GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
hahahahaaaa, ulikua unakula vichwa tu au sio? usiku unasogeza mkoko club la aziz kula vichwa kama kawaidaDah! Mkuu umenitajia makole umenikumbusha mbali sana. Nakumbuka nilikuwa napaki mkoko wangu kama bubu pale CBE. Aisee!