Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,693
wana jf,
habari zenu.. Ni matumaini yangu kuwa ni wazima na mnajiandaa vyema na weekend.
Kama uzi unavyosomeka, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 ni mwanafunzi wa chuo hapa jijini dar.. Katika maisha yangu ya sekondari nilijariwa kuwa na marafiki wengi wa kike japo shule yetu ilikuwa single yani boys tu.. Kati ya marafiki zangu wengine walikuwa watu wangu wa karibu sana hadi kufikia hatua ya mabwana zao kubreak nao nikidhaniwa kuwa mimi nawachukua,, cha kushangaza wale niliokuwa nawataka kimapenzi hawakunikubali lakini hawakuwa tayar tuachane kiurafiki na nimedumu nao mpaka sasa ninamawasiliano nao..
Sasa niko chuo nimempenda dada mmoja ambaye ni rafiki angu sana.. Yani ni zaidi ya marafiki na nimemsadia sana kimasomo.. Ilifikia hatua analia sana kwamba masomo ni magumu (engineering) rakini nimemshauri vzuri na anaendelea na masomo huku mimi nikizidi kumsaidia.. Ni rafiki angu sana..ila nimempenda kimapenzi japo nimekaa nae sana na mpenzi wake wa kiume namfahamu... Je, nifanye nini?? Nikiachana nae kuna hatar ya kudisco na mimi staki afail,, 2kiendelea na urafiki nazidi kumtamani kwani mda wote niko naye.... Msaada wenu wakuu.
habari zenu.. Ni matumaini yangu kuwa ni wazima na mnajiandaa vyema na weekend.
Kama uzi unavyosomeka, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 ni mwanafunzi wa chuo hapa jijini dar.. Katika maisha yangu ya sekondari nilijariwa kuwa na marafiki wengi wa kike japo shule yetu ilikuwa single yani boys tu.. Kati ya marafiki zangu wengine walikuwa watu wangu wa karibu sana hadi kufikia hatua ya mabwana zao kubreak nao nikidhaniwa kuwa mimi nawachukua,, cha kushangaza wale niliokuwa nawataka kimapenzi hawakunikubali lakini hawakuwa tayar tuachane kiurafiki na nimedumu nao mpaka sasa ninamawasiliano nao..
Sasa niko chuo nimempenda dada mmoja ambaye ni rafiki angu sana.. Yani ni zaidi ya marafiki na nimemsadia sana kimasomo.. Ilifikia hatua analia sana kwamba masomo ni magumu (engineering) rakini nimemshauri vzuri na anaendelea na masomo huku mimi nikizidi kumsaidia.. Ni rafiki angu sana..ila nimempenda kimapenzi japo nimekaa nae sana na mpenzi wake wa kiume namfahamu... Je, nifanye nini?? Nikiachana nae kuna hatar ya kudisco na mimi staki afail,, 2kiendelea na urafiki nazidi kumtamani kwani mda wote niko naye.... Msaada wenu wakuu.