Aika Mndumii
Senior Member
- Jan 19, 2013
- 164
- 46
Wakubwa zangu:
Kuna rafiki yangu anataka kujenga nyumba ya ghorofa moja. Ukubwa wa nyumba ni wastani wa mita za mraba 350 (chini chumba kimoja, jiko, sebule, store, public toilet, study room na dinnig. Juu (Vyumba vitatu) na kila chumba ni self contained.
Materials mwenye nyumba atanunua mwenyewe kulingana na alivyopewa na engineer wake. Gharama za material mpaka kupaua inakadiriwa kuwa 80m
Swali: Engineer na mafundi wake walipwe kiasi gani kwa kuanzia setting ya nyumba, kujenga mpaka kupaua (kuweka vigae) basi. Kiwanja kiko maeneo ya mbweni ni eneo tambarare sana. Kwa mwenye uzoefu naomba asaidie makadirio inaweza kuwa kiasi gani (kwa gharama za mafundi fundi peke yake).
Shukrani sana
Kuna rafiki yangu anataka kujenga nyumba ya ghorofa moja. Ukubwa wa nyumba ni wastani wa mita za mraba 350 (chini chumba kimoja, jiko, sebule, store, public toilet, study room na dinnig. Juu (Vyumba vitatu) na kila chumba ni self contained.
Materials mwenye nyumba atanunua mwenyewe kulingana na alivyopewa na engineer wake. Gharama za material mpaka kupaua inakadiriwa kuwa 80m
Swali: Engineer na mafundi wake walipwe kiasi gani kwa kuanzia setting ya nyumba, kujenga mpaka kupaua (kuweka vigae) basi. Kiwanja kiko maeneo ya mbweni ni eneo tambarare sana. Kwa mwenye uzoefu naomba asaidie makadirio inaweza kuwa kiasi gani (kwa gharama za mafundi fundi peke yake).
Shukrani sana