Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,532
- 113,667
Nasikiliza redio yetu pendwa ya Clouds FM mchana huu, mtangazaji ametutangazia habari njema kuwa siku ya Jumatatu, tutakuwa live na Mhe. Kigwangala ambaye ni mbunge wa Shinyanga!.
Hii ni redio yetu na hawa ndio watangazaji wetu!.
Kwa msiofahamu fani ya utangazaji, ukisikia tangazo lolote kwenye TV au Redio ujue hicho unachosikia kimeandikwa kwa maandishi kabla ya kutangazwa!. Hivyo alichotutangazia mtangazaji ni kile alichoandikiwa!.
Hii ni redio yetu na hawa ndio watangazaji wetu!.
Kwa msiofahamu fani ya utangazaji, ukisikia tangazo lolote kwenye TV au Redio ujue hicho unachosikia kimeandikwa kwa maandishi kabla ya kutangazwa!. Hivyo alichotutangazia mtangazaji ni kile alichoandikiwa!.