funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Habari za leo wanajamvi?
Jana jioni nimekutana na kioja mtaani kuna dada mmoja yuko single amerudi nyumbani saa 6 usiku (anakaa kwa wazazi) wakagoma kumfungulia geti (alikuwa na gari yake) na baadae baada ya kupiga honi sana mzee wake akatoka na kumwambia inabidi ufuate masharti ya nyumba yangu, nimesema simfungulii mtu akirudi zaidi ya saa 4 usiku kwa hiyo nenda huko huko ulikochelewa. Yule dada ni mfanyakazi wa benki kama cashier na anadai alichelewa kwa kuwa alishindwa kubalance hesabu na alikuwa na short kubwa sana hivyo alichanganikiwa na alisahau hata kuwajujulisha kwao.
Sisi tukamshauri ahame kwa baba yake akajitegemee lakini akadai baba yake hataki kumruhusu ahame mpaka atakapo olewa ndio aende kwa mmewe lakini sio kupanga wakati baba yake ana nyumba nzuri na kubwa hapa mjini
Naomba maoni yenu kwenye hili maana lilituacha njia panda
Je mtoto wa kike anapopata kazi inabidi ahame kwao au asubiri mpk atakapoolewa? (hapa naongelea wanaofanya kazi ndani ya mji mmoja na walipo wazazi) maoni wandugu
Jana jioni nimekutana na kioja mtaani kuna dada mmoja yuko single amerudi nyumbani saa 6 usiku (anakaa kwa wazazi) wakagoma kumfungulia geti (alikuwa na gari yake) na baadae baada ya kupiga honi sana mzee wake akatoka na kumwambia inabidi ufuate masharti ya nyumba yangu, nimesema simfungulii mtu akirudi zaidi ya saa 4 usiku kwa hiyo nenda huko huko ulikochelewa. Yule dada ni mfanyakazi wa benki kama cashier na anadai alichelewa kwa kuwa alishindwa kubalance hesabu na alikuwa na short kubwa sana hivyo alichanganikiwa na alisahau hata kuwajujulisha kwao.
Sisi tukamshauri ahame kwa baba yake akajitegemee lakini akadai baba yake hataki kumruhusu ahame mpaka atakapo olewa ndio aende kwa mmewe lakini sio kupanga wakati baba yake ana nyumba nzuri na kubwa hapa mjini
Naomba maoni yenu kwenye hili maana lilituacha njia panda
Je mtoto wa kike anapopata kazi inabidi ahame kwao au asubiri mpk atakapoolewa? (hapa naongelea wanaofanya kazi ndani ya mji mmoja na walipo wazazi) maoni wandugu