Kumbe CDM hamna Wasomi

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Rais labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
 
Nadhani ungesema Zanzibar hamna wasomi ungeeleweka zaidi. Sasa mbona unahukumu CDM nzima? Hatuwezi kukupangia hapa safu yetu. Ili iweje? Ili CCM ianze kuwaUlimboka?
 
Nadhani ungesema Zanzibar hamna wasomi ungeeleweka zaidi. Sasa mbona unahukumu CDM nzima? Hatuwezi kukupangia hapa safu yetu. Ili iweje? Ili CCM ianze kuwaUlimboka?

Duh ,Zanzibar kuna wasomi tena sio waoga, hivi mnaogopa ? Basi mtaongozaje nchi ikiwa ni waoga ? Tz imejaa vibaka na imejaa wakorofi ! Mnapoenda vitani ni mawili kufa au kupona ,sasa ikiwa mnawoga na ndio mbio zinaanza kinyemela ,si mtawatosa wanachama wenu ?

Yakhee tupangieni safu yenu hapa ? msione soo !
 
Duh ,Zanzibar kuna wasomi tena sio waoga, hivi mnaogopa ? Basi mtaongozaje nchi ikiwa ni waoga ? Tz imejaa vibaka na imejaa wakorofi ! Mnapoenda vitani ni mawili kufa au kupona ,sasa ikiwa mnawoga na ndio mbio zinaanza kinyemela ,si mtawatosa wanachama wenu ?

Yakhee tupangieni safu yenu hapa ? msione soo !

Lakini unapoenda vitani humwambii adui umekuja na silaha gani. Upo hapo? Subiri wakati muafaka utaiona safu yetu.
 
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !

craaaaaaaaap
 
Lakini unapoenda vitani humwambii adui umekuja na silaha gani. Upo hapo? Subiri wakati muafaka utaiona safu yetu.
Mbona silaha zinajulikana ,ninavyofahamu silaha za Chama ni sera ,? Na nilichowapa ni ushindi hivyo katika ushindi nilihitaji ni nani hao ambao(proposed) wataongoza nchi hii ? baada ya kushinda uchaguzi ,mbona mnakuwa wagumu ni kitu rahisi tu ,inaonyesha hamujiamini mnaogopa ,si ndio !
 
Mbona silaha zinajulikana ,ninavyofahamu silaha za Chama ni sera ,? Na nilichowapa ni ushindi hivyo katika ushindi nilihitaji ni nani hao ambao(proposed) wataongoza nchi hii ? baada ya kushinda uchaguzi ,mbona mnakuwa wagumu ni kitu rahisi tu ,inaonyesha hamujiamini mnaogopa ,si ndio !
Hakuna cha kuogopa. Msukumo wetu kwa sasa si nani atakayeshika nafasi gani. Msukumo wetu ni vipi tunaweza kuikomboa Tanzania kutoka hili limbwi la ufisadi, uuzaji kiholela wa maliasili zetu na kuwarejeshea Watanzania matumaini katika nchi yao wenyewe. Hapo ndipo tunapoelekeza nguvu zetu.
 
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !

Ndugu pole sana kwa kupandwa na kichaa.
 
Hakuna cha kuogopa. Msukumo wetu kwa sasa si nani atakayeshika nafasi gani. Msukumo wetu ni vipi tunaweza kuikomboa Tanzania kutoka hili limbwi la ufisadi, uuzaji kiholela wa maliasili zetu na kuwarejeshea Watanzania matumaini katika nchi yao wenyewe. Hapo ndipo tunapoelekeza nguvu zetu.

Na ndio nikasema nimewapa ushindi wa yote hayo,kwayo yataendeleza Tanzania ,na ni nani hao watakao endeleza ushindi huo ,maana nikiangalia ndani siwaoni, Inawezekana wizara nilizohitaji ni nyingi na hamuwezi kuzitosheleza kutokana na kutokuwepo wenye sifa za kuongoza nafasi hizo nyeti za uongozi.
 
unataka kujua mawaziri au watendaji wa serikali..tatizo la ccm kila mtendaji mnataka awe ccm na fisadi kama sifa kuu sisi chadema yoyote mwenye maadili na asie fisadi..chadema ina vijana wasomi wengi sana tatizo huwezi kuwajua kwa sababu bado una mahaba na magamba..lakini tuliza mzuka 2015 utalitambua hilo..
 
Ndugu pole sana kwa kupandwa na kichaa.

wewe umesema hayo ,ila kwa Tz si ajabu tunaona pale bungeni malaria inavyoleta matatizo ,yule spika anasahau kuwa watanzania wote wanavimilea vya malaria ,sometimes plus inakuwa kubwa na sometimes inakuwa ndogo ,nilienda kupima juzi nikaambiwa nina wadudu wanne,nilipohitaji ushauri ,daktari akasema ni kawaida hatari ukiwa na mdudu mmoja kama ulivyo,

Chadema nawaheshimu sana ,ndio ukaona huwa nakuwa naulizia ,ila watu wenye uchadema kama wako ni hatari katika chama kwani mnakuwa hamsikilizi mawazo ya wengine ,majibu yenu ni pumba and simple as it is ! Hili suali gumu kwa wanaojua hesabu,kwa upande wangu kila nikipiga hesabu napata sifuri ndio nikauliza.
 
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !

hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... kafu wana wasomi wengi sana aisee... we pita ntwaala utawaona
 
unataka kujua mawaziri au watendaji wa serikali..tatizo la ccm kila mtendaji mnataka awe ccm na fisadi kama sifa kuu sisi chadema yoyote mwenye maadili na asie fisadi..chadema ina vijana wasomi wengi sana tatizo huwezi kuwajua kwa sababu bado una mahaba na magamba..lakini tuliza mzuka 2015 utalitambua hilo..

Nataka kujua kuanzia Raisi na mawaziri wa kiasi wizara kuminatano(15) ,nimefurahi uliposema wasomi ni wengi na ndipo hapo nikasema nahitaji proposed safu ya uongozi ,Mnaelewa lakini sijui kwa nini mnakuwa wagumu kuwataja .
 
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... kafu wana wasomi wengi sana aisee... we pita ntwaala utawaona

Naona mnafufuka mmoja mmoja ,yaani mnakuwa kama mazombi ,unaulizwa wewe unarukia kwengine ,mkuu hapa nazungumzia CDM tu .

Inawezekana wewe humjui hata kiongozi mmoja wa CDM zaidi ya Slaa,Zito,Mnyika,Lisu na mbowe ni hatari kubwa sana kuwa na wafuasi wa dizaini zako.
 
Na ndio nikasema nimewapa ushindi wa yote hayo,kwayo yataendeleza Tanzania ,na ni nani hao watakao endeleza ushindi huo ,maana nikiangalia ndani siwaoni, Inawezekana wizara nilizohitaji ni nyingi na hamuwezi kuzitosheleza kutokana na kutokuwepo wenye sifa za kuongoza nafasi hizo nyeti za uongozi.
Huwezi kuwaona kwa sababu unaangalia ndani ya box. Sisi tunaangalia nje ya box. Siasa za personalities ndizo zimewafikisha CCM hapo walipo. Hawana ideas, hawana sera, hawana vision. Sisi tunajenga vision ya kuwasaidia Watanzania kujikwamua na ufisadi, kuwasaidia Watanzania wawe wawekezaji na wajasiriamali wenyewe, kuwasaidia Watanzania kusimamia maendeleo yao bila kutegemea wale waliotunyonya na kutufikisha hapa kwamba ndio wakombozi wetu. Sasa wewe ukianza kuangalia personalities, huwezi kuwaona, lakini ukijikita katika sera na vision wapo Watanzania ndani na nje ya nchi ambao wako tayari kulisukuma gurudumu hili la mageuzi.
 
wewe umesema hayo ,ila kwa Tz si ajabu tunaona pale bungeni malaria inavyoleta matatizo ,yule spika anasahau kuwa watanzania wote wanavimilea vya malaria ,sometimes plus inakuwa kubwa na sometimes inakuwa ndogo ,nilienda kupima juzi nikaambiwa nina wadudu wanne,nilipohitaji ushauri ,daktari akasema ni kawaida hatari ukiwa na mdudu mmoja kama ulivyo,

Chadema nawaheshimu sana ,ndio ukaona huwa nakuwa naulizia ,ila watu wenye uchadema kama wako ni hatari katika chama kwani mnakuwa hamsikilizi mawazo ya wengine ,majibu yenu ni pumba and simple as it is ! Hili suali gumu kwa wanaojua hesabu,kwa upande wangu kila nikipiga hesabu napata sifuri ndio nikauliza.

We kama wewe unapata wapi akili ya kupiga hesabu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom