EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wanaume/wanawake kuwalazimisha wapenzi wao hasa wanapokuwa wanaelekea kuoana ama baada ya kuoana kubadilisha namba zao za simu au kuachana na marafiki wote waliokuwa nao kabla.
Hii tunaionaje jamani, mi imeshanitokea bhana ka gf kangu ka zamani kameolewa kamelazimishwa kubadili namba............... is this kutokujiamini au nini?
Hii tunaionaje jamani, mi imeshanitokea bhana ka gf kangu ka zamani kameolewa kamelazimishwa kubadili namba............... is this kutokujiamini au nini?