Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Habari,
Jamani naomba kuuliza hivi kujua kulima kwa kutumia trekta kunahitaji utaalam mkubwa? Nahitaji kwenda kozi? Au mimi naweza kujifunza kwa kuangalia na kufuatilia kama kuendesha gari?
Nafikiria nijue siku nyingine niwe nasonga mwenyewe front-line au hata kama natoa maelekezo na mimi nijue nini kinaendelea.
Naomba maelezo wandugu.
Jamani naomba kuuliza hivi kujua kulima kwa kutumia trekta kunahitaji utaalam mkubwa? Nahitaji kwenda kozi? Au mimi naweza kujifunza kwa kuangalia na kufuatilia kama kuendesha gari?
Nafikiria nijue siku nyingine niwe nasonga mwenyewe front-line au hata kama natoa maelekezo na mimi nijue nini kinaendelea.
Naomba maelezo wandugu.