Hello wadau? mimi ni kijana wa kiume miaka 34 na ni mpenzi wa vinywaji vikali ,,sasa tatizo langu napenda sana kulala kifudifudi. Naomba ushauri je sijiweki hatarini kwa afya yangu kwa kulala kifudifudi? ni mnajua mambo ya figo,ini na viungo vingine ndani ya tumbo...namaanisha nalala hivyo huku nikiwa masanga..NAOMBA USHAURI?
Mdau
Mdau