Kukojoa mara kwa mara kunatokana na nini?

Mkuu wala huna tatizo kabisa,Tatizo pekee ni kwamba unakunywa maji mengi sana hata kama huna kiu hapo lazima utakojoa mara kwa mara wala sio ugonjwa mkuu,punguza kunywa maji mengi kupita kiasi

thanx mkuu huwa nakunywa maji ka lta 4-5 kwel kuna mda huwa nakunywa bla hata kujisikia kiu
 
Ndugu hilo ctatizo bal ni maji unayokunya ni mengi naunajua maji yanasharabiwa tumbon na kama unasikia kiu mara kwa mara ctahid kuchanganya maji na chumvi au sukar ilkufanya usharabiwaji kuwa kwa kiasi kidogo.

thanx,ubarikiwe ntafuata ushaur wako
 
Mbona unaogopa kutaja umri wako?Sasa ukienda hospitali utasema ishirni na kitu?Doze na ushauri vinaendana na umri wa mtu jamani!

Cheki sukari kwanza ujiridhishe maana hiyo ni dalilli mojawapo.
 
Mkuu, tafadhari usizidishe zaidi ya lita 3 na nusu ndani ya masaa 24, kiasi cha maji unachopaswa unywe kinategemea na uzito wako, kimsingi ukishakunywa maji unatakiwa ukae nayo kwa muda usiopungua masaa 2, tofauti na hapo yatakuletea matatizo zaidi.

Kwa maelezo yote kuhusu namna ya kuyatumia maji kama tiba na namna ya kufanya ili isikutokee unakojoakojoa kila mara tafadhari gonga HAPA.

nafikil wanajamvi mko salama na mnaendelea na ujenzi wa taifa letu, Kama Kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu, ni kwamba karibu ni mwez mzima sasa nmekùwa nikisumbuliwa na tatizo la kukojoa mara kwa mara inafikia kiac ndan ya saa moja nakuwa nmekwenda kukojoa zaid ya mara mbili na Mkojo unakuwa zaid ya nusu lita kila ninapokwenda kukojoa PIA kwa siku huwa nakunywa maji lita 3 hadi 4 ,KIKUBWA NINACHOWAOMBA WAKUU NI KUTAKA KUFAHAMU KAMA HILI N TATIZO GAN NA PIA USHAUR WENU JUU YA HILI Tatizo na ninatanguliza shukran kwa Msaada wenu. +ME
 
Mkuu, tafadhari usizidishe zaidi ya lita 3 na nusu ndani ya masaa 24, kiasi cha maji unachopaswa unywe kinategemea na uzito wako, kimsingi ukishakunywa maji unatakiwa ukae nayo kwa muda usiopungua masaa 2, tofauti na hapo yatakuletea matatizo zaidi.

Kwa maelezo yote kuhusu namna ya kuyatumia maji kama tiba na namna ya kufanya ili isikutokee unakojoakojoa kila mara tafadhari gonga HAPA.

asante sana Mkuu MUNGU akubarik na akuzidishie
 
Jamani napenda kujua ni nini kinasababisha mtu kukojoa mara kwa mara kwa siku hata kama mtu hunywi maji mengi?
Pia kiu hainipati tatizo limeanza juzi tu...
 
Hiyo sio prostate cancer ndugu.!Bali ni dalili ya prostate encontinence(kutokwa mkojo mfululzo).hali hii huwapata watu wengisana wazee,kwan we una umrigan?pia mimi natibu matatzo hayo kwa dawa ya asili dawa hizo zipo ndugu zinatibu wengisana,pia hata kama kuna mtu ana matatzo ya kubanwa na mkojo!mkojo hautoki au unatoka kidogokidogo au mara kwa mara au hata kama mgonjwa anampira wa kutolea mkojo atapona kwa mda wa wiki 3,kwa meng zaid nitafute kwa 0759217720
 
Nina tatizo la kuamka usiku hata mara 6 kwa haja ndogo, Nina miaka 37. Huwa sinywi maji wakati wa kulala na mwanaume.

Tatizo hili lina mwaka sasa,nilienda hospital nikapima mkojo na sukari hamna kitu lakini tatizo linaendelea na kunikera sana.

Nyie madaktari wa JF Doctor, tatizo langu ni nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom