findu fiki
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 431
- 67
Watavuna walichopanda.Ccm mnahangaika!
Watavuna walichopanda.Ccm mnahangaika!
Hakika yeye ndiye rais wa mioyo ya wazalendo wa Tanaganyika (Ni Dr W. Slaa)
I am out of here.
Kwenye hilo boksi haingii mtu!
Jana nilikutana na kada wa ccm kutoka kanda ya ziwa ni rafiki yangu sana, ni mmoja kati ya wanamtandao wa 2005 waliomuweka JK magogoni. Ni mtulivu anajua siasa za kati ni non biased figure, baada ya kuongea naye muda mrefu sana hiyo jana summary yake ya mazungumzo ilikuwa as follows;
Mwisho amesema Dr.slaa ndiyo pekee anayeweza kuifikisha Tanzania CANAAN nchi ya maziwa na asali ila hofu yao pesa zao za ufisadi itakuwaje??? ndiyo maana wasema NO for Dr.slaa and YES for Mbowe and Zitto kabwe
- Wanaamini kuwa hakuna mgombea wa ccm anayeweza kuchuana na CDM whether slaa, Mbowe au Zitto atakayegombea, wanaamini kwa sasa cdm iko mioyoni mwa wananchi hasa baada ya tafiti zao kutoa majibu hayo.
- Lowasa anaonekana hajajisafisha nje ya ccm japo ndani ya ccm anaonekana msafi hataweza ku-compete na any candidate wa cdm among the big three guns.
- Wanaamini kuwa kambi ya JK and BMW haitaweza kumvusha Membe kwani nepotism imekitia doa chama hasa kujaza watoto wao.
- Kambi zote za ccm baada ya mchujo zitaibuka na uadui mkubwa na hivyo kuwa radhi kumaliza kwa WOTE TUKOSE na hivyo CDM watavuka by any candidate among the three.
- Kumbe CCM wanamuogopa sana Dr.slaa, kwa misimamo yake ya kusimamia rasilimali na wao ccm wanaamini akiingia madarakani huenda wengi wakafirisiwa kutokana na ufisadi waliofanya.Kwa hiyo wanachokifanya ni kuhakikisha mgombea urais kutoka CDM anakuwa Mbowe au Zitto.Hili wanalisimamia kwa udi na uvumba kuhakikisha hao wawili wanatiwa hamasa ili wachuane na dr.slaa kura za maoni.Ndiyo maana zitto amelewa ahadi hii kwa kujua atamwangusha tu mbowe.Huku DR.SLAA akishughulikiwa na dola la ccm
- Wanataka kuhakikisha mbowe na zitto hawapakwi matope na ccm ili waendelee kuwa wasafi wasio na siasa chafu za vurugu kama za dr.slaa kulingana na madai yao.
- Wamejipanga kuhakikisha Dr.slaa anapakwa matope ya kuwa mpenda vurugu kwa kuwa tayari watanzania walishaaminishwa kuwa vyama vya upinzani ni vya vurugu.
- Wako tayari kutoa reconciliation kati ya mbowe na zitto ili kambi zao zije ziungane na kuhakikisha mmoja anakuwa rais na mwingine PM kwa masharti ya ku-protect interest za mafisadi
Yani kwakweli cdm isipo msimamisha dr slaa mimi mwenyewe binafsi cdm kura ya urahisi wameikosa huyu jamaa ameniinspere kwa kiasi kikubwa sana mpaka nika ipenda cdm,alafu nikaanza kumfwatilia kiukweli kunajaa mmoja alinipa stori za kwake karatu mana ni majirani huyu jamaa kiukweli ana tamaa zakijinga za maisha xa anasa,isitoshe watanzania kwakupenda vitu visivyo na manti tunaögoza ila dr slaa jembe jamani.[/UMENIACHA HOI KWA KICHEKO. HII INAMAANISHA NI JINSI GANI MTU/WATU WAKIPENDA KITU HUWEZI KUWABADILISHA . BIG UP SANA!
Yani kwakweli cdm isipo msimamisha dr slaa mimi mwenyewe binafsi cdm kura ya urahisi wameikosa huyu jamaa ameniinspere kwa kiasi kikubwa sana mpaka nika ipenda cdm,alafu nikaanza kumfwatilia kiukweli kunajaa mmoja alinipa stori za kwake karatu mana ni majirani huyu jamaa kiukweli ana tamaa zakijinga za maisha xa anasa,isitoshe watanzania kwakupenda vitu visivyo na manti tunaögoza ila dr slaa jembe jamani.
pamoja sana mkuu,Dr Slaa ndiye alisababisha hata ndugu zangu wote kuchukua kadi ya CDM.hakuna kama Dr Slaa Tanzania.hii ni kichwa jamani......
"one world order wakitaka dr. Slaa awe raisi hakuna cha zito wala mbowe watafurukuta"
Dr Slaa, dr wa ukweli asipogombea urais 2015 narudisha kadi ya cdm. pia likitokea naweza hata kuhamia sudani kuliko niishi nchi isiyo na hope.