Kumbe bajeti inayojadiliwa ni ya mwaka wa fedha 2013/2014

Dik

JF-Expert Member
Nov 15, 2011
1,204
416
Kwa mujibu wa mbunge wa jimbo la Rombo mh Joseph R Selasini ambaye ni mjumbe wa kamati ya bajeti ni kwamba wizara ya ujenzi imepitishiwa around bilioni 500 ila wana deni la bilion 800. Kwa maana hiyo fedha hizo zinaenda kulipa deni na bado tutadaiwa.

Wakati huo huo katika bajeti iliyopitishwa mwaka jana 2013/14 baadhi ya fedha hizo zimepelekwa kwenye halmashauri mwezi uliopita i.e may! Nimebaki najiuliza hizi fedha zinaenda kuhudumia nini??
CCM HOYEEE!!
 
Nimeangalia nikabaki nimeduwaa. Lakini mimi sishangai kwa staili ya wanaosema ndiyo na hapana hatuwezi kupata kitu cha maana. Inasikitisha mawaziri wanapokuwa waongo kiasi hiki. Nina uhakika Magufuri anajua hili lakini kasoma bajeti yake kwa mbwembwe sana. Huu ni uhuni wa miaka 53 ya chama cha mapinduzi.
 
Mimi najiuliza juu ya amount of borrowing.
1.Hizi trilioni 7 inazosemekana zimekopwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita ziliidhinishwa na Bunge.

2.Kama hazikuhidhinishwa huu sio uvunjaji wa katiba?
3.Na je kwa ukopaji huu katika kipindi cha miaka mitano,kutoka trilioni 9 hadi 30 inawezekana huko nyuma walikuwa wanafanya underbudgeting?
 
Nimeangalia nikabaki nimeduwaa. Lakini mimi sishangai kwa staili ya wanaosema ndiyo na hapana hatuwezi kupata kitu cha maana. Inasikitisha mawaziri wanapokuwa waongo kiasi hiki. Nina uhakika Magufuri anajua hili lakini kasoma bajeti yake kwa mbwembwe sana. Huu ni uhuni wa miaka 53 ya chama cha mapinduzi.

haya majamaa ni majinga sana. Ina maana hayajui? Au ni unafiki?
 
Mimi najiuliza juu ya amount of borrowing.
1.Hizi trilioni 7 inazosemekana zimekopwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita ziliidhinishwa na Bunge.

2.Kama hazikuhidhinishwa huu sio uvunjaji wa katiba?
3.Na je kwa ukopaji huu katika kipindi cha miaka mitano,kutoka trilioni 9 hadi 30 inawezekana huko nyuma walikuwa wanafanya underbudgeting?

hawa jamaa wakikosa hela za kuhonga wapinzani yanaenda kukopa kwa mgongo wa tanzania. Yakitaka kubambikia kesi yanaenda kukopa ukizingatia yule muuaji kapewa ukatibu usishangae nchi inauzwa.
 
Kwa mujibu wa mbunge wa jimbo la Rombo mh Joseph R Selasini ambaye ni mjumbe wa kamati ya bajeti ni kwamba wizara ya ujenzi imepitishiwa around bilioni 500 ila wana deni la bilion 800. Kwa maana hiyo fedha hizo zinaenda kulipa deni na bado tutadaiwa.

Wakati huo huo katika bajeti iliyopitishwa mwaka jana 2013/14 baadhi ya fedha hizo zimepelekwa kwenye halmashauri mwezi uliopita i.e may! Nimebaki najiuliza hizi fedha zinaenda kuhudumia nini??
CCM HOYEEE!!

mi nawashauri wakamwombe yule alikuwa na trillion tatu kule sauzi atakuwa hajazimaliza
 
Mimi najiuliza juu ya amount of borrowing.
1.Hizi trilioni 7 inazosemekana zimekopwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita ziliidhinishwa na Bunge.

2.Kama hazikuhidhinishwa huu sio uvunjaji wa katiba?
3.Na je kwa ukopaji huu katika kipindi cha miaka mitano,kutoka trilioni 9 hadi 30 inawezekana huko nyuma walikuwa wanafanya underbudgeting?

Maswali ya msingi sana haya....kama umewahi kusoma kitabu cha "Confession of Economic Hit Man" then ukaifanyia utafiti kuangalia uhalisia wake, hakika hutashangazwa na kupaa kwa deni la Taifa!!! The more wanagundua rasilimali ndiyo wanavyo tutwisha mizigo ya madeni isiyolipika!! in return tutawamilikisha hadi makalio yetu ili tuweze ku-survive!!! huu ni mwanzo tu mkuu...
 
Maswali ya msingi sana haya....kama umewahi kusoma kitabu cha "Confession of Economic Hit Man" then ukaifanyia utafiti kuangalia uhalisia wake, hakika hutashangazwa na kupaa kwa deni la Taifa!!! The more wanagundua rasilimali ndiyo wanavyo tutwisha mizigo ya madeni isiyolipika!! in return tutawamilikisha hadi makalio yetu ili tuweze ku-survive!!! huu ni mwanzo tu mkuu...

Huwa nawashangaa sana vijana wenzetu wa upande wa ccm wanaotetea uovu huu! Tunaomba japo mtafakari kidogo tu! Kina ritz, ifweero simiyu yetu n.k. Mmeshakula vya kutosha naomba sasa tukemee uhuni huu.
 
Huwa nawashangaa sana vijana wenzetu wa upande wa ccm wanaotetea uovu huu! Tunaomba japo mtafakari kidogo tu! Kina ritz, ifweero simiyu yetu n.k. Mmeshakula vya kutosha naomba sasa tukemee uhuni huu.

lusungo na CHAMVIGA hawaelewi eti
 
Last edited by a moderator:
Maswali ya msingi sana haya....kama umewahi kusoma kitabu cha "Confession of Economic Hit Man" then ukaifanyia utafiti kuangalia uhalisia wake, hakika hutashangazwa na kupaa kwa deni la Taifa!!! The more wanagundua rasilimali ndiyo wanavyo tutwisha mizigo ya madeni isiyolipika!! in return tutawamilikisha hadi makalio yetu ili tuweze ku-survive!!! huu ni mwanzo tu mkuu...
Halafu linasimama bunge jinga la CCM na kuanza kumpongeza waziri wa fedha kwa kusoma vizuri bajeti! Mapuuzi kama MwanaDiwani, Ifwero, Msalani, Lizabon n.k. yenye yapo busy kuijadili CHADEMA kana kwamba ndio inayoongoza nchi!
 
Mimi najiuliza juu ya amount of borrowing.
1.Hizi trilioni 7 inazosemekana zimekopwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita ziliidhinishwa na Bunge.


Hivi unapoletewa bajeti abayo matumizi yanzidi mapato na nyinyi mkaipitisha manayake nini kama sio mmekubalina na hali halisi kuwa wakakope?

Mfano baheti ya mwaka huu imeseemwa mapema kabisa kuwa kuna upungufu wa 4.3 Tril na bajeti ndio wanenda kuipitisha, unategemea hizo 4.3 Tril wantoa wapi?

Mimi nakushahuri ilo deni la taifa kw asasa ni 30.6tril hesabu kabisa kuwa wakija mwakani si chini ya 35 tril litakuwa.
 
Halafu linasimama bunge jinga la CCM na kuanza kumpongeza waziri wa fedha kwa kusoma vizuri bajeti! Mapuuzi kama MwanaDiwani, Ifwero, Msalani, Lizabon n.k. yenye yapo busy kuijadili CHADEMA kana kwamba ndio inayoongoza nchi!

kuna watu wamefundishwa tu kuchapa na kupost utetezi kwa ccm ila kiujumla hawajui kinachoendelea. Wamefumbwa macho na akili zao hadi wanashangaza.
 
Maswali ya msingi sana haya....kama umewahi kusoma kitabu cha "Confession of Economic Hit Man" then ukaifanyia utafiti kuangalia uhalisia wake, hakika hutashangazwa na kupaa kwa deni la Taifa!!! The more wanagundua rasilimali ndiyo wanavyo tutwisha mizigo ya madeni isiyolipika!! in return tutawamilikisha hadi makalio yetu ili tuweze ku-survive!!! huu ni mwanzo tu mkuu...

Nimekisoma hiki kitabu, in Fact kile kitabu kinaelezea namna viongozi wa mataifa yasiyo ya kizungu walivyo wajinga.
 
Halafu linasimama bunge jinga la CCM na kuanza kumpongeza waziri wa fedha kwa kusoma vizuri bajeti! Mapuuzi kama MwanaDiwani, Ifwero, Msalani, Lizabon n.k. yenye yapo busy kuijadili CHADEMA kana kwamba ndio inayoongoza nchi!

Nikiingia kwa desktop utanidai "like" Mkuu!!
 
Kwa waliokaribu na RITA KABATI,jana akichangia m.a.ti.ti yote nje nje mwambieni keshazeeka aache hizo
 
Back
Top Bottom