LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Wakuu wote waume kwa wake humu ndani nimekuwa nikisikia tetesi ati kuna uwezo wa kuotea jinsia ya mtoto unayemtaka kwa kulenga tarehe fulani:A S-baby:! najua kuna wazoefu humu maana natakakufanya majamboz na tayari nnao 2 dumes sasa nataka baby gyal 1! hivi ni ya kweli haya ya tarehe nianze zoezi hilo!???eep::A S-baby: