Nickson Felisy
New Member
- Oct 20, 2016
- 1
- 0
watu wanafurahisha aisee,et km hakuna pa kwenda paki
iinaonesha checking engine
kama kuna fundi mwamjua, msaada
Database ya Tower ikwapi?Ulikuwa unamaanisha "Control Tower?"....Hapo hakuna database ya tower,hiyo ni Applications kwenye "Playstore" na "App Store" ambayo unaweza kuipakuwa na ikawa inakupa muonekano wa ndege ktk anga la eneo fulani.Lakini kilichoulizwa hapo ni very technical na si jambo la kawaida na ushahidi umewekwa tena toka database ya tower
Kwa wazoefu wa kupanda ndege hili si jambo la kawaida na mtoa mada ameuliza tu
Hilo ndiyo jibu,lazima wafanye training....ile iliyokuwepo ni DHC 8,hizi mpya ni DHC Q400 kwahiyo lazima wafanye training....na hiyo ni kwa ndege zote,kutoka aina moja ya ndege kwenda nyingine lazima upate mafunzo.....Huenda wale madereva/Pilot wa kizungu waliozileta wanafanya handing over kwa madereva wa kiswahili
nasikia taa moja ya engine imegoma kuzimaDatabase ya Tower ikwapi?Ulikuwa unamaanisha "Control Tower?"....Hapo hakuna database ya tower,hiyo ni Applications kwenye "Playstore" na "App Store" ambayo unaweza kuipakuwa na ikawa inakupa muonekano wa ndege ktk anga la eneo fulani.
Jamani mambo mengine ni ya kawaida sana ktk usafiri wa anga..hii ni technical affair,hiyo ni "Test Flight" ya "Touch and Go" ambapo hutumika kwa ajili ya ama ndege imetoka matengenezo au kwa ajili ya Training ya marubani.Hizi ni ndege mpya ambazo zitaendeshwa na marubani wa Kitanzania.Wanatakiwa wapate training za hapa na pale,kinachofanyika hapo ni training kwa marubani wa Kitanzania kwa msaada wa wale wa Canada,hii ni kusema baada ya muda kadhaa wawe mahiri.
Yaani wabongo hamna dogo,wasipokuwepo marubani wa kitanzania maneno,wakifanya mazoezi wawe mahiri ni maneno,sasa watu wafanyaje?Hii "Test Flight" na "Training ya Touch and Go" ipo dunia nzima.Hata Precision hufanya kwa marubani wake,hata Fastjet na pia zile ndege ndogo za Terminal One.
Mkuu muhomakilo jr upo vizuri,jibu lako ni sahihi moja kwa moja.Ndiyo maana na "avatar" yako ina dude la hatari,naona tu injini hapo.Bila shaka wewe ni mdau wa usafiri wa angaHilo ndiyo jibu,lazima wafanye training....ile iliyokuwepo ni DHC 8,hizi mpya ni DHC Q400 kwahiyo lazima wafanye training....na hiyo ni kwa ndege zote,kutoka aina moja ya ndege kwenda nyingine lazima upate mafunzo.....
Majungunasikia taa moja ya engine imegoma kuzima
Asante sana kwa ufafanuzi mimi sio mtaalamu sana anga hizo lakini nilidhani hizi test flights zilishafanyika huko zilikotengenezwa na hata marubani wetu walienda huko kwa ajili ya mafunzo na utaalam zaidiDatabase ya Tower ikwapi?Ulikuwa unamaanisha "Control Tower?"....Hapo hakuna database ya tower,hiyo ni Applications kwenye "Playstore" na "App Store" ambayo unaweza kuipakuwa na ikawa inakupa muonekano wa ndege ktk anga la eneo fulani.
Jamani mambo mengine ni ya kawaida sana ktk usafiri wa anga..hii ni technical affair,hiyo ni "Test Flight" ya "Touch and Go" ambapo hutumika kwa ajili ya ama ndege imetoka matengenezo au kwa ajili ya Training ya marubani.Hizi ni ndege mpya ambazo zitaendeshwa na marubani wa Kitanzania.Wanatakiwa wapate training za hapa na pale,kinachofanyika hapo ni training kwa marubani wa Kitanzania kwa msaada wa wale wa Canada,hii ni kusema baada ya muda kadhaa wawe mahiri.
Yaani wabongo hamna dogo,wasipokuwepo marubani wa kitanzania maneno,wakifanya mazoezi wawe mahiri ni maneno,sasa watu wafanyaje?Hii "Test Flight" na "Training ya Touch and Go" ipo dunia nzima.Hata Precision hufanya kwa marubani wake,hata Fastjet na pia zile ndege ndogo za Terminal One.
Ni kweli naona hata jinsi ulivyoandika sasa unaonyesha zaidi kuwa hauna "uelewa" mkubwa kwa hili.Test Flight si kwamba ni kujaribu ndege,Marubani wetu walikwenda,ambao watakuja kuwafundisha wengine hapa hapa nyumbani.Isingekuwa rahisi kuwapeleka wengi sbb ya ghalama.Wale walioenda na wakapata ujuzi kwa kushirikiana na wale Wacanada wachache ambao bado wapo,Wanahamisha ujuzi kwa wengine ambao hawakwenda.Asante sana kwa ufafanuzi mimi sio mtaalamu sana anga hizo lakini nilidhani hizi test flights zilishafanyika huko zilikotengenezwa na hata marubani wetu walienda huko kwa ajili ya mafunzo na utaalam zaidi
Kama bado tuko kwenye test flights hata baada ya kuzinduliwa na kufanyiwa water cannon basi kazi tunayo
Asante kwa kunielewesha zaidi nimepata kitu hapa nitawaelimisha na wengine pia shukrani tenaNi kweli naona hata jinsi ulivyoandika sasa unaonyesha zaidi kuwa hauna "uelewa" mkubwa kwa hili.Test Flight si kwamba ni kujaribu ndege,Marubani wetu walikwenda,ambao watakuja kuwafundisha wengine hapa hapa nyumbani.Isingekuwa rahisi kuwapeleka wengi sbb ya ghalama.Wale walioenda na wakapata ujuzi kwa kushirikiana na wale Wacanada wachache ambao bado wapo,Wanahamisha ujuzi kwa wengine ambao hawakwenda.
Ni kama kumpeleka mtoto mmoja shule,ili akirudi aje ahamishe ujuzi kwa wengine ambao hawakwenda ili kupunguza ghalama
Kukosoa kwenyewe huku bora hata mngefungwa maskini tepu kabisa mdomoni, nyambaaaaf...
au inawashwa leo inaondoka kesho? l
Haki ya nani kuna watu mnaweza hata kuhujumu hizi ndege zianguke ili tu muweze kujifurahisha kisiasa. Hata sijui tumefikaje kwenye uhasama huu na ukosefu wa uzalendo kwenye nchi ambayo miaka michache tu huko nyuma ilikuwa mfano wa kuigwa kwa umoja wake kutokana na juhudi kali za Mwl. Nyerere. Inasikitisha!
Ha ha haaaaToka jana mida ya jioni labda wanapasha moto mapangaboi.