Kukatika umeme hovyo hovyo... Bado tuendelee kuita DHARURA??

Wao ni watanzania,na wanajua watanzania ni watu wa masihara masihara
tu na wasio na mwelekeo kwanini wawajali?
 
Ngeleja alisema Bungeni umeme unaozalishwa ni zaidi ya matumizi ya nchi, kama kuna mgao ni matatizo ya kiufundi. Cha ajabu, nimesikia huko Musoma kuna mgao kuanzia saa 2 mpaka 12, pia, kuna mitaa ya Sala Sala hawajaona umeme siku ya tano sasa. KITISHO: je tumwamini nani??
 
Hivi walivyosema tumedhubutu, tumeweza na tunasonga mbele si walikuwa wakiamaanisha na TANESCO nayo imethubutu, imeweza na inasonga mbele au siyo jamani?
 
Back
Top Bottom