Kumbe CCM inataka kuwatosa Wafanyabiashara!!

Kimbunga

Platinum Member
Oct 4, 2007
14,941
9,947
WanaJF katika taarifa ya habari ya TBC1 nimemsikia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Wilson Mukama akisema kwamba CCM itawaengua wafanyabiashara ambao walijiunga CCM kwa hila na kufanya mambo ambayo jamii haiyataki. Nikiangalia ndani ya CCM naona WAKULIMA na WAFANYAKAZI wamebaki kidogo sana; Kwa miaka ya karibuni CCM iliamua kuwakumbatia wafanyabiashara na wengi wakapewa majina ya wafadhili wa chama na ndio maana tukaona kufumuka kwa wafanyabiashara wakigombea vyeo vya kisiasa kama ubunge. Sasa CCM ikiamua kuwaengua wafanyabiashara itabaki na nini kwa kuwa Wakulima na wafanyakazi walishatoswa!!!

Lingine: Eti malumbano ya Nnape na CHADEMA ni kachumbali ya kisiasa!! Sikumwelewa
 
Ni kazi rahisi. Hawa wanajulikana na sidhani kama wanaozungumziwa ni wale wafanyabiashara ya mchele na unga soko la tandale. Hawa ni wale wanaokitumia chama kufanya ufisadi wao.
 
WanaJF katika taarifa ya habari ya TBC1 nimemsikia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Wilson Mukama akisema kwamba CCM itawaengua wafanyabiashara ambao walijiunga CCM kwa hila na kufanya mambo ambayo jamii haiyataki. Nikiangalia ndani ya CCM naona WAKULIMA na WAFANYAKAZI wamebaki kidogo sana; Kwa miaka ya karibuni CCM iliamua kuwakumbatia wafanyabiashara na wengi wakapewa majina ya wafadhili wa chama na ndio maana tukaona kufumuka kwa wafanyabiashara wakigombea vyeo vya kisiasa kama ubunge. Sasa CCM ikiamua kuwaengua wafanyabiashara itabaki na nini kwa kuwa Wakulima na wafanyakazi walishatoswa!!!

Lingine: Eti malumbano ya Nnape na CHADEMA ni kachumbali ya kisiasa!! Sikumwelewa
Mkuu,
Ubavu huo ccm haina kwa sababu hawa ndo wanaoendesha chama katika nyanja zooote ikiwa na pamoja na kugawa position mbali mbali za kiserikali. so hao watazama wote pamoja
 
CCM haina ubavu wa kuwaondoa hao wafanyabiashara inaowasema ni porojo tuuuuu
 
WanaJF katika taarifa ya habari ya TBC1 nimemsikia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Wilson Mukama akisema kwamba CCM itawaengua wafanyabiashara ambao walijiunga CCM kwa hila na kufanya mambo ambayo jamii haiyataki. Nikiangalia ndani ya CCM naona WAKULIMA na WAFANYAKAZI wamebaki kidogo sana; Kwa miaka ya karibuni CCM iliamua kuwakumbatia wafanyabiashara na wengi wakapewa majina ya wafadhili wa chama na ndio maana tukaona kufumuka kwa wafanyabiashara wakigombea vyeo vya kisiasa kama ubunge. Sasa CCM ikiamua kuwaengua wafanyabiashara itabaki na nini kwa kuwa Wakulima na wafanyakazi walishatoswa!!!

Lingine: Eti malumbano ya Nnape na CHADEMA ni kachumbali ya kisiasa!! Sikumwelewa

Kwa hiyo katoa tena siku 90 au CCM inakubali kukaa na magamba (mafisadi) kwa siku ngapi?
 
CCM haina ubavu wa kuwaondoa hao wafanyabiashara inaowasema ni porojo tuuuuu

RA kweli ni mfanyabiashara, Mzee wa Maamvi naye wanaweza kumtosa kwa nembo ya biashara zake, Naye wa Vijisenti sijui anabiashara gani iliyomwingizia vijisenti vyake...hata hivyo Mukama anarudia yaleyale ambayo JK alishawahi kusema na yakamshinda kuwa ni muhimu viongozi kuachanisha mambo ya siasa na bishara halafu hakuna kilichofanyika hadi wa leo hii wafanyabiashara ndio wamezidi kuliko wakati alivyokuwa anaota njozi hizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom