chini wenye kichaka, nasikia tu mtu anatembe kwenye maji, Mara nikasikia Washa tochi.
Aaaaaaaah, hapo ndio walipoharibu, kule nyuma nilikokua naona ni mbali sijui nilifikaje, ninachokumbuka tuu kuna washakaji wawili walikua nyuma yangu, mmoja alivyoona nimempita kwa speed naye nyuma akaunga kunifuata, wa pili hakusubiri nimpite kaona/sikia mtu anakuja kwa kasi akageuza.
Kituo changu ilikua ni huku karibu na Tazara ushapita Mchicha, maana ilibidi nirudi nyuma huku, wale washkaji sijui waliishia wapi, ila ni kama walikunja kushoto kama wanaelekea njia ya vingunguti, Anyeifahamu kiwalani vizuri ashafahamu chocho ninayoizungumzia.
Kufika home naelezea naambiwa, Nilitakiwa niseme "MCHANA" , ndio nikashangaa? How comes?
Anyway mimi niliyokua najua ni mtu akikuambia "SALAMA?" unajibu "SALAMA"
Tupeane tips kama kuna ishara au salamu nyingine za siku, haya maisha ya kuishi kwa mbio, sio siku zote utashinda.
Prank gani hiyo wakati kapishana na jiwe lenye kasi ya 5G mpaka akasikia upepoUnafika nyumbani wanakwambia ni prank best zako wamekufanyia
Miss you more ankal....umepotea sana.MICU UNCLE unaendeleaje lakini?