Kukuku Hadija yule.. kwako wapi?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,478
39,996
Well.. kuna michezo mbalimbali ya utoto ambayo ilikuwa ni burudani, vituko na wakati fulani ilizaa urafiki wa kudumu sana. Michezo ambayo watoto wetu leo hii wanaweza kuona kuwa haina maana tena na wamebakia kucheza na computer, TV na gameboards..

Kombolela
Kioo kioo
Ukuti ukuti
Kuruka kamba
Hiki na Hoko
Namtafuta rafiki
Tiari bado (mchezo huu ungepigwa marufuku!!!)
Kitambaa changu cheupe
Tukuone maringo yako!
Watoto wangu eh

Upi uliupenda na kwanini?
 
Well.. kuna michezo mbalimbali ya utoto ambayo ilikuwa ni burudani, vituko na wakati fulani ilizaa urafiki wa kudumu sana. Michezo ambayo watoto wetu leo hii wanaweza kuona kuwa haina maana tena na wamebakia kucheza na computer, TV na gameboards..

Kombolela
Kioo kioo
Ukuti ukuti
Kuruka kamba
Hiki na Hoko
Namtafuta rafiki
Tiari bado (mchezo huu ungepigwa marufuku!!!)
Kitambaa changu cheupe
Tukuone maringo yako!
Watoto wangu eh

Upi uliupenda na kwanini?

Huo wa maringo yako ndo mtoto anashika kiuno anaanza kubingiribingi mpaka chini :)
niliucheza Tabora miaka ileeeeeeeeeeee
 
Well.. kuna michezo mbalimbali ya utoto ambayo ilikuwa ni burudani, vituko na wakati fulani ilizaa urafiki wa kudumu sana. Michezo ambayo watoto wetu leo hii wanaweza kuona kuwa haina maana tena na wamebakia kucheza na computer, TV na gameboards..

Kombolela
Kioo kioo
Ukuti ukuti
Kuruka kamba
Hiki na Hoko
Namtafuta rafiki
Tiari bado (mchezo huu ungepigwa marufuku!!!)
Kitambaa changu cheupe
Tukuone maringo yako!
Watoto wangu eh

Upi uliupenda na kwanini?

hiyo kwenye blue mimi ndio ilikuwa inanisuuza roho yangu, ukuti ukuti tulikuwa tunacheza ile mida ya saa moja kasoro hivi jioni kagiza ndio kanaingia saa hiyo unaitwa ukaoge unaona kama unazulumiwa basi hapo kilio ndio huanzia
 
Mimi nilikuwa naupenda ule mchezo wa:

Nampenda nampenda...nani...kijana mmoja....nani...mweusi kidogo...nani...
 
Tiari bado ilikuwa inanikosha roho mkuu na zaidi kipengele cha kuwa baba nilikuwa nakipenda. Nadhani hali ile ilikuwa inajenga utayari wa kukabiliana na majukumu ya sasa ya ubaba.
 
Well.. kuna michezo mbalimbali ya utoto ambayo ilikuwa ni burudani, vituko na wakati fulani ilizaa urafiki wa kudumu sana. Michezo ambayo watoto wetu leo hii wanaweza kuona kuwa haina maana tena na wamebakia kucheza na computer, TV na gameboards..

Kombolela
Kioo kioo
Ukuti ukuti
Kuruka kamba
Hiki na Hoko
Namtafuta rafiki
Tiari bado (mchezo huu ungepigwa marufuku!!!)
Kitambaa changu cheupe
Tukuone maringo yako!
Watoto wangu eh

Upi uliupenda na kwanini?

ilikuwa inanikosha roho kabisa
 
Well.. kuna michezo mbalimbali ya utoto ambayo ilikuwa ni burudani, vituko na wakati fulani ilizaa urafiki wa kudumu sana. Michezo ambayo watoto wetu leo hii wanaweza kuona kuwa haina maana tena na wamebakia kucheza na computer, TV na gameboards..

Kombolela
Kioo kioo
Ukuti ukuti
Kuruka kamba
Hiki na Hoko
Namtafuta rafiki
Tiari bado (mchezo huu ungepigwa marufuku!!!)
Kitambaa changu cheupe
Tukuone maringo yako!
Watoto wangu eh

Upi uliupenda na kwanini?
Du kumbe na wewe babu ulicheza michezo hii. Mimi hiyo kwenye bluu niliipenda zaidi!
 
mimi kombolela bwana!najificha na mdada wa watu up to two hours:D:D
 
Mimi nilikuwa naupenda ule mchezo wa:

Nampenda nampenda...nani...kijana mmoja....nani...mweusi kidogo...nani...

jamni mnatukumbusha mbali!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! watoto wetu tunawafungia ndani hawajui nyimbo hizi
 
Nilikuwa najishindia kanisani mwanakwetu huku nikipewa hadithi za mitume na manabii wa ukweli.

Hiyo michezo yenu ambayo mwisho wa siku zinazuka ndundi niliisikia kwenye bomba tu.
 
mie kujipikilisha, kujificha (tiari bado) na kucheza rede (ready)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom