Akiwa huko nje ya nchi itakubali?Endelea kuweka Vocha za kampuni/mtandao husika. Asante
Siku hizi kuna pre paid roaming. Sio kama zamani . Mimi mfano naweka buku kwenye line. Natuma sms..chache.. na bado huwa natumia mobile money. Napata msg za internet banking etcVika kwa mtoa huduma husika, watakupa huduma ya roaming, ila ni ghali
Kiwango cha chini ni TZS100,ooo - TZS1,000,ooo
maisha bora kwa kila mtumiaji wa huduma ya simu
Unaenda kwenye ofisi ya mtando husika au piga customer care waambie unatoa taarifa basi wanaihold, na kama ukirudi pia unawapa taarifaWadau ,
Kwa wenye ufahamu naomba kujua ikiwa nataka kusafiri na line ya simu (sim card) , nifanyeje ili niweze kukaa nayo nje ya nchi kwa muda mrefu bila kufungiwa.
Natanguliza shukrani
Duh?Endelea kutumia namba hiyo ktk huduma ya whasap line haifungiwi
Tigo sikurenew miezi 9 kuja kujaribu kitu mwake ila ni kwamba nilkuwa na pesa yakutosha kwenye simuAirtel wanafunga mapema sana. Tigo haina shida
Mimi ninavyoelewa baada ya usajili kwa alama za vidole na namba za Nida, line hazifungwi, isipokuwa usipotumia kwa muda mrefu wanazi 'cease' na ukiitaka muda wowote wanai 'update' na unaendelea nayo.Wadau,
Kwa wenye ufahamu naomba kujua ikiwa nataka kusafiri na line ya simu (sim card), nifanyeje ili niweze kukaa nayo nje ya nchi kwa muda mrefu bila kufungiwa.
Natanguliza shukrani
Easy, mimi natumia Tigo, wao wanafunga line usipoitumia kwa 3months, kwa hiyo kila baada ya mwezi na nusu namuomba mtu Tz aniunge na kifurushi cha 500Tsh, muhimu ni usisahau ni kila baada ya 2.5months, usivuke 3months.
Ivi ukifanya roaming mtu akikupigia si mpaka aanze na code number ya hiyo nchi?Siku hizi kuna pre paid roaming. Sio kama zamani . Mimi mfano naweka buku kwenye line. Natuma sms..chache.. na bado huwa natumia mobile money. Napata msg za internet banking etc
Hapana, anakupigia kawaida tuu. sema lazima uwe na pesa kwenye salio. Sababu ukipokea unakatwa pesa pia, Tena wewe unaepokea unakatwa pesa nyingi (according to roaming agreements)Ivi ukifanya roaming mtu akikupigia si mpaka aanze na code number ya hiyo nchi?