Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 292
- Thread starter
- #81
hilo neno piaKapelekwa chuo, kaonana na huyo boifrend mpya, kaona wazamani hamfai, je huyo boifrend mpya akimpeleka masters? Si na huko atapata boifrend mpya na aseme kamfia, hasikii wala haambiwi?
Na ataendelea ivo mpaka lini?
Wakati mwengine kwenye kupenda tushirikishe akili na hisia. Sio kutumia hisia zaidi.