Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,765
- 21,199
Wanga na dua zao mbovu utawajua tu..../
Inazunguka ardhini au angani? Au kuna shida ya gia ya kupaisha na kuishua imejam?Toka jana mida ya jioni labda wanapasha moto mapangaboi.
wakienda wapi wakati hata semina na makongamano sijui warsha mkuu amesitisha, hapa ndio pale ukijifanya mjuaji sana una aibika.. unabana mpaka mlo wako mwenyewe ukifikir unamkomoa jirani, acha mapanga boi yazunguke angani kufukuza ndege waharibifu tu.shirika limeshindwa kabla halijaanza, ushauri bunge ipitishe sheria wafanyakazi wote wa serikali iwe lazima kupanda hizi ndege
wakienda wapi wakati hata semina na makongamano sijui warsha mkuu amesitisha, hapa ndio pale ukijifanya mjuaji sana una aibika.. unabana mpaka mlo wako mwenyewe ukifikir unamkomoa jirani, acha mapanga boi yazunguke angani kufukuza ndege waharibifu tu.
ila jana imeenda mwanza kuna jamaa yangu kapanda anasema huduma nzuri sanaBombardier yetu inazunguka tu Kwa zaidi ya lisaa hapo uwanja wa ndege Dar? Wese bei ghali jamani paki Kama huna pa kwenda
View attachment 424663 Vipi
Tumia bundle vizuri kijana, sio fb, twitter, youtube na jfmmeifunga traking system. duh wabongo mpo fasta
Wee jamaa sio mchezo...Kwani hapo kakupigia kelele au wewe ndio umesoma kwa sauti?..
Bombardier yetu inazunguka tu Kwa zaidi ya lisaa hapo uwanja wa ndege Dar? Wese bei ghali jamani paki Kama huna pa kwenda
View attachment 424663 Vipi
Mmmh !! ivo wewe swiss umeamua kutuvunjaga mbavu??always ukinunua mtumba lazima utakuwa na kasoro ndio maana mtu kaamua kutupa jalalani ukute mtumba umenunua bei ghali utajuta.
swissme
Tumia bundle vizuri kijana, sio fb, twitter, youtube na jf
Wanaoua nchi hii ni watanzania wenyewe, tumejawa ubinafsi na majungu toka ngazi ya familia hadi huko juu. Usitegemee hili taifa kupiga hatua kimaendeleo. Siasa zomechukua uhalisia wa maisha, hatuna patriotism tena, kila kilicho chetu tunakiponda, tunasifia vya wenzetu.Kama taifa, Kenya will ALWAYS be ahead of us, watanzania wanachukia vitu vyao na wanavbea mabaya!
Wakenya ni patriotic when it comes to issues of their national.
Kuna nchi fulani niliwahi kumsikia jamaa akisema, "watanzania usiwape mda wa kuongea, wana kipaji kikubwa sana kwenye kuongea, bahati mbaya sana lugha nyingi za kigeni wengi hawaziwezi"...Yni mijitu minafki sna, ina comments vitu ambvyo hawavijui na unakuta jitu halijui chochote khusu aviation industry na anapayuka tuu
"Database ya tower", thank you Lord...have mercy on your people!!Lakini kilichoulizwa hapo ni very technical na si jambo la kawaida na ushahidi umewekwa tena toka database ya tower
Kwa wazoefu wa kupanda ndege hili si jambo la kawaida na mtoa mada ameuliza tu
Watapanda bure? maana nauli ni sawa na mshahara!shirika limeshindwa kabla halijaanza, ushauri bunge ipitishe sheria wafanyakazi wote wa serikali iwe lazima kupanda hizi ndege
Na pesa za mkopo za kusoma hatuna.Huwezi furahia ndege huku kinamama wanaojifungua watoto hawpato chanjo madawati ishu n.k. Uzalendo ni kupenda yale mazuri na sio upuuzi
bombadia on service
Aha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!Na badooooo srepa at work