Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,255
- 113,669
Hiyo red ina-sound hujiamini, kwa nini ujali kinachosemwa ukiwa haupo?
Hata kama wanakusema wewe, na wameshindwa kusema on your face, do you realy care?
Sijiamini ndiyo.
Hiyo red ina-sound hujiamini, kwa nini ujali kinachosemwa ukiwa haupo?
Hata kama wanakusema wewe, na wameshindwa kusema on your face, do you realy care?
mimi naona unavyonishambulia kama vile wanichukia.......................msema kweli ni kipenzi cha Mungu............lakini ni adui wa mwanadamu pia............................ukweli ni kuwa kukosoa itategemea na jinsi unavyomkosoa mwenzio...................kuna mahali hata umediriki kusema ya kuwa umeamua kuwa ....."mkali kidogo" kwa umombo........hata nimesahau................something like "sarcastic".................hivi hata huyo unayemkosoa lengo kweli ni kumsaidia au kumdhalilisha kwa kumuumbua..................but I love you dear because if i do not the love of CHRIST is not in me........................
hebu nikonvince kwanza kwamba niko wrongwacha Smile mwenyewe atutake radhi kwanza kwa kauli yake ...na ndo practice ya kukosolewa ianze hapahapa kwenye thread hii...
Kwani huwa hukosolewi? Au watu wanakuogopa?
Hahahaha!!!
upo wewe mkuu wewe ni mfano wa kuigwa hapa bongo huna ubishi wa kiboya boya mkuuNi hulka ya wengi sana wanapenda kuendelea kusifiwa kila wafanyapo jambo lolote hata kama jambo hilo sio jema kihivyoYaani wanataka waonekane wako sawa wakati wote
Huwa sikosolewi vya kutosha.....au niseme hainikolei.
Sababu hasa sijaijua ya kutokoselewa vya kutosha sijaijua...
Nimetoa changamoto watu ambao hukwazika pale wakosolewapo wajitaje na mpaka sasa hakuna hata mmoja aliyejitaja. Sasa kweli ina maana sisi wote tuliochangia humu huwa hatukwaziki jamani?
Au ndo yaleyale ya nyani (no pun intended) haoni kundule?
Hmmm labda una groupies wengi....lol
Mie hukwazika sana, tena ukizidi nikosoa naweza lia mbele ya PC yangu.
Na siku nikikufahamu ntakugonga hata na baskeli yangu
hebu nikonvince kwanza kwamba niko wrong
mimi sijasema ivo kasome tena hukunielewa mkuuje,ni kweli wanaume wote (tena uliainisha kabisa kuwa ni wanaume wa TZ) wanamind na kuja juu pale wanapokosolewa?
upo wewe mkuu wewe ni mfano wa kuigwa hapa bongo huna ubishi wa kiboya boya mkuu
Hahah sidhani. Groupies unao wewe na Yoyo (nimeona dongo ulilolirusha kule)
Heeheheh. . . .I'm not saying I was wrong. . . I was just kinda mean.