The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 213
Hao wenye CV kali wameisaidia nini nchi hii kama si kuichana chana kwa manufaa ya matumbo yao na familia zao?
kutokana na huu mlolongo wa watu kuweka cv za baadhi ya wabunge, imenibidi niangalie baadhi ya cv za wabunge wa chadema kweli ina tia aibu! kweli ndo mna taka kuchukua nchi?
nawashangaa sana cdm ,wanataka kuongoza nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. Eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.
Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! Na kuwajadili au kuijadili hio safu !
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.
Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.
Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
Kwanza kabisa, Nyerere hakushindwa. Lile baraza lake la kwanza la mawaziri huwezi kulilinganisha na baraza la mawaziri hamsini wa sasa wa Kikwete. Changamoto alizokabiliana nazo Nyerere huwezi kuzilinganisha na changamoto zinazokabili uongozi wa leo, kama kweli bado tuna uongozi. Umeshawahukumu CDM kuwa opportunists, huku unafumbia macho opportunism ya uongozi wa CCM ambao umetufikisha hapa tulipo. Ni uwongo mkubwa kusema kuwa CDM haijawahi kuelezea sera za kuongeza pato la taifa. Ama you have not been listening na kama ni kweli CDM hawana sera jiulize iweje leo Watanzania wa kawaida wavutiwe kwenye mikutano yao ya hadhara hata bila kupewa ubwabwa na t-shirts kama chama fulani kinavyofanya kila siku? Ndugu yangu nakuona uko kwenye denial. Miaka 10-15 mingine chini ya CCM madini yetu yatakuwa yamekwisha, tumebaki na makorongo tu na wazungu walishasepa siku nyingi kwao ulaya. Ukiniuliza mimi, hata 2015 ni mbali sana. Ningependa kuona CCM inaondolewa mamlakani mara moja.
Join Date : 23rd October 2007
Posts : 4,215
Rep Power : 1802
Likes Received: 93
Likes Given: 3
Hoja zako hazifanani na umri wako hapa JF...Na haya ndio madhara ya kukimbia shule na yatatugharimu sana watanzania tunapoelekea kwenye shirikisho la EAC.
Ni kweli Tanzania haitaishiwa raslimali watu. Lakini Kikwete kishaanza kutupiga bei kwa wawekezaji. Watu wanahamishwa kiholela ili mwekezaji (mzungu) apewe eka 800,000 za kulima mazao ya genetic. Sisi, raslimali watu, tutakuwa manamba tu wa kuchota maji na kukata kuni kwa mzungu. Nimesoma mahali kuwa population ya Tanzania katika miaka 50 ijayo itakuwa double ya population ya sasa (millioni 90) lakini kwa kasi ambayo serikali ya Kikwete/CCM inavyogawa ardhi yetu kwa "wawekezaji" kwa mikataba ya miaka 90, tutajikuta tukiwa landless in our own societies. Ukitizama mkataba wa Kisarawe ambapo mzungu kapewa ardhi kujizalishia biofuel, si kwa manufaa yetu bali kwa manufaa yake, uende Mvomero ambako kuna mvutano leo kati ya raia wa asili na mwekezaji wa kigeni, halafu Arusha ambako kaburu kapewa mashamba ambayo sasa anayakodisha kwa wananchi, unajiuliza tunakwenda wapi? Ndizo sera za CCM hizo unazosifia?Kaka taratibu, tanzania haitaishiwa rasilimali watu na ardhi ambazo ni muhimu kuliko zote. ( kwenye hili la ardhi bila sera na itikadi nzuri za CCM hii rasilimali muhimu ingekua mikononi mwa wageni watupu na wazawa kukosa ardhi kabisa. wewe leo bado unajivunia kununua na kuuza ardhi shukuru CCM ).
Baadhi ya wananchi wanavutiwa na CDM kwa sababu ya sarakasi zisizoisha zaa kiongozi mmoja dhaifu na si kwa sababu ya sera za mbaya za CCM au nzuri za CDM. Hizi sarakasi na vita ya ndani ya kwa ndani imedhoofisha serikali na CCM kufikia mahali CDM wanaonekana viongozi walio tayari kwa Tanzania. Kumbuka vita hii ya ndani kwa ndani ni kwa sababu ya roho na moyo wa CCM na maisha yake yajayo..kwa uzoefu na akili zao 2015 wataweka timu makini kuongoza taifa na chama. Labda kama Dhaifu, Mamvi na wenzake wanaona kua bora CDM kuliko baadhi ya watu makini CCM, hapo sawa, bila hujuma na mengineyo wananchi watapiga kura CCM na Rais na Bunge litaongozwa na CCM 2015.
Wasomi wa CCM wameifikisha wapi CCM na nchi kwa ujumla? Mwenyekiti wenu mchumi wa chuo kikuu hajui kwa nini nchi anayoiongoza ni maskini!
Wasomi CDM wako wengi sana, tofauti ni kuwa wengi wao ni vijana wadogo na professionals wenye shughuli zao. Unataka wote tuvae magwanda kwenda maofisini ndio mjue kuna wasomi kiasi gani! 2015 ndio utaona ninachozungumzia leo.
Na ndio nikasema nimewapa ushindi wa yote hayo,kwayo yataendeleza Tanzania ,na ni nani hao watakao endeleza ushindi huo ,maana nikiangalia ndani siwaoni, Inawezekana wizara nilizohitaji ni nyingi na hamuwezi kuzitosheleza kutokana na kutokuwepo wenye sifa za kuongoza nafasi hizo nyeti za uongozi.
Mtoa mada hapa anataka umutoe Shaka Kwamba CDm ni zaidii ya uwazili wa akina sugu,vicent,lema...... Mi naona it's a right time kuvaa gwandaz iLi hofu Itoke...............Wasomi wa CCM wameifikisha wapi CCM na nchi kwa ujumla? Mwenyekiti wenu mchumi wa chuo kikuu hajui kwa nini nchi anayoiongoza ni maskini!
Wasomi CDM wako wengi sana, tofauti ni kuwa wengi wao ni vijana wadogo na professionals wenye shughuli zao. Unataka wote tuvae magwanda kwenda maofisini ndio mjue kuna wasomi kiasi gani! 2015 ndio utaona ninachozungumzia leo.
nothing to wish..facts are facts. Chademu will make excuse about everything hata kama ukweli upo dhahiri, tabia ambayo wameiga kutoka kwa masahiba zao Magamba.
Chademu walisimamisha mgombea mwenza wa Urais darasa la saba, ilhali wao hivi sasa wameshasahau na kuanza kuwakejeli akina Prof. Maji Marefu. Sioni hoja yako ni nini? au kwa nini unajibu post isiyohusu.. #goingincyclesFact zipi CCM wangekuwa na wasomi wa kweli sio wa kununua vyeti au waliosoma kweli na kusimama katika principles za usomi na sio kupamba ukuta kuwa nao wana shahada pia Tanzania pamoja na raslimali zote ilizonazo ingekuwa hapo ilipo? Elimu sio lazima uingie darasani ukapate shahada ya uzamili elimu ni ufahamu wa kujua mambo ya kuyatawala mazingira ukatoka katika hali duni na kwenda hali nzuri zaidi. ufahamu huo haujalishi uliupata wapi, kwa njia zipi na katika mazingira yapi ili mradi ufahamu huo unao na umeuonyesha watu wakaona kama ambavyo CHADEMA wameonyesha.
Mkapa did though hatch grand theft and corruption, sijui nayo alisomea wapi? au ndo uchumi wenyewe? recipe ya maendeleo naona bado hujaijua.Mfano Kikwete kasoma shahada ya uchumi lakini kiuchumi kathibitisha ni mtupu kiasi kwamba kazidiwa maarifa ya kiuchumi na Mkapa ambaye alisoma habari kwa maana hiyo Kikwete pamoja na kuwa alimaliza shahada ya uchumi shahada yake inaonekana ni ya kupamba ukutani zaidi maana ufahamu wake katika uchumi ni mdogo kulinganisha na Mkapa ambaye hatujui yeye ufahamu wake katika uchumi alipata wapi ili mradi alionyesha ni zaidi ya Kikwete maana elimu haijalishi uliipata wapi na katika njia zipi ili mradi umethibitisha unaweza.
Umuhimu wa kuwa viongozi wenye elimu na ufahamu wa kutosha hauwezi kuwa overemphasized zaidi ktk nchi yetu kwa sababu mfumo wetu unawapa hawa madaraka ya kuamua mambo yote ya msingi. Japo binafsi sipendezewi na utaratibu huo lakini ndio hali halisi. Kama SA na wengine waliweza, wamebahatika pengine, lakini hatuwezi kushusha standards kwa visingizio vyovyote vile. Mwakilishi wa wananchi kuanzia ubunge na kuendelea lazima awe amefuta ujinga walau ktk ngazi ya stashahada au shahada, hiyo haikwepeki tena ktk zama hizi.Pia tukumbuke kuna viongozi wamekuwa na kiwango cha elimu cha darasani kidogo sana lakini wameonyesha wanaweza maana wanaufahamu mwingi wanajua wao walikoupata ingawa walikomea madarasa ya chini darasani mfano Jacob Zuma darasa la nne, Lula Da Silva Rais wa zamani wa Brazil darasa la saba, Omar Bongo Certificate, John Major waziri mkuu wa Uingereza Diploma, na wengine wengi. kuhusu wabunge kuwa na elimu ya kawaida haina shida kabisa ili mradi wanakubalika kwa wananchi na wanajua wafanyalo ndio maana CDM inataka mawaziri wasiwe wabunge ili wachaguliwe professionals kushika wizara na sio wanasiasa kama Ngeleja, Maige, Nkullo na Mponda ambao uwezo ni mdogo pamoja na elimu zao za darasani na matokeo ni kuliibia taifa.