andishile JF-Expert Member Apr 1, 2012 1,429 520 May 5, 2012 #21 asante cheusimangala kwa kunikubali kukugundua kuwa PICHA si ya msibani!TUKO PAMOJA
LexAid JF-Expert Member Jul 5, 2011 1,931 772 May 5, 2012 #22 Msiba gani huo? Mshkaji wa nyuma yake ana kipensi na Kili Moko mkononi? apo ni kwenye ile "baa ya Kona" labda!
Msiba gani huo? Mshkaji wa nyuma yake ana kipensi na Kili Moko mkononi? apo ni kwenye ile "baa ya Kona" labda!
Bei Mbaya JF-Expert Member Nov 24, 2010 2,262 843 May 5, 2012 #23 Amyner said: Hilo vazi la msibani.. Mh!?! Click to expand... si la popote,labda chumbani