Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
WanaJF katika taarifa ya habari ya TBC1 nimemsikia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Wilson Mukama akisema kwamba CCM itawaengua wafanyabiashara ambao walijiunga CCM kwa hila na kufanya mambo ambayo jamii haiyataki. Nikiangalia ndani ya CCM naona WAKULIMA na WAFANYAKAZI wamebaki kidogo sana; Kwa miaka ya karibuni CCM iliamua kuwakumbatia wafanyabiashara na wengi wakapewa majina ya wafadhili wa chama na ndio maana tukaona kufumuka kwa wafanyabiashara wakigombea vyeo vya kisiasa kama ubunge. Sasa CCM ikiamua kuwaengua wafanyabiashara itabaki na nini kwa kuwa Wakulima na wafanyakazi walishatoswa!!!
Lingine: Eti malumbano ya Nnape na CHADEMA ni kachumbali ya kisiasa!! Sikumwelewa
Lingine: Eti malumbano ya Nnape na CHADEMA ni kachumbali ya kisiasa!! Sikumwelewa