Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Inaonesha siku hz hakuna mapenzi ya dhati. Anakudhihirishia kuwa ana shida ni kitu kimoja tu! Hana haja na wewe. hy inaitwa "TOUCH AND GO"
Inaonesha siku hz hakuna mapenzi ya dhati. Anakudhihirishia kuwa ana shida ni kitu kimoja tu! Hana haja na wewe. hy inaitwa "TOUCH AND GO"
Hiyo ndio lugha ya kiutu uzima, wakati mwingine maneno sio muhimu! Tujifunze kuongea kwa vitendo teo. ACTIONS SPEAK MORE LOUD THAN WORDS!Wanaume wengi wa sikuhizi hasa wababa.akiwa anataratibu za kutaka kukutongoza ukikutananae njian anakusalimia kwa mkono afu anauvutia mkono wako kwenye nyet zake..ndo nin sasa?
Heeee wapi huko, labda anaangalia na mtu na mtu ukijirahisi anaweza fanyia visa kama hivi lolWanaume wengi wa sikuhizi hasa wababa.akiwa anataratibu za kutaka kukutongoza ukikutananae njian anakusalimia kwa mkono afu anauvutia mkono wako kwenye nyet zake..ndo nin sasa?
Mkuu wewe unakaa wapi?,
Duh hii kitu sijawahi kuona mtu anafanya, labda ni etiquette za ajabu huko kwenu unapoishi.
In short sio ustaarabu kabisa
hahaha! Most of men wanapenda kujivutavuta may be inakuwa imetoka nje ya boxer wanataka kuireplace pahala pake. Ama? LolzHiii mpya..Dahhh nilivyoona kichwa cha threadNilidhani ni ile unamuona mwanaume Barabarani atatembea kiupande upandeHalafu anavuta dudu lake chini hivi.. halafuNdo sasa ataanza kutembea vema..Kuna mwingine alivuta dudu kanisani..Nini tu jamani.. kuvuta vuta ..??Haiumii?? Maana ya onekana mnatumia energy dahhhhhh poleni
Hiyo staili wala si mpya na wala msimshangae mleta mada mimi ilishawahi kunikuta nikiwa A level na ni way back more than 10 years a go. Kuna kaka tulikuwa shule moja boarding school (mixture) sasa yale mambo ya kupaty, tunacheza mziki nashangaa anachukua mkono wangu na kuupeleka kwenye suruali yake na alikuwa keshalowa. Ni kama alikuwa ananambia ana hali mbaya; wakati we were not lovers but just friends. Sikumwambia mtu pale shule maana ningemzibia wakati sikuwa na mpango nae though wadada wengi walikuwa wanamzimikia. Kaka mwenyewe ni gentleman na wala si muhoga wa kusema anaogopa kutongoza lakini nashangaa yalimsibu yapi siku hiyo. Sijawahi kumuona toka tumalize shule ila huwa naongea nae akiwa online as if nothing happened. Hakuna maisha yenye story to tell kama maisha ya boarding.
umetunga hadithi ya fasta.
mimi nina marafiki wa kila aina na wanagongoza kwa njia zote lakini hii kiboko
hawa watakuwa wazee haweza kuwa kijana bana, vijana wengi hawana ujasiri huo hasa kwa mtu wanaye mfagilia
hili neno mbona leo limekukaa hivi? still 4 hrs mnyama ale lapa
una maana gani?Nimesikia mnyama kaliwa, eti kweli?
basi na inamaana na wale wanamuziki wanaopenda kuimba uku wameshika nyeti inaamana huwa wanatongoza ni tabia ya m2 kujiendekeza2Wewe ni mwanaume huwezi jua wanaume wenzio wanatongoza vipi na huwezi kuwasemea unless....
Na usinambie nimetunga nimeamua kutoa ushuhuda wangu kwa kuwa huyo mtoa mada amesema na inawezekana wanawake wengine wana similar experience. Hivi vitu ni kati ya wawili so here is where you can say whether it is exceptional case or ni mambo ambayo yapo.
sio lazima lakini inategemea na mtu unayekutana nae kwa namna gani?unajiweka weka vipi mpaka anakufanyia hayo....hivi kuna ulazima wa kusalimiana na mtu kwa kupeana mkono jamani...
ww inaonekana ndio zakoumetunga hadithi ya fasta.
mimi nina marafiki wa kila aina na wanagongoza kwa njia zote lakini hii kiboko
hawa watakuwa wazee haweza kuwa kijana bana, vijana wengi hawana ujasiri huo hasa kwa mtu wanaye mfagilia