BBC imeingiaje hapo? Kuwa makini
Ukiandika bila kutumia akili inaoneka we ni mtu wa namna gani? We matusi yako hayatabadili picha. najua wenye akili wanazitumia vizuri kwa maendeleo yao na taifa.
Wengi wanasema amelala, hata kama ni kwa kupitiwa.
Mkuu, sio kwamba hawa watu wanasali kweli, mbona wote wameinama. Ina maana wote wamelala ?Ni katika hali isiyo ya kawaida kwa mtu anayepigiwa chapua kuwa kiongozi wa taifa kulala kwenye msiba. Haya ni kawaida sana kwa watu wavivu wa kufikiri pamoja na wasiotaka kujishughulisha. Tumeona mifano ya watu kama hao katika bunge lilipita kwa Mh. Komba na Wasira.
Tunajua nini madhara ya kuwa na viongozi wa namna hii.
Leo Mh. Edward N. Lowassa mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, anyeungwa mkono na UKAWA amelala katika msiba wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, Emmanuel Makaidi.
Madai ya Watanzania wengi kuwa Lowassa hawezi kuongoza nchi hii imejionyesha wazi. Tunatakiwa tufanye maamuzi sahihi sasa, maana tumeona anavyoweza kuliangamiza taifa letu kwa kukosa umakini katika mambo muhimu.
Cha muhimu wapigakura wanatakiwa kufanya maamuzi sahihi na bora kabisa ili kupata kiongozi wa taifa letu pendwa.
View attachment 301038
Picha kwa hisani ya BBC
Msibani huwa tunasinzia sembuse kulala!?.Ni katika hali isiyo ya kawaida kwa mtu anayepigiwa chapua kuwa kiongozi wa taifa kulala kwenye msiba. Haya ni kawaida sana kwa watu wavivu wa kufikiri pamoja na wasiotaka kujishughulisha. Tumeona mifano ya watu kama hao katika bunge lilipita kwa Mh. Komba na Wasira.
Tunajua nini madhara ya kuwa na viongozi wa namna hii.
Leo Mh. Edward N. Lowassa mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, anyeungwa mkono na UKAWA amelala katika msiba wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, Emmanuel Makaidi.
Madai ya Watanzania wengi kuwa Lowassa hawezi kuongoza nchi hii imejionyesha wazi. Tunatakiwa tufanye maamuzi sahihi sasa, maana tumeona anavyoweza kuliangamiza taifa letu kwa kukosa umakini katika mambo muhimu.
Cha muhimu wapigakura wanatakiwa kufanya maamuzi sahihi na bora kabisa ili kupata kiongozi wa taifa letu pendwa.
View attachment 301038
Picha kwa hisani ya BBC
Dah! Lowasa kina anakoenda anaharibu. Sijui ni mtu wa aina gani huyu. Analala mpaka msibani!
Dah! Lowasa kina anakoenda anaharibu. Sijui ni mtu wa aina gani huyu. Analala mpaka msibani!